mabala1990
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 209
- 141
Nadhani ilipangwa maana lesnar inasemekana anataka kwemda ufc na kuachana na wwe sasa wakaona wapange jinsi ya kuukabidhi mkanda kwa mwingine.Nakubaliana na wewe LESNAR hawezi kupigwa kirahisi vile 100%hii imepangwa
Sawa. Mitazamo haiwezi fanana. Wewe wasema hivyo na wengine twasema hivi. Roman hamuwezi Lesnar. Mkataba alisaini lini?kuna mashabiki maandaz, sasa ile ya kwenye carge ilikuwaje wakampa mkanda lasnar wakat aligongeshwa na roman ndo alianza kutua miguu chini?
Na kumbuka pia kabla ya hiyo mechi lasnar ilikuwa anaenda UFC sasa inakuwaje akaongeza mkataba? yaan msiongee tu..., Kagongeshwa baaas kalalen kisa hammpendi roman, achen zenu bhana...., Kwa sasa ni roman empire
Sent using Jamii Forums mobile app
hamia ufc tu huko baba, sasa unaangalia vitu gan kama viko scripted? komaa na ufc ambayo si ya kuscriptSawa. Mitazamo haiwezi fanana. Wewe wasema hivyo na wengine twasema hivi. Roman hamuwezi Lesnar. Mkataba alisaini lini?
Wwe iko staged, bingwa au mshindi wa mechi hupangwa.
Mbona una hasira mkuu, vifurushi unanilipia wewe mpaka unichagulie?hamia ufc tu huko baba, sasa unaangalia vitu gan kama viko scripted? komaa na ufc ambayo si ya kuscript
Sent using Jamii Forums mobile app
inarudiwa leo jumatatu kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi saa sita ya usiku supersport 9!
Miss little bliss ni very weak,kinachomuweka pale wwe ni ule ujanjaujanja wake pamoja na figisufigusi za hapa na pale!!Nimefurahi sana Runday Russy sio kiboko ana staili za heshima.. [emoji2] Leo alikuwa hana pakukimbia kama siku zote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama miz tuu nae alivyo mshenzi mshenzi wa faulo[emoji2][emoji2]Miss little bliss ni very weak,kinachomuweka pale wwe ni ule ujanjaunja wake pamoja na figisufigusi za hapa na pale!!
Leo Miz alipewa kitu kama chuma na mke wake ndicho alichompiga nacho Daniel Bryan kwa siri na kushinda ile mechi leo!!
Yaah niliona hiyo mbinu mapema kuna wakati miz alikuwa amelala kwenye kona na mke wake ameegeza kidevu kwenye meza hivi wakapeana ishara fulani nikajua kuna faulo itafanyika tuu, nilidhani labda mkewe angekuja kuvuruga kumbe ana silaha.. Alafu marefu nao ovyo kwelLeo Miz alipewa kitu kama chuma na mke wake ndicho alichompiga nacho Daniel Bryan kwa siri na kushinda ile mechi leo!!
Yule ni kubwa jinga,badala ya kuvizia kama wenzake waliowahi kucash in yeye akaenda kuuza sura mbele ya mabaunsa!!.....natabiri mechi inayokuja atashindwa kucash in!Chief kumbuka Strowman bado ni mmiliki halali wa Money in the bank..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wwe ni entertainment tu, hamna ukweli wowote humo. Kukuelewesha ni mgumu. Ingia youtube uangalie baadhi ya some scripted events gone bad.Mpango? We vipi gemu imepigwa tena kali na jamaa kachukua huo mpango ulipangwa lini? Hebu jiongoze bwanaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho usiku.
Imepangwa??? Spear aliyopigwa Lesner, hakuwa kajiandaa psychologically ndo maana akashindwa ku kick off..One on one, Roman hamuwezi Lesnar. Huu ni ukweli. Summerslam ilipangwa matokeo. Lesnar licha ya kwamba simkubali, hawezi pigwa na Roman tena kirahisi namna ile.
The shield is everywhere! Untouchable [emoji23] ndio kiboko ya Monsters BS. Kapigwa spear ya maaanaMaskini Strongman amekeshe The Shield wakamsaidia Roman Rein. Sijui ndo atakuwa kanyanganywa librefcet lake. Maana kweli ashakesh
Sent using Jamii Forums mobile app