Wadau wa mapenzi nisaidieni hapa, Maji ya shingo

Wadau wa mapenzi nisaidieni hapa, Maji ya shingo

Ningekushauri uachane naye, ila mapenzi ni ya wawili.
 
Naongea Kwa experience mwanamke akijua anapendwa Huwa tunahis wanaotupenda km ni wajinga
Akiambiwa tuachane anamtingisha anajua ataomba msamaha yeye huenda alishazoea kumuomba omba msamahana
Nae akaushe alimwambia tuachane amjibu sawa Kisha aone itakuwaje
Alaa ndio maana kukupenda kote huku unaniona mimi fala sio, sawa mungu atanilipia machozi yangu hayataenda bure ujue
 
Kuna dada bhana nampenda sanaa! tena nampenda kweliii
wakati tunaanza kuwa pamoja nilikumwambia kuwa mimi nina hasira sanaa lakini sio za kufanya Violence kwa mwanamke, akaahidi atanielewa.

Mara kadhaa amekuwa akinikosea, anaendelea kuwasiliana na Ex wake wanakutana na natumiaga hekima nyingi sana kumuomba abadilike, Nikiwa naongea nae kwa hekima nyingi huwa hanijibu anafanya Nyodo, ila nikimfokea basi ananisema mimi ni mkorofi nitakuja muua.
View attachment 2909068
Siku moja yalinifika shingoni naongea nae kwa hekima anajifanya kalala, nikamuinua kwa nguvu, ndipo nilifanya kosa akanimaindi akaniona mbaya naweza muua japo niliongea kwa hasira wakati huo lakini ikawa kosa langu na anataka tuachane.

Mnanishauri nini Ndugu zangu?
Muache uje kwangu chap
 
Kuna dada bhana nampenda sanaa! tena nampenda kweliii
wakati tunaanza kuwa pamoja nilikumwambia kuwa mimi nina hasira sanaa lakini sio za kufanya Violence kwa mwanamke, akaahidi atanielewa.

Mara kadhaa amekuwa akinikosea, anaendelea kuwasiliana na Ex wake wanakutana na natumiaga hekima nyingi sana kumuomba abadilike, Nikiwa naongea nae kwa hekima nyingi huwa hanijibu anafanya Nyodo, ila nikimfokea basi ananisema mimi ni mkorofi nitakuja muua.
View attachment 2909068
Siku moja yalinifika shingoni naongea nae kwa hekima anajifanya kalala, nikamuinua kwa nguvu, ndipo nilifanya kosa akanimaindi akaniona mbaya naweza muua japo niliongea kwa hasira wakati huo lakini ikawa kosa langu na anataka tuachane.

Mnanishauri nini Ndugu zangu?
Mwanaume unapataje muda wa kujielezea kwa mwanamke kama una hasira? Watoto wa siku hizi bn
 
Kuna dada bhana nampenda sanaa! tena nampenda kweliii
wakati tunaanza kuwa pamoja nilikumwambia kuwa mimi nina hasira sanaa lakini sio za kufanya Violence kwa mwanamke, akaahidi atanielewa.

Mara kadhaa amekuwa akinikosea, anaendelea kuwasiliana na Ex wake wanakutana na natumiaga hekima nyingi sana kumuomba abadilike, Nikiwa naongea nae kwa hekima nyingi huwa hanijibu anafanya Nyodo, ila nikimfokea basi ananisema mimi ni mkorofi nitakuja muua.
View attachment 2909068
Siku moja yalinifika shingoni naongea nae kwa hekima anajifanya kalala, nikamuinua kwa nguvu, ndipo nilifanya kosa akanimaindi akaniona mbaya naweza muua japo niliongea kwa hasira wakati huo lakini ikawa kosa langu na anataka tuachane.

Mnanishauri nini Ndugu zangu?
Mle tiGo
 
Kuna dada bhana nampenda sanaa! tena nampenda kweliii
wakati tunaanza kuwa pamoja nilikumwambia kuwa mimi nina hasira sanaa lakini sio za kufanya Violence kwa mwanamke, akaahidi atanielewa.

Mara kadhaa amekuwa akinikosea, anaendelea kuwasiliana na Ex wake wanakutana na natumiaga hekima nyingi sana kumuomba abadilike, Nikiwa naongea nae kwa hekima nyingi huwa hanijibu anafanya Nyodo, ila nikimfokea basi ananisema mimi ni mkorofi nitakuja muua.
View attachment 2909068
Siku moja yalinifika shingoni naongea nae kwa hekima anajifanya kalala, nikamuinua kwa nguvu, ndipo nilifanya kosa akanimaindi akaniona mbaya naweza muua japo niliongea kwa hasira wakati huo lakini ikawa kosa langu na anataka tuachane.

Mnanishauri nini Ndugu zangu?
Unadate na Malaya muache 😁
 
.
Screenshot_20240218-083627_WhatsApp.jpg
 
Mara kadhaa amekuwa akinikosea, anaendelea kuwasiliana na Ex wake wanakutana na natumiaga hekima nyingi sana kumuomba abadilike,
Jinga sana wewe

Unaomba mahusiano na malaya?

Mwanamke anayewasiliana na ex wake inaonyesha jinsi gani anakudharau

Vijana wa miaka hii mmekuwa wapumbavu sana
 
Back
Top Bottom