The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,993
- 2,635
Niko na washkaji zangu tunapiga bombe na nyama joma. Karibuni wadau tujuumuike, tufahi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko na washkaji zangu tunapiga bombe na nyama joma. Karibuni wadau tujuumuike, tufahi.
Kama hapo kinapatikana kisungura nitaungana na nyie a.k.a smart gin(jini)Niko na washkaji zangu tunapiga bombe na nyama joma. Karibuni wadau tujuumuike, tufahi.
kwa uandishi huu naona pombe imeanza kufika mahala pakeNiko na washkaji zangu tunapiga bombe na nyama joma. Karibuni wadau tujuumuike, tufahi.
bombe na nyama joma 😂kwa uandishi huu naona pombe imeanza kufika mahala pake
Halafu kapiga pepsi hapo.kwa uandishi huu naona pombe imeanza kufika mahala pake
Ukilewa usichati!!!Niko na washkaji zangu tunapiga bombe na nyama joma. Karibuni wadau tujuumuike, tufahi.
akipiga kisungura sijui itakuajeHalafu kapiga pepsi hapo.
Isifute huu uzi mwamba acha tuje kujumuika,"okoa maji kunywa pombee"kiangazi kimekolea kunaupungufu wa maji.
😂😂😂😂😂Isifute huu uzi mwamba acha tuje kujumuika,"okoa maji kunywa pombee"kiangazi kimekolea kunaupungufu wa maji.
Joma ni pande zina la mguu wa nyuma wa ng'ombe mkuu , vinyango ndio tunaita choma master.bombe na nyama joma 😂
Kajumuike nae "mufahi"bombe na nyama joma 😂
Sio kweli .walevi ni kama vichwa vimewajaa kamasi wallah
Bombe🥴 na nyamajoma🙄Niko na washkaji zangu tunapiga bombe na nyama joma. Karibuni wadau tujuumuike, tufahi.
huwezi kukubali meku..apo najua upo viunga mnaongea wanne kichwaniSio kweli .
kwanini mkuu mbona unatutukana bila sababuwalevi ni kama vichwa vimewajaa kamasi wallah
Sio kwel mkuu nipo nimepumzika tu toka mwaka umeanza sijatumia kinywaji chochote zaidi ya maji bro.huwezi kukubali meku..apo najua upo viunga mnaongea wanne kichwani