hahah Ngoja nisubiri subaru wrx sti ya chalii mmoja wa hapo Tanapa maana najua hali yake muda si mrefu itakua ni tete,nitaivuta kwa bei ya kinyonge kabisaaa.Wacha wazichukue, hizo taasisi zilikuwa zinapiga hizo hela kwa kujipangia matumizi mabovu, malipo ya vikao na seminar na posho zisizoeleweka, wacha wawe wanagawiwa ka taasisi zingine..
Walishindwa kula na kipofu! Kila CAG anayepita wamo, wamekuwa mwiba! Labda hili ni suluhisho, wanakusanya vizuri sawa lakini wanatumia kama walevi wa komoni.
Everyday is Saturday........................ π
Sababu wewe unajua ni jinsi gani utalii unakua na demand ambazo muda mwingine ni unexpected (sababu ni service industry it's not uniform) ambazo zinahitaji immediate solutions. At this point will they get money on time au itakua mpaka wasubirie money from central government.
Ngoja tuangalie huenda ikawa na matokeo chanya kwa maana kulikua na uozo.Wacha wazichukue, hizo taasisi zilikuwa zinapiga hizo hela kwa kujipangia matumizi mabovu, malipo ya vikao na seminar na posho zisizoeleweka, wacha wawe wanagawiwa ka taasisi zingine..
Walishindwa kula na kipofu! Kila CAG anayepita wamo, wamekuwa mwiba! Labda hili ni suluhisho, wanakusanya vizuri sawa lakini wanatumia kama walevi wa komoni.
Everyday is Saturday........................ π
Mzee wa nje ya box anatakiwa awe smart zaidi kuhakikisha sekta inakua na ukwasi wa kutosha kuendeleza shughuli zake. It's time to show his greatness otherwise atawapigisha tu push ups wazee wa watu kwa hasiraHahah mzee wa ku-think out of the box soon itabidi a-think out of the box kweli kweli.
Mzee kijazi anaona atakua anameza dawa za pressure kiaina manaa hizi habari zinashtua moyo mkuu,hahahah.
πππ hii sio habari njema kabisa kwa kaka mkubwa, pigo takatifu hili.Hahah mzee wa ku-think out of the box soon itabidi a-think out of the box kweli kweli.
Mzee kijazi anaona atakua anameza dawa za pressure kiaina manaa hizi habari zinashtua moyo mkuu,hahahah.
Walishindwa kula na kipofu! Kila CAG anayepita wamo, wamekuwa mwiba! Labda hili ni suluhisho, wanakusanya vizuri sawa lakini wanatumia kama walevi wa komoni.
Everyday is Saturday........................ π
Daaah umenikumbushaa πππMzee wa nje ya box anatakiwa awe smart zaidi kuhakikisha sekta inakua na ukwasi wa kutosha kuendeleza shughuli zake. It's time to show his greatness otherwise atawapigisha tu push ups wazee wa watu kwa hasira
Hiyo inaitwa kufa kufaana, daah ππhahah Ngoja nisubiri subaru wrx sti ya chalii mmoja wa hapo Tanapa maana najua hali yake muda si mrefu itakua ni tete,nitaivuta kwa bei ya kinyonge kabisaaa.
Walikuwa wamejisahau wakifikiria kutangaza makusanyo makubwa pekee ilitosha huku spending ni haphazard...Ngoja tuangalie huenda ikawa na matokeo chanya kwa maana kulikua na uozo.
Na bwana mkubwa kuna tetesi anafuta mambo ya vitalu vya uwindaji anarudisha maeneo kuwa hifadhi za taifa...
Everyday is Saturday........................ π
Wizara itakuwa ya kawaida sana. Waziri fulani atakuwa kabakiza u specialist wa vichambo Insta n Twitter.
Everyday is Saturday........................ π
Zinatakiwa zote zipite njia moja... Sipati picha hiyo traffic yakeFrom decentralization System na sasa tunarudi kwa kasi ya ajabu kwny Centralization Sys.(Mfuko mkuu wa hazina)
Daah bwn. Manong.. hata zile kashfa zake kujililia totozi wanono wanono nadhani zitapungua sana maana wanyonge tulikua tunaishia kula kwa macho tu mkuu,Hili limeshaanza utekelezaji wake mkuu.
Ref, issue ya Selous ,TAWA tayari washapata pigo huko.
