Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Huyo Mwanamke anakudharau sana,yani unamkamata anaongea na X wake na wewe bado tu unaendelea naye.napata shake na uanaume wako-labda umelogwa.
Subiri akuletee maginjwa ndio utajua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Mwanamke anakudharau sana,yani unamkamata anaongea na X wake na wewe bado tu unaendelea naye.napata shake na uanaume wako-labda umelogwa.
Subiri akuletee maginjwa ndio utajua.
Sijasoma huo upuuzi, tafuta hela pimbi weweKuna dada bhana nampenda sanaa! tena nampenda kweliii
wakati tunaanza kuwa pamoja nilikumwambia kuwa mimi nina hasira sanaa lakini sio za kufanya Violence kwa mwanamke, akaahidi atanielewa.
Mara kadhaa amekuwa akinikosea, anaendelea kuwasiliana na Ex wake wanakutana na natumiaga hekima nyingi sana kumuomba abadilike, Nikiwa naongea nae kwa hekima nyingi huwa hanijibu anafanya Nyodo, ila nikimfokea basi ananisema mimi ni mkorofi nitakuja muua.
View attachment 2909068
Siku moja yalinifika shingoni naongea nae kwa hekima anajifanya kalala, nikamuinua kwa nguvu, ndipo nilifanya kosa akanimaindi akaniona mbaya naweza muua japo niliongea kwa hasira wakati huo lakini ikawa kosa langu na anataka tuachane.
Mnanishauri nini Ndugu zangu?
Kuna dada bhana nampenda sanaa! tena nampenda kweliii
wakati tunaanza kuwa pamoja nilikumwambia kuwa mimi nina hasira sanaa lakini sio za kufanya Violence kwa mwanamke, akaahidi atanielewa.
Mara kadhaa amekuwa akinikosea, anaendelea kuwasiliana na Ex wake wanakutana na natumiaga hekima nyingi sana kumuomba abadilike, Nikiwa naongea nae kwa hekima nyingi huwa hanijibu anafanya Nyodo, ila nikimfokea basi ananisema mimi ni mkorofi nitakuja muua.
View attachment 2909068
Siku moja yalinifika shingoni naongea nae kwa hekima anajifanya kalala, nikamuinua kwa nguvu, ndipo nilifanya kosa akanimaindi akaniona mbaya naweza
Shida hapo sio hasira zako walaa. Shida ni kwamba unampenda sana na kajua hiloo. Hawajuagi kuthamibi na kutumia nafasi za mahali wanapopendwa sana, zaidi ya kukuona fala na boya fulani la kukuchezea. Wanajuaga tutapenda daima na kung'ang'ania hapohapo milele yote. CHA KUFANYA JIKAZE MOVE-ON KIKWELIKWELI utatoboaKuna dada bhana nampenda sanaa! tena nampenda kweliii
wakati tunaanza kuwa pamoja nilikumwambia kuwa mimi nina hasira sanaa lakini sio za kufanya Violence kwa mwanamke, akaahidi atanielewa.
Mara kadhaa amekuwa akinikosea, anaendelea kuwasiliana na Ex wake wanakutana na natumiaga hekima nyingi sana kumuomba abadilike, Nikiwa naongea nae kwa hekima nyingi huwa hanijibu anafanya Nyodo, ila nikimfokea basi ananisema mimi ni mkorofi nitakuja muua.
View attachment 2909068
Siku moja yalinifika shingoni naongea nae kwa hekima anajifanya kalala, nikamuinua kwa nguvu, ndipo nilifanya kosa akanimaindi akaniona mbaya naweza muua japo niliongea kwa hasira wakati huo lakini ikawa kosa langu na anataka tuachane.
Mnanishauri nini Ndugu zangu?
Anawasiliana na ex wake ukiwa Naye,amekudharau kiwango Cha MwishoKuna dada bhana nampenda sanaa! tena nampenda kweliii
wakati tunaanza kuwa pamoja nilikumwambia kuwa mimi nina hasira sanaa lakini sio za kufanya Violence kwa mwanamke, akaahidi atanielewa.
