Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

[emoji23][emoji23][emoji23]umenifurahisha sana....ila swali zuri Ngoja nikujibu..
Royal ramble imepita majuz tu Hapa... Mshindi kwa upande wa wanaume alikuwa Mkali mwenyewe Nakamura... Na upande wa kina dada alikuwa The impress of tomorrow ASUKA..... Sasa hivi tupo kwenye msimu wa WRESTLEMANIA..... Ambayo itafanyika Leo, muda na channel ipi pitia comment Ya Behaviorist Hapo juu..... Karibu Sana kwenye ulingo huu.
Nashngaa huyo mkuu hapo juu anajifanya mjuaji sana ndo maana nikasema nimechanganya madesaa au ili nielekezwe vizur
 
Finn balor Nakamuraaa ewaaaah
Fin Ballor namkubali Sana..... Ila Nakamura namkubali zaid, AJ Style namkubali kichizi..... Yaan Leo nipo delema, sijui kati ya AJ Style na Nakamura niwe upande wa nani..
 
Mi Leo natoa elf hamsini..... Kama Kuna mtu yupo Tayari tuwekeane.... Mimi nasema Brock Lesnar atampiga Roman reigns..... Nataka anaesema Roman reigns atampiga Lesnar tuwekeane mzigo mezani
 
Alexa atashinda kwa kusaidiwa na yule shosti yake...but Nia Jax atawavuruga na yule mwenye brifcase kimodo atakuja kucash in atakuwa bingwa.
Big Dog atashinda sababu lesnar anataka kurudi UfC na adhabu yake ya UFC imeshaisha alifungiwa kwa muda kwa matumizi ya dawa zisizoruhusiwa. Anapenda UFC kuliko mieleka na ndio maana yeye anapigana PPV. Ushawahi muona akipigana match kwenye Monday night raw kama wengine.
So Big Dog atashinda then Fin balor rollins wataunyemelea mkanda wake
Umejuaje mkuu...... maaana sijakupata kbaaa jins ulivyo tabir
 
Alexa atashinda kwa kusaidiwa na yule shosti yake...but Nia Jax atawavuruga na yule mwenye brifcase kimodo atakuja kucash in atakuwa bingwa.
Big Dog atashinda sababu lesnar anataka kurudi UfC na adhabu yake ya UFC imeshaisha alifungiwa kwa muda kwa matumizi ya dawa zisizoruhusiwa. Anapenda UFC kuliko mieleka na ndio maana yeye anapigana PPV. Ushawahi muona akipigana match kwenye Monday night raw kama wengine.
So Big Dog atashinda then Fin balor rollins wataunyemelea mkanda wake
PPV ndo nn vp kuhusu match ya Aj... ? Na uso vs new day
 
Monday night raw ya wiki hii ambayo ndio ya mwisho tukielekea w.mania huyo roman reigns alikua hana pingu na alipigwa,wiki iliyopita alikua hana pingu na alipigwa kisawasawa.tuache mahaba wakati mwingine. Takwimu zinasemaje?Brock amepigana na roman reigns Mara ngapi?roman kashinda ngapi?jibu hamna.Brock kashampiga roman w.mania,raw na pambano alikua yy,Joe na Braun strauman.au zote alifungwa pingu.Brock ndie mwanamieleka wa kwanza kufunja rekodi ya w.mania.nani asiyejua ubishi wa kukubali kushindwa wa undertaker,triphe h na shwan Michael walimchangia lakini alishinda.ila alipokutana na mnyama the beast ubishi wake ulikoma hapo maana alichezea suplex na f5 za kutosha na kukubali kushindwa maana alikua anaona anakufa.
Na laitolewa na ambulance kwenda hospital
 
Mi Leo natoa elf hamsini..... Kama Kuna mtu yupo Tayari tuwekeane.... Mimi nasema Brock Lesnar atampiga Roman reigns..... Nataka anaesema Roman reigns atampiga Lesnar tuwekeane mzigo mezani
Tuweke mzigo mezani,mimi nasema Roman reign atashinda!!
 
DUhhh kumbe unaweza jua kabla..?
Sio kujua. Ila kutokana na trend za matukio ndio hata wewe unaweza kuotea nini kitatokea.
AJ atapigwa na Nakamura sababu kubwa ni kibiashara zaidi kama ambavyo walimpa mkanda MARAHAJA WAKIHINDO yule sababu wana fan base kubwa sana na india ina watu wengi na walivyomaliza safari za india wakampokonya mkanda. So now ni time ya Japan nako kuna watu wengi so interm of business itakuwa juu sana.
So.posibbility ya Asuka na Nakamura kushinda ni 95% kwa sababu niliyoainisha hapo juu.
Kwa lesnar na Big dog...sababu kubwa ambayo itamfanya lesnar ashindwe ni yeye kurudi UFC na kuwa Big Dog ni kipenzi mkubwa wa McMan mmiliki wa WWE.....so big dog ni 95% pia.
ALEXA ....ni 96% kushinda sababu yeye ana kipaji cha kuongea ( hii nayo ni sifa kubwa kuwepo wwe kama alivyokuwa ENZO) but kuna posibility ya kimodo kucash in kibrifcase kwa asuka vs qeen au kwa alexa vs nia jax maana wengi wana cash in kwa wreslemania)
 
Back
Top Bottom