mabala1990
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 209
- 141
kuna mashabiki maandaz, sasa ile ya kwenye carge ilikuwaje wakampa mkanda lasnar wakat aligongeshwa na roman ndo alianza kutua miguu chini?
Na kumbuka pia kabla ya hiyo mechi lasnar ilikuwa anaenda UFC sasa inakuwaje akaongeza mkataba? yaan msiongee tu..., Kagongeshwa baaas kalalen kisa hammpendi roman, achen zenu bhana...., Kwa sasa ni roman empire
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kumbuka pia kabla ya hiyo mechi lasnar ilikuwa anaenda UFC sasa inakuwaje akaongeza mkataba? yaan msiongee tu..., Kagongeshwa baaas kalalen kisa hammpendi roman, achen zenu bhana...., Kwa sasa ni roman empire
Sent using Jamii Forums mobile app