Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Kwa hiyo kwa akili zako unaamini kuwa Strowman ana uwezo wa kumpiga Seth rollins au Finn balor?Hao brock atawaua mchana kweupe.hakuna mpiganaji hapo zaidi ya waruka sarakasi na hakuna mwenye uwezo wa kumkalisha brock lesnar.nashangaa hao unaowataja kila wiki wao wanapigana lakinj brock yupo kwake analimba mbogamboga lakini akija uwanjani anawazibua sio kitoto.je angekua anapigana kila siku si ataua watu wengi?muulize braun strawman ambae ndio mbabe brock akiwa hayupo aulizwe kashapigwa mara ngapi.huyo seth na finn wote wanakalishwa na aj styles na denyo brian
Finn na seth hawana uwezo wa kuwapiga denyo brayan na aj styles.tuanzie hapo kwanza ndipo tuhamie kwa mnyama the beastKwa hiyo kwa akili zako unaamini kuwa Strowman ana uwezo wa kumpiga Seth rollins au Finn balor?
Jibu swali langu mkuu! Nimekuuliza Strowman a.k.a kubwa jinga ana uwezo wa kumpiga Seth rollins au finn balor?Finn na seth hawana uwezo wa kuwapiga denyo brayan na aj styles.tuanzie hapo kwanza ndipo tuhamie kwa mnyama the beast
Braun strawman wote tunakubaliana ni miguvu mingi bila kutumia akili.ndio anaweza kukalishwa na hao uliowataja.na hata tlc kwa ujanja wa rafu alizonazo cobin acting GM anaweza kumlaza get thiz hands kwa end of daysJibu swali langu mkuu! Nimekuuliza Strowman a.k.a kubwa jinga ana uwezo wa kumpiga Seth rollins au finn balor?
Kubwa jinga anaendelea vizuri mkuu baada ya akina corbin kumshambulia kwenye raw ya juzi![emoji2][emoji2][emoji2]Braun strawman wote tunakubaliana ni miguvu mingi bila kutumia akili.ndio anaweza kukalishwa na hao uliowataja.na hata tlc kwa ujanja wa rafu alizonazo cobin acting GM anaweza kumlaza get thiz hands kwa end of days
Hahahaha hilo kubwa jinga kweliKubwa jinga anaendelea vizuri mkuu baada ya akina corbin kumshambulia kwenye raw ya juzi![emoji2][emoji2][emoji2] View attachment 943980
Huyu jamaa ana entertain sana tu sema watu hawamwelewi tu he is good on the mic kitu ambacho ni muhimu kwenye wweHahahaha hilo kubwa jinga kweli
Cobin hiyo kazi ndo kashapoteza, anarudi kuwa constableIla watapata tabu sana ......Strawman akirejea..
Mahaba huwa yanam-favour mtu, sasa hapo sijui nam-favor nani kati ya hao[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Umeandika kwa mahaba na sio uhalisia
Shida yako ni kulinganisha watu wa brand mbili tofauti ambao sio rahisi kukutana, Ni bora ukaongelea wale wa MNR yaani Finn, Seth na lesner wako brand moja.Finn na seth hawana uwezo wa kuwapiga denyo brayan na aj styles.tuanzie hapo kwanza ndipo tuhamie kwa mnyama the beast
Wrestlemania lesner ashapangiwa pambano na monster strawman:Mwisho wa dude(Lesnar) unakuja!!View attachment 944541
Tatizo huaminiki.uliweka dau ukashindwa na pesa hukutoa.nakuambia kama brock lesnar the beast akikutana na seth.nipo tayari kubet 20,000 kwa the beast.ikitokea mkuu naomba tubet ila safari hii uwe mkweli utoe fedhaMwisho wa dude(Lesnar) unakuja!!View attachment 944541
Shida yako ni kulinganisha watu wa brand mbili tofauti ambao sio rahisi kukutana, Ni bora ukaongelea wale wa MNR yaani Finn, Seth na lesner wako brand moja.
[emoji41][emoji41][emoji41]Tatizo huaminiki.uliweka dau ukashindwa na pesa hukutoa.nakuambia kama brock lesnar the beast akikutana na seth.nipo tayari kubet 20,000 kwa the beast.ikitokea mkuu naomba tubet ila safari hii uwe mkweli utoe fedha
Hii ilikuwa lini?[emoji41][emoji41][emoji41] View attachment 944747
Jamaa hajui ule mchezo na ndio maana kipindi cha akina Stone cold na Goldberg hakuwa akifanya la maana coz walimjulia zake ni kukimbilia suplex na f5 hajui kupambana kabisa na hata ukiona mechi zake za HC huwa anahangaika tuKiuhalisia lesnar sio Entertainer coz haiwezekani mechi inaanza anakimbilia suplex city mpaka anashinda
Jamaa hajui ule mchezo na ndio maana kipindi cha akina Stone cold na Goldberg hakuwa akifanya la maana coz walimjulia zake ni kukimbilia suplex na f5 hajui kupambana kabisa na hata ukiona mechi zake za HC huwa anahangaika tu