Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Ni ya kutunga jamani. Hivi wewe na akili zako shemus na misuli yake akiwa na sizaro washindwe kumpiga huyo baunsa. Kweli??
Ukitaka kuona ni fake kamuangalie broke lesnar akiwa MMA au UFC uone anapokea kichapo kwa watu wenye maumbo madogo tu. Mpk anaomba poo...halafu eti mtu
Mieleka ya kweli ni ile ya Olimpic tu. Sio hiyo inayiitwa ENTERTAIMENT sio sport.
Mbona MOVIE zote ni FAKE lakini ikitoka tu mnakimbilia mara sijui FAST&FURIOUS mara BLACK PANTHER....zote ni maigizo tena ya ku cut action cut action bado watu wapenda.
So as mieleka kule kuna script writer....leo wataongea maneno gani leo atapigana nani na nani atashinda.
Mwanamieleka akisema maneno nje ya script ilivyoandikwa anazimiwa mike... kama CM Punk etc
BROKE hapigani nje ya PPV maana hapendi WWE sema mc man anampa mpunga mrefu so masharti ni PPV tu hizo Raw n Smacdown ni za hao wanaolipwa mpunga mdogo.
Eti mtu mmoja anazungukwa na watu wenye misuli kama 12 washindwe kumtupa nje ya ulingo eti anawapiga wote. Yet akipigana na lesnar one to one anapigwa na huyo huyo lesnar akienda UFC anapigwa na akina MCbride..(type za yule aliyepigana na maywether miili midogo)
Kweli Duniani Kuna watu wanajua kuongea.... Hivi Kweli watu zaid ya 78,000 walipe kiingilio tena pesa ndefu waende kuangalia mapambano ambayo mshindi kashapangwa......Hii ipo bongo tu ambapo watu wanachangia hela mtu ambaye kashapangwa..... Sijui wanaita nn mzuka
 
Wadau wenzangu natoa ushaur tufungue group la wadau wa wrestling kwenye whtsp ili tupeane up date na vitu vingine kuhusu wwe au mnasemaje
 
Kweli Duniani Kuna watu wanajua kuongea.... Hivi Kweli watu zaid ya 78,000 walipe kiingilio tena pesa ndefu waende kuangalia mapambano ambayo mshindi kashapangwa......Hii ipo bongo tu ambapo watu wanachangia hela mtu ambaye kashapangwa..... Sijui wanaita nn mzuka
Watu bilions wamelipa hela kuangalia BLACK PANTHER na kuifanya kuwa ni movie iliyoingiza pesa nyingi zaidi.
Swali: JE BLACK PANTHER ni HALISI/UKWELI??
 
Wadau wenzangu natoa ushaur tufungue group la wadau wa wrestling kwenye whtsp ili tupeane up date na vitu vingine kuhusu wwe au mnasemaje
Tatizo ni watu wasiojulikana mwanangu. Watu washacoment sana habari za siasa halafu ndio utoe namna ya simu. TUTAPENA humu habari
 
Sawa naona kama upo tayal bas coment ndy na kama haupo tayal bas coment hapana ili tuone kula maana uku tunapo elekea ndy panazidi kunoga
 
Ukweli mchungu ni kwamba soon mkanda wa universal champion utakuwa ni wa Roman reign parmanently as long as hakuna wa kumpiga the big dog ukimtoa Lesner ambae anahama WWE!
As long as Lesnar kashinda... Hata huo mzigo nakuachia maana ntakuongezea machungu..... Pole Sana maana nakujua we Roman reigns Damu Damu
 
Tatizo ni watu wasiojulikana mwanangu. Watu washacoment sana habari za siasa halafu ndio utoe namna ya simu. TUTAPENA humu habari
[emoji23][emoji23][emoji23] Wasiojulikana ni balaa mzee..... Hapo ndo shida inapoaanza
 
Chief kubali tuu kuwa haukuwa serious kuweka 50k kwenye hii match
Mwache ana machungu bado....ila Mda mwingine ushabiki muweke pembeni..... Toka Mwanzoni nlikuwa nakwambia jamaa hana ubavu wa kumpiga Lesnar ila bado akawa anabisha....
 
Ila sikutaja mambo ya mzigo.... Mzigo nilitaja kwa Lesnar na Roman reigns tu... Daah nimeamini waongo si wanasiasa tu....ila mi ningekupa.. Believe or not
Hahaha....Jamaa anazingusha maneno, hahahaHH

Never expect honest from cheap people[emoji23] huu msemo huu[emoji23]
 
Ni ya kutunga jamani. Hivi wewe na akili zako shemus na misuli yake akiwa na sizaro washindwe kumpiga huyo baunsa. Kweli??
Ukitaka kuona ni fake kamuangalie broke lesnar akiwa MMA au UFC uone anapokea kichapo kwa watu wenye maumbo madogo tu. Mpk anaomba poo...halafu eti mtu
Mieleka ya kweli ni ile ya Olimpic tu. Sio hiyo inayiitwa ENTERTAIMENT sio sport.
Mbona MOVIE zote ni FAKE lakini ikitoka tu mnakimbilia mara sijui FAST&FURIOUS mara BLACK PANTHER....zote ni maigizo tena ya ku cut action cut action bado watu wapenda.
So as mieleka kule kuna script writer....leo wataongea maneno gani leo atapigana nani na nani atashinda.
Mwanamieleka akisema maneno nje ya script ilivyoandikwa anazimiwa mike... kama CM Punk etc
BROKE hapigani nje ya PPV maana hapendi WWE sema mc man anampa mpunga mrefu so masharti ni PPV tu hizo Raw n Smacdown ni za hao wanaolipwa mpunga mdogo.
Eti mtu mmoja anazungukwa na watu wenye misuli kama 12 washindwe kumtupa nje ya ulingo eti anawapiga wote. Yet akipigana na lesnar one to one anapigwa na huyo huyo lesnar akienda UFC anapigwa na akina MCbride..(type za yule aliyepigana na maywether miili midogo)
MMA n nn
 
Ha ha sio hadithi wana. Matukio ya wwe unaweza kuyaotea jinsi ya trend zao. Mimi nimefutilia sana kuhusu wwe na comments za hata hao fans walioko huko usa they know ni fake/scripted kama movie.
Mieleka ya ukweli iko olyimpics ndio inayoitwa SPORT
Hii ni ENTERTAIMENT kama MUZIKI NA MOVIES
Ndio maana huoni mashindano ya kushindanisha kati ya hao wa WWE na TNA ILE YA JAPAN AU YA MEXICO
Yaani kila mtu yuko kivyake.
TNA iko chini ya nani hiii mieleka siipend
 
Back
Top Bottom