Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Lesnar ameponea chupuchupu kutumbuliwa na raw manager jana kisa kukwepa kupigana!....Lesnar ni coward champion ever existed!!.....Mashabiki walikuwa wanaimba strip that champio! strip that champion! strip that champion!!
Kwaiyo jana Lesner alitokea?
 
Kwaiyo jana Lesner alitokea?
Alitokea yule babu wake(Paul Heyman) akitetemeka kwa hofu ya kutumbuliwa client wake na kuahidi kuwa Lesnar atadefend mkanda huo kwenye Summerslam ambayo itafanyika tarehe 19/08/2008!
 
Angalau Lesnar angepigana na Boby Lashley at least angepata changamoto kidogo.....
 
Haters akina Baba Mtakatifu watakutukana kuwa umelogwa na unahitaji maombi![emoji53][emoji53][emoji53]
Alaah....Kumbe mnajua kuwa ni ngumu Maji kupanda mlima......Haaah hahah hahah....Labda akapigane na alexa bliz achkue WWE women champion
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…