Nashngaa huyo mkuu hapo juu anajifanya mjuaji sana ndo maana nikasema nimechanganya madesaa au ili nielekezwe vizur[emoji23][emoji23][emoji23]umenifurahisha sana....ila swali zuri Ngoja nikujibu..
Royal ramble imepita majuz tu Hapa... Mshindi kwa upande wa wanaume alikuwa Mkali mwenyewe Nakamura... Na upande wa kina dada alikuwa The impress of tomorrow ASUKA..... Sasa hivi tupo kwenye msimu wa WRESTLEMANIA..... Ambayo itafanyika Leo, muda na channel ipi pitia comment Ya Behaviorist Hapo juu..... Karibu Sana kwenye ulingo huu.
Fin Ballor namkubali Sana..... Ila Nakamura namkubali zaid, AJ Style namkubali kichizi..... Yaan Leo nipo delema, sijui kati ya AJ Style na Nakamura niwe upande wa nani..Finn balor Nakamuraaa ewaaaah
Umejuaje mkuu...... maaana sijakupata kbaaa jins ulivyo tabirAlexa atashinda kwa kusaidiwa na yule shosti yake...but Nia Jax atawavuruga na yule mwenye brifcase kimodo atakuja kucash in atakuwa bingwa.
Big Dog atashinda sababu lesnar anataka kurudi UfC na adhabu yake ya UFC imeshaisha alifungiwa kwa muda kwa matumizi ya dawa zisizoruhusiwa. Anapenda UFC kuliko mieleka na ndio maana yeye anapigana PPV. Ushawahi muona akipigana match kwenye Monday night raw kama wengine.
So Big Dog atashinda then Fin balor rollins wataunyemelea mkanda wake
PPV ndo nn vp kuhusu match ya Aj... ? Na uso vs new dayAlexa atashinda kwa kusaidiwa na yule shosti yake...but Nia Jax atawavuruga na yule mwenye brifcase kimodo atakuja kucash in atakuwa bingwa.
Big Dog atashinda sababu lesnar anataka kurudi UfC na adhabu yake ya UFC imeshaisha alifungiwa kwa muda kwa matumizi ya dawa zisizoruhusiwa. Anapenda UFC kuliko mieleka na ndio maana yeye anapigana PPV. Ushawahi muona akipigana match kwenye Monday night raw kama wengine.
So Big Dog atashinda then Fin balor rollins wataunyemelea mkanda wake
kuna script hua zishatengenezwa kabisa mkuuUmejuaje mkuu...... maaana sijakupata kbaaa jins ulivyo tabir
Undertaker mbona kastaafu kitambo tena big dog ndo kamtaafishaAlirudi tu 1 time cos wwe ilikosa mpnzan wa lesnar, yaan ni km itakavyokuwa undertaker kuonekan kwny mania 34.
Kwa AJ na Nakamura mi pia Nimeshindwa kutabiri.... Ila Usos na New day Uso watashinda maana wale jamaa wana mapigo ya UkweliPPV ndo nn vp kuhusu match ya Aj... ? Na uso vs new day
Kumbuka n triple match wako pia wale majamaa mengineKwa AJ na Nakamura mi pia Nimeshindwa kutabiri.... Ila Usos na New day Uso watashinda maana wale jamaa wana mapigo ya Ukweli
DUhhh kumbe unaweza jua kabla..?kuna script hua zishatengenezwa kabisa mkuu
PPV stand for PAY PER VIEW, ni zile event kubwa kama Wrestlemania,Royal rumble..PPV ndo nn vp kuhusu match ya Aj... ? Na uso vs new day
Na laitolewa na ambulance kwenda hospitalMonday night raw ya wiki hii ambayo ndio ya mwisho tukielekea w.mania huyo roman reigns alikua hana pingu na alipigwa,wiki iliyopita alikua hana pingu na alipigwa kisawasawa.tuache mahaba wakati mwingine. Takwimu zinasemaje?Brock amepigana na roman reigns Mara ngapi?roman kashinda ngapi?jibu hamna.Brock kashampiga roman w.mania,raw na pambano alikua yy,Joe na Braun strauman.au zote alifungwa pingu.Brock ndie mwanamieleka wa kwanza kufunja rekodi ya w.mania.nani asiyejua ubishi wa kukubali kushindwa wa undertaker,triphe h na shwan Michael walimchangia lakini alishinda.ila alipokutana na mnyama the beast ubishi wake ulikoma hapo maana alichezea suplex na f5 za kutosha na kukubali kushindwa maana alikua anaona anakufa.
But atarudi kunyooshana na cena.Undertaker mbona kastaafu kitambo tena big dog ndo kamtaafisha
Yale yanayoingia na nyundo, yapo kama mamizimu au yapi? Kama ni Yale basi yatashinda maana yanapiga vibaya yale..Kumbuka n triple match wako pia wale majamaa mengine
[emoji23] [emoji23] [emoji23] au ni wale wanabeba sledge hammer !?Yale yanayoingia na nyundo, yapo kama mamizimu au yapi? Kama ni Yale basi yatashinda maana yanapiga vibaya yale..
Yale yanaua yale[emoji23] [emoji23] [emoji23] au ni wale wanabeba sledge hammer !?
Yap hayo mkuuYale yanayoingia na nyundo, yapo kama mamizimu au yapi? Kama ni Yale basi yatashinda maana yanapiga vibaya yale..
Tuweke mzigo mezani,mimi nasema Roman reign atashinda!!Mi Leo natoa elf hamsini..... Kama Kuna mtu yupo Tayari tuwekeane.... Mimi nasema Brock Lesnar atampiga Roman reigns..... Nataka anaesema Roman reigns atampiga Lesnar tuwekeane mzigo mezani
Big dog atamstaafisha pia Lesnar leo huko wrestlemania![emoji28][emoji28][emoji28]Undertaker mbona kastaafu kitambo tena big dog ndo kamtaafisha
Sio kujua. Ila kutokana na trend za matukio ndio hata wewe unaweza kuotea nini kitatokea.DUhhh kumbe unaweza jua kabla..?