Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acheni kujisaidia haja kubwa mitaani mkishalewa kisha kuwasingizia mbwa na vichaa asubuikwanini mkuu mbona unatutukana bila sababu
fahamu zimekurudia mdogo wanguSio kwel mkuu nipo nimepumzika tu toka mwaka umeanza sijatumia kinywaji chochote zaidi ya maji bro.
doctor unaulewewa potofu kuhusiana na waleviacheni kujisaidia haja kubwa mitaani mkishalewa kisha kuwasingizia mbwa na vichaa asubui
Sio fahamu bro nakua bize mno na mwaka huu nimezingatia meditation sana kwa hiyo sitegemei kunywa pombe kwa siku za karibu ila wanywaji na waunga mkono ili mradi wasivunje tu sheria.fahamu zimekurudia mdogo wangu
upauwe sasa lile pagala meku
Unatuonea wivu, njoo tutakununulia no prloblemwalevi ni kama vichwa vimewajaa kamasi wallah
Pole pole usi tutangazie msiba, eti ume fi 😂🤣
Mimi nikilewa huwa napigia watu simu..Ukilewa usichati!!!
Mimi mwenyewe niko hapa napata moya moto moya baridi 😃Kajumuike nae "mufahi"
nipo kwenye tukio la kili marathon walevi vituko mnavyofanya hapa wanjani ni MUNGU aweke mkono wake tuh mambo ya hovyo kabisadoctor unaulewewa potofu kuhusiana na walevi
AiseJoma ni pande zina la mguu wa nyuma wa ng'ombe mkuu , vinyango ndio tunaita choma master.
Sio kweliPombe ni mbaya kwa afya yako
Is it worth it?Alcohol free since January 1 2024.
wewe mpaka ule mlimao ulio ota ndani ya mpagala utoe limao ndio utajua kupauwa ni muhimuSio fahamu bro nakua bize mno na mwaka huu nimezingatia meditation sana kwa hiyo sitegemei kunywa pombe kwa siku za karibu ila wanywaji na waunga mkono ili mradi wasivunje tu sheria.
Wapi hapo nije chapNiko na washkaji zangu tunapiga bombe na nyama joma. Karibuni wadau tujuumuike, tufahi.
Ya moto ni kijiti amaMimi mwenyewe niko hapa napata moya moto moya baridi 😃
HeheheMimi nikilewa huwa napigia watu simu..
Badae majuto huwa makubwa sana