Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alaa ndio maana kukupenda kote huku unaniona mimi fala sio, sawa mungu atanilipia machozi yangu hayataenda bure ujueNaongea Kwa experience mwanamke akijua anapendwa Huwa tunahis wanaotupenda km ni wajinga
Akiambiwa tuachane anamtingisha anajua ataomba msamaha yeye huenda alishazoea kumuomba omba msamahana
Nae akaushe alimwambia tuachane amjibu sawa Kisha aone itakuwaje
Muache uje kwangu chapKuna dada bhana nampenda sanaa! tena nampenda kweliii
wakati tunaanza kuwa pamoja nilikumwambia kuwa mimi nina hasira sanaa lakini sio za kufanya Violence kwa mwanamke, akaahidi atanielewa.
Mara kadhaa amekuwa akinikosea, anaendelea kuwasiliana na Ex wake wanakutana na natumiaga hekima nyingi sana kumuomba abadilike, Nikiwa naongea nae kwa hekima nyingi huwa hanijibu anafanya Nyodo, ila nikimfokea basi ananisema mimi ni mkorofi nitakuja muua.
View attachment 2909068
Siku moja yalinifika shingoni naongea nae kwa hekima anajifanya kalala, nikamuinua kwa nguvu, ndipo nilifanya kosa akanimaindi akaniona mbaya naweza muua japo niliongea kwa hasira wakati huo lakini ikawa kosa langu na anataka tuachane.
Mnanishauri nini Ndugu zangu?
Mwanaume unapataje muda wa kujielezea kwa mwanamke kama una hasira? Watoto wa siku hizi bnKuna dada bhana nampenda sanaa! tena nampenda kweliii
wakati tunaanza kuwa pamoja nilikumwambia kuwa mimi nina hasira sanaa lakini sio za kufanya Violence kwa mwanamke, akaahidi atanielewa.
Mara kadhaa amekuwa akinikosea, anaendelea kuwasiliana na Ex wake wanakutana na natumiaga hekima nyingi sana kumuomba abadilike, Nikiwa naongea nae kwa hekima nyingi huwa hanijibu anafanya Nyodo, ila nikimfokea basi ananisema mimi ni mkorofi nitakuja muua.
View attachment 2909068
Siku moja yalinifika shingoni naongea nae kwa hekima anajifanya kalala, nikamuinua kwa nguvu, ndipo nilifanya kosa akanimaindi akaniona mbaya naweza muua japo niliongea kwa hasira wakati huo lakini ikawa kosa langu na anataka tuachane.
Mnanishauri nini Ndugu zangu?
Achana nae utakuja usababishe maafa huyo bado anagongwa na ex wakena anataka tuachane.
Duuuuh fursa?Muache uje kwangu chap
Kabisa fursa lbda aipoteze mwenyeweDuuuuh fursa?
Dirisha la usajiri wa vimbaumbau lipo wazi karibu PMKabisa fursa lbda aipoteze mwenyewe
Mle tiGoKuna dada bhana nampenda sanaa! tena nampenda kweliii
wakati tunaanza kuwa pamoja nilikumwambia kuwa mimi nina hasira sanaa lakini sio za kufanya Violence kwa mwanamke, akaahidi atanielewa.
Mara kadhaa amekuwa akinikosea, anaendelea kuwasiliana na Ex wake wanakutana na natumiaga hekima nyingi sana kumuomba abadilike, Nikiwa naongea nae kwa hekima nyingi huwa hanijibu anafanya Nyodo, ila nikimfokea basi ananisema mimi ni mkorofi nitakuja muua.
View attachment 2909068
Siku moja yalinifika shingoni naongea nae kwa hekima anajifanya kalala, nikamuinua kwa nguvu, ndipo nilifanya kosa akanimaindi akaniona mbaya naweza muua japo niliongea kwa hasira wakati huo lakini ikawa kosa langu na anataka tuachane.
Mnanishauri nini Ndugu zangu?
Unadate na Malaya muache 😁Kuna dada bhana nampenda sanaa! tena nampenda kweliii
wakati tunaanza kuwa pamoja nilikumwambia kuwa mimi nina hasira sanaa lakini sio za kufanya Violence kwa mwanamke, akaahidi atanielewa.
Mara kadhaa amekuwa akinikosea, anaendelea kuwasiliana na Ex wake wanakutana na natumiaga hekima nyingi sana kumuomba abadilike, Nikiwa naongea nae kwa hekima nyingi huwa hanijibu anafanya Nyodo, ila nikimfokea basi ananisema mimi ni mkorofi nitakuja muua.
View attachment 2909068
Siku moja yalinifika shingoni naongea nae kwa hekima anajifanya kalala, nikamuinua kwa nguvu, ndipo nilifanya kosa akanimaindi akaniona mbaya naweza muua japo niliongea kwa hasira wakati huo lakini ikawa kosa langu na anataka tuachane.
Mnanishauri nini Ndugu zangu?
Kimbaumbau mwenyewe😎Dirisha la usajiri wa vimbaumbau lipo wazi karibu PM
Sitaki Viboko vimbaumbau ndio nawafanyia usajiri dirisha la usajiri lipo wapi PMKimbaumbau mwenyewe😎
Lipo kwa modsSitaki Viboko vimbaumbau ndio nawafanyia usajiri dirisha la usajiri lipo wapi PM
😂😂😂😂Mama nataka kuja hata saivi
Jinga sana weweMara kadhaa amekuwa akinikosea, anaendelea kuwasiliana na Ex wake wanakutana na natumiaga hekima nyingi sana kumuomba abadilike,