Mara kadhaa amekuwa akinikosea, anaendelea kuwasiliana na Ex wake wanakutana na natumiaga hekima nyingi sana kumuomba abadilike, Nikiwa naongea nae kwa hekima nyingi huwa hanijibu anafanya Nyodo, ila nikimfokea basi ananisema mimi ni mkorofi nitakuja muua.
View attachment 2909068
Siku moja yalinifika shingoni naongea nae kwa hekima anajifanya kalala, nikamuinua kwa nguvu, ndipo nilifanya kosa akanimaindi akaniona mbaya naweza muua japo niliongea kwa hasira wakati huo lakini ikawa kosa langu na anataka tuachane.
Mnanishauri nini Ndugu zangu?
Naongea Kwa experience mwanamke akijua anapendwa Huwa tunahis wanaotupenda km ni wajingaSasa anabadilikaje yeye wakati sio mkosaji aaliyah? [emoji182][emoji182][emoji182]
MUACHEEEEEEEEEEEKuna dada bhana nampenda sanaa! tena nampenda kweliii
wakati tunaanza kuwa pamoja nilikumwambia kuwa mimi nina hasira sanaa lakini sio za kufanya Violence kwa mwanamke, akaahidi atanielewa.
Mara kadhaa amekuwa akinikosea, anaendelea kuwasiliana na Ex wake wanakutana na natumiaga hekima nyingi sana kumuomba abadilike, Nikiwa naongea nae kwa hekima nyingi huwa hanijibu anafanya Nyodo, ila nikimfokea basi ananisema mimi ni mkorofi nitakuja muua.
View attachment 2909068
Siku moja yalinifika shingoni naongea nae kwa hekima anajifanya kalala, nikamuinua kwa nguvu, ndipo nilifanya kosa akanimaindi akaniona mbaya naweza muua japo niliongea kwa hasira wakati huo lakini ikawa kosa langu na anataka tuachane.
Mnanishauri nini Ndugu zangu?
Kuna dada bhana nampenda sanaa! tena nampenda kweliii
wakati tunaanza kuwa pamoja nilikumwambia kuwa mimi nina hasira sanaa lakini sio za kufanya Violence kwa mwanamke, akaahidi atanielewa.
Mara kadhaa amekuwa akinikosea, anaendelea kuwasiliana na Ex wake wanakutana na natumiaga hekima nyingi sana kumuomba abadilike, Nikiwa naongea nae kwa hekima nyingi huwa hanijibu anafanya Nyodo, ila nikimfokea basi ananisema mimi ni mkorofi nitakuja muua.
View attachment 2909068
Siku moja yalinifika shingoni naongea nae kwa hekima anajifanya kalala, nikamuinua kwa nguvu, ndipo nilifanya kosa akanimaindi akaniona mbaya naweza muua japo niliongea kwa hasira wakati huo lakini ikawa kosa langu na anataka tuachane.
Mnanishauri nini Ndugu zangu?
🤣🤣Umenichanganya ujue?
Achana nayeKuna dada bhana nampenda sanaa! tena nampenda kweliii
wakati tunaanza kuwa pamoja nilikumwambia kuwa mimi nina hasira sanaa lakini sio za kufanya Violence kwa mwanamke, akaahidi atanielewa.
Mara kadhaa amekuwa akinikosea, anaendelea kuwasiliana na Ex wake wanakutana na natumiaga hekima nyingi sana kumuomba abadilike, Nikiwa naongea nae kwa hekima nyingi huwa hanijibu anafanya Nyodo, ila nikimfokea basi ananisema mimi ni mkorofi nitakuja muua.
View attachment 2909068
Siku moja yalinifika shingoni naongea nae kwa hekima anajifanya kalala, nikamuinua kwa nguvu, ndipo nilifanya kosa akanimaindi akaniona mbaya naweza muua japo niliongea kwa hasira wakati huo lakini ikawa kosa langu na anataka tuachane.
Mnanishauri nini Ndugu zangu?