Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
hapanaYa moto ni kijiti ama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapanaYa moto ni kijiti ama
Vijana watumie pombe na ukizingatia na ugumu wa maisha mtu analala fresh kabisa😆😆wewe mpaka ule mlimao ulio ota ndani ya mpagala utoe limao ndio utajua kupauwa ni muhimu
mimi sio mlevi kijana wangu na kwa nini uninunulie apo unanitafuta ugomvi nduguUnatuonea wivu, njoo tutakununulia no prloblem
Njoo ule pombe acha ushamba mekuVijana watumie pombe na ukizingatia na ugumu wa maisha mtu analala fresh kabisa😆😆
Hata mm nipo kili marathon mkuu, hapa ni mwedo wa bia na nyamanipo kwenye tukio la kili marathon walevi vituko mnavyofanya hapa wanjani ni MUNGU aweke mkono wake tuh mambo ya hovyo kabisa
Nimeona moshi kumechafuka sanaHata mm nipo kili marathon mkuu, hapa ni mwedo wa bia na nyama
Nimepumzika kidogo mkuu acha nitoe sumu mwilini huu mwaka bwashee😁Njoo ule pombe acha ushamba meku
Ssisi hayatuhusuNimeona moshi kumechafuka sana
View attachment 3246719
Sawa sawaNimepumzika kidogo mkuu acha nitoe sumu mwilini huu mwaka bwashee😁
Wivuuacheni kujisaidia haja kubwa mitaani mkishalewa kisha kuwasingizia mbwa na vichaa asubui
Basi pombe hazikufaiMimi nikilewa huwa napigia watu simu..
Badae majuto huwa makubwa sana
Mkuu huwa sigombani wala simtukani mtu ila udhaifu wangu ndio huo.. kukumbuka watu kwa salamu nikiwa nimelewaBasi pombe hazikufai
Mimi najichezeaga mziki kishkajiMkuu huwa sigombani wala simtukani mtu ila udhaifu wangu ndio huo.. kukumbuka watu kwa salamu nikiwa nimelewa
Uko wapiMimi najichezeaga mziki kishkaji
Bora wwMimi najichezeaga mziki kishkaji
Niko na washkaji zangu tunapiga bombe na nyama joma. Karibuni wadau tujuumuike, tufahi.
Location?Niko na washkaji zangu tunapiga bombe na nyama joma. Karibuni wadau tujuumuike, tufahi.