Wadau wa utalii mna mtazamo gani kuhusu uamuzi mpya ukusanyaji wa mapato yanayotokana na utalii?

Wadau wa utalii mna mtazamo gani kuhusu uamuzi mpya ukusanyaji wa mapato yanayotokana na utalii?

Mkuu Cvez kwa NCAA na TANAPA naona anguko kubwa sana, hawa jamaa kwa miaka mingi fujo zao za pesa zimetokana na ukusanyaji wao wa pesa kupitia shughuli za utalii ukizingatia asilimia zaidi ya tisini utalii wa nchi hii unategemea wanyamapori basi iliwapa nguvu kubwa sana, hili la kucentralize ukusanyaji kwenda TRA then hazina utawanyima fursa nyingi za upikaji hawa jamaa, nadhani serikali iliona vurugu zile za pesa zilizofanywa na "machief", nawaza tu maisha baada ya hilo, kwa wazee wa game TAWA hili ni pigo jingine kubwa baada ya lile la kupokonywa maeneo yao muhimu ya upigaji pale Selous.
Mkuu tupo pamoja, nakumbuka kuna vigogo wamefaidi sana huu mfumo, mfano mmoja tu; kuna mzee mmoja wa TANAPA anastaafu soon kiukweli ametengeneza maisha ya kizazi chake kutokana na mfumo huo, wao pesa walikuwa wanaiona na kuamaua wafanye nini ili kuitumia.

Mfumo wa decentralisation ulikuwa mzuri endapo waungwana wangekuwa wanaiba kwa heshima, tatizo wanaiba kwa "ndiyo ule mfumo alio..uongea mbunge Kishimba" so inaweza kuwa msaada endapo serikali kuu nayo baada ya makusanyo isiwe na roho ngumu kutoa fedha za maendeleo kwa sehemu husika ktk hizo.

Nawaangalia TAWA hawa nao hawavumi lakini wamo, kuanzia pale makao makuu Morogoro mpaka ofisi ya Arusha kuna kitengo kina urasimu sana kutoa vibali mpaka utumie ile slogan ya 'ongea tuongee.'
 
Nani alifikiri leo TANAPA,NCAA na TAWA awatakuwa tena wakusanyaji wa madhuhuli na hivyo awatapa tena 25% watanza kutegemea Hazina.Walijisahau sana na kuishi maisha ya ufahari.
 
Hili lilionekana muda sana mkuu hasa kwa NCAA lile swala la kutumia Billions kama bajeti kwenye vikao vyao kwa mwaka "mkulu" halikumfurahisha kabisa.
Dah! Vikao wanalipana pesa mingi sana na posho nyinginyingi za hapa na pale, Lakini pamoja na yote sioni kama hili la kukusanywa na TRA litakuwa suluhu, upigaji unahamia kwingine.
 
Daah bwn. Manong.. hata zile kashfa zake kujililia totozi wanono wanono nadhani zitapungua sana maana wanyonge tulikua tunaishia kula kwa macho tu mkuu,

Ila wajuba wamefaidi sana aisee.
Hahaha halafu sijui kwa nini maconsaveta wote wa NCAA wanakuwaga viwembe au ni mfuko ndio huwa unaongea? Mabwana nyama sasa hivi hata bia hazishuki😁
 
Kwani kwa hv sasa malipo ya hifadhini si yanalipwa kwa kupewa control number ambapo pesa inaingia account kuu ya Serikali moja kwa moja? au mimi ndy sielewi?

Miaka ya nyuma nakumbuka pesa ilikuwa ikiingia moja kwa moja kwa hizi taasisi NCAA , TANAPA etc, na pia walikuwa wakichukua hata cash kwenye mageti ya hifadhini na ndipo upigaji haswa ulikuwa ukifanyika.

Ila hii naona kama ita demoralize ufanisi wa hizi taasisi especially ktk ku maintain huduma za kiutalii, maana na wao sasa watakuwa wanasubiri fadhira za bajeti. Ingekuwa vyema wangejikita zaidi ktk kuhakikisha kunakuwa na matumizi mazuri ya rasilimali pesa. Sababu it's obvious kuwa kitu chochote kinacho generate income ya kutosha kinahiji rasilimali za kutosha ili kiweze kuendelea ku maintain uzalishaji wa kutosha wa faida.
 
Kwani kwa hv sasa malipo ya hifadhini si yanalipwa kwa kupewa control number ambapo pesa inaingia account kuu ya Serikali moja kwa moja? au mimi ndy sielewi?

Miaka ya nyuma nakumbuka pesa ilikuwa ikiingia moja kwa moja kwa hizi taasisi NCAA , TANAPA etc, na pia walikuwa wakichukua hata cash kwenye mageti ya hifadhini na ndipo upigaji haswa ulikuwa ukifanyika.

