Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mama yako aliyekuzaa na yule wa kambo wote wameunganisha nguvu zao pale kati patamuKama vile Aliyekuzaa anavyokalia Kutwa Mtumbwi wangu.
Ndio maan nn mkuu?Ndio maana hahahaah
Nauza mboga mboga 😂 😂...... Kesho mapema nipo manzese sinza, Salma kikwete, narukia huko ndani ndani makumbusho, mwanNyamala 😂
mtumishi gani mtiift latika nchi hii zaidi ya Mama Samiah? Mama anajitahidi kukomesha ufsadi lakini mafsadi wanajitahidi kuibua mbinu mpya za kuchota hela. Badilikeni watumishiMtumishi wa umma mtiifu kwa serikali inayokuwapo madarakani wakati huo
Naona kaukataa uhasibu eti. 🤣🤣🤣
Hahahaaa. Lol.Huyo kazi yake ni komandoo wa Yanga, naona unaita fujo
Hongera sana Mzee mwenzangu.Mkulima wa nyanya na dengu Misungwi Mwanza. Ukikaribia mjini kabla hujafika kwa mama Kabula ulizia kwa mzee Shimba mkulima wa nyanya utaletwa hata na mtoto mdogo.
Ila mtaani naheshimika kwa utu, upendo na ubinadamu wangu; na siyo sababu ya ukulima wangu wa nyanya na dengu. Ukulima wa nyanya, vyeo na mali vinapita lakini utu, upendo na ubinadamu havipiti kamwe!📌📌📌🙏🏿
congra... Mkuu. Ileya, Igale Mbeya