Hahah enzi hizo kwa kweli pesa za huko porini tulizifaidi kweli kweli yaani sisi tulikua tuna think out of the box muda wa asubuhiiiiiii tukiwa tunazimua pale Galaxy,Kwa Marie wowowo,Pub la Monte,Carnivore yaani maisha yalikua matamu mpk ukisikia eti tupo kwny kundi la nchi maskini unashangaa kabisaaa...Hiyo inaitwa kufa kufaana, daah ππ
Mla Bata umegonga points kwelikweli. Vyote ulivyoandika vina mashiko. Ni kweli TRA wamehit Jackpot, lakini kwa kuwa tuna wasiwasi na ufanisi wa TANAPA na NCAA basi hii Jackpot inaweza kuwa ya muda mfupi, maana unapoondoa ufanisi matokeo yake ni kuua ulichokuwa nacho. In long-run upo uwezekano TRA wakajikuta wanakusanya kilekile walichokuwa wakikusanya awali kwa vile sekta itakuwa kushnei. Kucentralize sio namna bora, hasa kwa Serikali yetu. Kama kuna nia ya dhati ilikuwa kuangalia namna bora zaidi ya kucontrol upigaji lakini decentralization ibaki.Kuongezeka kwa mapato, YES i'm sure hundred % hapa TRA wamehit the Jackpot naona sasa ile 25% ya pato litokanalo na utalii litaongezeka zaidi ya hapo in the near future, najua unajua jinsi gani hii sekta ilivyo na pesa nyingi ambazo kwa asilimia kubwa zinaishia kwa sekta binafsi "big boys" , lakini kwa uamuzi huu naona sasa serikali yetu inaenda kufaidika moja kwa moja na vivutio vyake.
Speaking of ufanisi hapa napata ukakasi wale wazee wa Tanapa na NCAA kuwaondolea hii nafasi ya upigaji ile morali ya kazi sidhani kama itakuwa kama awali hasa hawa watumishi wa ngazi za chini, ngoja tujipe muda lakini sioni morali ile iliyokuwepo kwa vijana wa NCAA pale mjini karatu πkama itaendelea kuwepo.
πππ daah mzee Manonga, kuna chakula yake mwaka jana kaitoa porini kaiweka mjengoni arusha pale saizi imeondokana na tope la porini kule.Daah bwn. Manong.. hata zile kashfa zake kujililia totozi wanono wanono nadhani zitapungua sana maana wanyonge tulikua tunaishia kula kwa macho tu mkuu,
Ila wajuba wamefaidi sana aisee.
π π wadau wa kwa "Marie wowowo" mpo kumbee.Hahah enzi hizo kwa kweli pesa za huko porini tulizifaidi kweli kweli yaani sisi tulikua tuna think out of the box muda wa asubuhiiiiiii tukiwa tunazimua pale Galaxy,Kwa Marie wowowo,Pub la Monte,Carnivore yaani maisha yalikua matamu mpk ukisikia eti tupo kwny kundi la nchi maskini unashangaa kabisaaa...
Ila alivyoingia mzee baba tu tukanusa yajayo yanaweza kufurahisha ikabidi kutafuta chaka jingine fastaaaaa.
Hahah daah kwny mambo hayo mkuu hua hazeeki kabisaa,ache ale maisha tu mkuu.πππ daah mzee Manonga, kuna chakula yake mwaka jana kaitoa porini kaiweka mjengoni arusha pale saizi imeondokana na tope la porini kule.
Hahah tupo mkuu, mambo za uhujumu uchumi nani anataka usawa huu.π π wadau wa kwa "Marie wowowo" mpo kumbee.
Bora mlijichenga mapema mkuu, mambo yanakwenda kubadilika kwa kasi sana.
Ni kweli kabisa mkuu hili la centralization as we all said sidhani kama ni perfect sana kwa hizi taasisi sema kosa kubwa walilolifanya ni "kushindwa kula na kipofu" ππMla Bata umegonga points kwelikweli. Vyote ulivyoandika vina mashiko. Ni kweli TRA wamehit Jackpot, lakini kwa kuwa tuna wasiwasi na ufanisi wa TANAPA na NCAA basi hii Jackpot inaweza kuwa ya muda mfupi, maana unapoondoa ufanisi matokeo yake ni kuua ulichokuwa nacho. In long-run upo uwezekano TRA wakajikuta wanakusanya kilekile walichokuwa wakikusanya awali kwa vile sekta itakuwa kushnei. Kucentralize sio namna bora, hasa kwa Serikali yetu. Kama kuna nia ya dhati ilikuwa kuangalia namna bora zaidi ya kucontrol upigaji lakini decentralization ibaki.