Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Sasa hapa ndio ushalewaPiga Pumbu mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapa ndio ushalewaPiga Pumbu mkuu.
NaaaamSasa hapa ndio ushalewa
Kulala leo labda kitanda kinifate nilipo🤣Piga Pumbu mkuu.
😀😀 Niko sehemu napiga vitu na kesho nna vikao viwili.Kitaeleweka tu aiseee😀Kulala leo labda kitanda kinifate nilipo🤣
mambo ni moto balaa 🔥😀😀 Niko sehemu napiga vitu na kesho nna vikao viwili.Kitaeleweka tu aiseee😀
Kumbe bado timamuNaaaam
Niliamua tu mkuu. Na hii si mara ya kwanza hata miaka ya nyuma nilishawahi kuacha mpaka kwa miaka zaidi ya miwili. Ila sasa nataka kuunganisha kimoja.Nautuambie ulikutwa na kisa gani hata ukaamua kiacha gambe?
Kidogo kwa afya sii mbaya.Niliamua tu mkuu. Na hii si mara ya kwanza hata miaka ya nyuma nilishawahi kuacha mpaka kwa miaka zaidi ya miwili. Ila sasa nataka kuunganisha kimoja.
Kweli wewe unakunywa bombe na umeshalewa..Niko na washkaji zangu tunapiga bombe na nyama joma. Karibuni wadau tujuumuike, tufahi.
We jamaa ulilewa sana, leo umeweza kwenda Job?Piga Pumbu mkuu.
NYAMA JOMA ndio Nini? 😊Niko na washkaji zangu tunapiga bombe na nyama joma. Karibuni wadau tujuumuike, tufahi.
Unasaliti chama.Sio fahamu bro nakua bize mno na mwaka huu nimezingatia meditation sana kwa hiyo sitegemei kunywa pombe kwa siku za karibu ila wanywaji na waunga mkono ili mradi wasivunje tu sheria.
Akukujibu ni TAG 😊Is it worth it?
Hapana kaka napumzika kidogo tuUnasaliti chama.
😁😁😁😁😁😀😀😀Mcheki Poor Brain mumfundishe walau kunywa bia moja
Nyama choma mkuuNYAMA JOMA ndio Nini? 😊
All in all,
"Drink alcohol save water"
Sawa ndugu.Hapana kaka napumzika kidogo tu