Mi sikubaliani...Ngoja tuone Leo..... Ikitokea kama alivyosema bas ntaamini wanapanga matokeo... Ila Ikiwa tofauti basi ntaamini Duniani Kuna watu wanajua kuongea [emoji23][emoji23]
2330 pre show inaanza.Ikianza tushtuane wakuu.... Wengine tupo mbali Kidogo
[emoji106]2330 pre show inaanza.
Hakuna!...hadi ipite wiki moja ndiyo wataonyesha kupitia MBC action na MBC powerHivi kwa Azam miereka ni chanel namba ngapi!?
Saa nane usiku ss8.Ikianza tushtuane wakuu.... Wengine tupo mbali Kidogo
Zile.ni.mechi zinapangwa wewe. Hata huyo lesnar ukiingia you tube anakwambia kuwa ni fake na matokeo wanayajua. Ndio maana inaitwa entertaiment na sio SPORT.Hahaha...acha kutoa sababu za kutunga.
Wale wanapigana bila kujua matokeo yajayo.
Unatoa sababu utafikiri kweli vile[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] . Kweli Duniani kuna watu wanaojua kuongelea kitu,utadhani kweli...hahhahaha
Kama Aj atapigwa ni atapigwa kiukweli, Sababu Nakamura ni mkali.
Akishinda Asuka, ni kweli kwa sababu she Deserve it. And not Bra Bra zako ulizoongea hapo.
Hahahahahaahahhahhahahhahhahahaha
Si uende you tube mbona unakuwa mbishi hvyoNa wanaongea utadhani kweli[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]
Utastaajabu sana ukiwa unaujua ukweli.
Ila ukiwa hujui utaona kweli.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] . Utakuwa mgeni wa Mieleka sio bure.Zile.ni.mechi zinapangwa wewe. Hata huyo lesnar ukiingia you tube anakwambia kuwa ni fake na matokeo wanayajua. Ndio maana inaitwa entertaiment na sio SPORT.
Matokeo yanapangwa ila kuruka ruka na kupigana wanapigana but matokeo wao wanayajua na washarehasal jinsi itakavyokuwa. Matokeo yanakuwaga kinyume kama mtu ameumia kwa bahati mbaya.
Pole we kama unadhani ile ni kama tyson vs evander kuwa hawajui matokeo
Wewe inaelekea ni mpinzani wa huu mchezo.Zile.ni.mechi zinapangwa wewe. Hata huyo lesnar ukiingia you tube anakwambia kuwa ni fake na matokeo wanayajua. Ndio maana inaitwa entertaiment na sio SPORT.
Matokeo yanapangwa ila kuruka ruka na kupigana wanapigana but matokeo wao wanayajua na washarehasal jinsi itakavyokuwa. Matokeo yanakuwaga kinyume kama mtu ameumia kwa bahati mbaya.
Pole we kama unadhani ile ni kama tyson vs evander kuwa hawajui matokeo
You tube niende kufanyaje?Si uende you tube mbona unakuwa mbishi hvyo
Naupenda sana na mpk now niko macho nasubiri wrelsemania. But kwenye ukweli lazima usemwe.Wewe inaelekea ni mpinzani wa huu mchezo.
Na uutakii mema
mkuu S8 wameanza kuonyeshaNow at 00:00 still nothing on air!![emoji32][emoji32][emoji32]
Umesoma hapo juu. Majeruhi ni bahati mbaya[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] . Utakuwa mgeni wa Mieleka sio bure.
Watu wanavunjwa mikono, miguu,
Leo hii wewe unakuja kusema imepangwa![emoji134]
Hahahaaaa