Wadau wa utalii mna mtazamo gani kuhusu uamuzi mpya ukusanyaji wa mapato yanayotokana na utalii?

hahah Ngoja nisubiri subaru wrx sti ya chalii mmoja wa hapo Tanapa maana najua hali yake muda si mrefu itakua ni tete,nitaivuta kwa bei ya kinyonge kabisaaa.
 

Honestly, napata kigugumizi sana katika hilo hasa katika uendeshwaji mzima wa sekta ya utalii swala la centralization katika mapato litazipa wakati mgumu sana hizi taasisi, hapa naungana kabisa na mkuu mng'ato nadhani kwa mode ya uendeshaji wake kwa TANAPA na NCAA the only way ya kufanikisha mambo mengi ni kwa kuwa na mfumo wa decentralization na hii ni kutokana na unnecessary bureaucracy iliyopo kwenye serikali yetu.
 
Ngoja tuangalie huenda ikawa na matokeo chanya kwa maana kulikua na uozo.
 
Hahah mzee wa ku-think out of the box soon itabidi a-think out of the box kweli kweli.

Mzee kijazi anaona atakua anameza dawa za pressure kiaina manaa hizi habari zinashtua moyo mkuu,hahahah.
Mzee wa nje ya box anatakiwa awe smart zaidi kuhakikisha sekta inakua na ukwasi wa kutosha kuendeleza shughuli zake. It's time to show his greatness otherwise atawapigisha tu push ups wazee wa watu kwa hasira
 
Hahah mzee wa ku-think out of the box soon itabidi a-think out of the box kweli kweli.

Mzee kijazi anaona atakua anameza dawa za pressure kiaina manaa hizi habari zinashtua moyo mkuu,hahahah.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hii sio habari njema kabisa kwa kaka mkubwa, pigo takatifu hili.
 
Walishindwa kula na kipofu! Kila CAG anayepita wamo, wamekuwa mwiba! Labda hili ni suluhisho, wanakusanya vizuri sawa lakini wanatumia kama walevi wa komoni.

Everyday is Saturday........................ 😎

"Walishindwa kula na kipofu"

Exactly hiyo ndio kauli pekee tunayoweza kuwaelezea hao jamaa kwa sasa, hasa NCAA πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mzee wa nje ya box anatakiwa awe smart zaidi kuhakikisha sekta inakua na ukwasi wa kutosha kuendeleza shughuli zake. It's time to show his greatness otherwise atawapigisha tu push ups wazee wa watu kwa hasira
Daaah umenikumbushaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mzee wa "mzaha si mzahaa" πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ngoja tuangalie huenda ikawa na matokeo chanya kwa maana kulikua na uozo.
Walikuwa wamejisahau wakifikiria kutangaza makusanyo makubwa pekee ilitosha huku spending ni haphazard...

Na bwana mkubwa kuna tetesi anafuta mambo ya vitalu vya uwindaji anarudisha maeneo kuwa hifadhi za taifa...

Wizara itakuwa ya kawaida sana. Waziri fulani atakuwa kabakiza u specialist wa vichambo Insta n Twitter.

Everyday is Saturday........................ 😎
 
Na bwana mkubwa kuna tetesi anafuta mambo ya vitalu vya uwindaji anarudisha maeneo kuwa hifadhi za taifa...



Everyday is Saturday........................ 😎

Hili limeshaanza utekelezaji wake mkuu.
Ref, issue ya Selous ,TAWA tayari washapata pigo huko.
 
Hiyo inaitwa kufa kufaana, daah πŸ˜‚πŸ˜‚
Hahah enzi hizo kwa kweli pesa za huko porini tulizifaidi kweli kweli yaani sisi tulikua tuna think out of the box muda wa asubuhiiiiiii tukiwa tunazimua pale Galaxy,Kwa Marie wowowo,Pub la Monte,Carnivore yaani maisha yalikua matamu mpk ukisikia eti tupo kwny kundi la nchi maskini unashangaa kabisaaa...

Ila alivyoingia mzee baba tu tukanusa yajayo yanaweza kufurahisha ikabidi kutafuta chaka jingine fastaaaaa.
 
Mla Bata umegonga points kwelikweli. Vyote ulivyoandika vina mashiko. Ni kweli TRA wamehit Jackpot, lakini kwa kuwa tuna wasiwasi na ufanisi wa TANAPA na NCAA basi hii Jackpot inaweza kuwa ya muda mfupi, maana unapoondoa ufanisi matokeo yake ni kuua ulichokuwa nacho. In long-run upo uwezekano TRA wakajikuta wanakusanya kilekile walichokuwa wakikusanya awali kwa vile sekta itakuwa kushnei. Kucentralize sio namna bora, hasa kwa Serikali yetu. Kama kuna nia ya dhati ilikuwa kuangalia namna bora zaidi ya kucontrol upigaji lakini decentralization ibaki.
 
Daah bwn. Manong.. hata zile kashfa zake kujililia totozi wanono wanono nadhani zitapungua sana maana wanyonge tulikua tunaishia kula kwa macho tu mkuu,

Ila wajuba wamefaidi sana aisee.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ daah mzee Manonga, kuna chakula yake mwaka jana kaitoa porini kaiweka mjengoni arusha pale saizi imeondokana na tope la porini kule.
 
πŸ˜…πŸ˜… wadau wa kwa "Marie wowowo" mpo kumbee.

Bora mlijichenga mapema mkuu, mambo yanakwenda kubadilika kwa kasi sana.
 
πŸ˜…πŸ˜… wadau wa kwa "Marie wowowo" mpo kumbee.

Bora mlijichenga mapema mkuu, mambo yanakwenda kubadilika kwa kasi sana.
Hahah tupo mkuu, mambo za uhujumu uchumi nani anataka usawa huu.
 
Ni kweli kabisa mkuu hili la centralization as we all said sidhani kama ni perfect sana kwa hizi taasisi sema kosa kubwa walilolifanya ni "kushindwa kula na kipofu" πŸ˜‚πŸ˜‚
Hatujui mwisho wake utakuwaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…