Ila hii naona kama ita demoralize ufanisi wa hizi taasisi especially ktk ku maintain huduma za kiutalii, maana na wao sasa watakuwa wanasubiri fadhira za bajeti. Ingekuwa vyema wangejikita zaidi ktk kuhakikisha kunakuwa na matumizi mazuri ya rasilimali pesa. Sababu it's obvious kuwa kitu chochote kinacho generate income ya kutosha kinahiji rasilimali za kutosha ili kiweze kuendelea ku maintain uzalishaji wa kutosha wa faida.
Ufanisi unaweza pungua muhimu ni kusimamia mapato vyema haya mambo ya kusubiria budget kutoka serikali kuu ni changamoto katika utalii.
 
Mkuu tupo pamoja, nakumbuka kuna vigogo wamefaidi sana huu mfumo, mfano mmoja tu; kuna mzee mmoja wa TANAPA anastaafu soon kiukweli ametengeneza maisha ya kizazi chake kutokana na mfumo huo, wao pesa walikuwa wanaiona na kuamaua wafanye nini ili kuitumia.

Mfumo wa decentralisation ulikuwa mzuri endapo waungwana wangekuwa wanaiba kwa heshima, tatizo wanaiba kwa "ndiyo ule mfumo alio..uongea mbunge Kishimba" so inaweza kuwa msaada endapo serikali kuu nayo baada ya makusanyo isiwe na roho ngumu kutoa fedha za maendeleo kwa sehemu husika ktk hizo.

Nawaangalia TAWA hawa nao hawavumi lakini wamo, kuanzia pale makao makuu Morogoro mpaka ofisi ya Arusha kuna kitengo kina urasimu sana kutoa vibali mpaka utumie ile slogan ya 'ongea tuongee.'
Dah! Vikao wanalipana pesa mingi sana na posho nyinginyingi za hapa na pale, Lakini pamoja na yote sioni kama hili la kukusanywa na TRA litakuwa suluhu, upigaji unahamia kwingine.

Prishaz Kuna mdau amezungumza hapo awali, baada ya kufunga ulaji wa moja kwa moja kwa taasisi hizi sasa urasimu unaenda kuhamia upande mwingine, TODAYS Tunakubaliana kabisa kuwa Decentralization ilikuwa perfect sana sema wahusika walinogewa na kujisahau sana.
 
Kuongezeka kwa mapato, YES i'm sure hundred % hapa TRA wamehit the Jackpot naona sasa ile 25% ya pato litokanalo na utalii litaongezeka zaidi ya hapo in the near future, najua unajua jinsi gani hii sekta ilivyo na pesa nyingi ambazo kwa asilimia kubwa zinaishia kwa sekta binafsi "big boys" , lakini kwa uamuzi huu naona sasa serikali yetu inaenda kufaidika moja kwa moja na vivutio vyake.

Speaking of ufanisi hapa napata ukakasi wale wazee wa Tanapa na NCAA kuwaondolea hii nafasi ya upigaji ile morali ya kazi sidhani kama itakuwa kama awali hasa hawa watumishi wa ngazi za chini, ngoja tujipe muda lakini sioni morali ile iliyokuwepo kwa vijana wa NCAA pale mjini karatu 😂kama itaendelea kuwepo.
Kuna vijana wa JKT wapo wengi tuu mtaani wakilileta za kuzingua wana overall system wana ajiri vijana wengi tuu kitaa, graduates, master na PhD holder wapo wa kutosha tuu wenye fani za uhifadhi. wakizengua mkulu na yeye awazengue tuu, mbona alifanikiwa kwa vyeti feki sembuse hawa nguchiro wasiozidi watumishi 300 ncaa na 3500 tanapa
 
Honestly, napata kigugumizi sana katika hilo hasa katika uendeshwaji mzima wa sekta ya utalii swala la centralization katika mapato litazipa wakati mgumu sana hizi taasisi, hapa naungana kabisa na mkuu mng'ato nadhani kwa mode ya uendeshaji wake kwa TANAPA na NCAA the only way ya kufanikisha mambo mengi ni kwa kuwa na mfumo wa decentralization na hii ni kutokana na unnecessary bureaucracy iliyopo kwenye serikali yetu.
Why unatetea NCCA na TANAPA, hawa wa tawa na tfs hawana damu, au wewe ni miongomi mwa wafaidika? ushapewa mshiko mkuu ili uwatetee haya endelea
 
NCAA/TANAPA kwisha habari yao mkuu.
... hawa jamaa (TANAPA/NCCA) si ndio bodi zao walikuwa wanafanyia vikao Dubai na kulipana posho za kufuru hawa? Siwaonei wivu ila kwa kweli walizidi.

Kwa hli naipongeza Serikali ila muhimu hao TRA wawe makini "fujo" zao za kijinga zisije zikaua utalii badala ya kuuboresha maana wanachoangalia ni kodi waliyokadiria wao tu hata kama utauza assets ili uweze kulipia hayo makadirio yao wala hawajali as long as wamefikia "lengo".
 
TODAYS Tunakubaliana kabisa kuwa Decentralization ilikuwa perfect sana sema wahusika walinogewa na kujisahau sana.
Okay, na hapo juu kuna mdau kamtaja mzee kijazi ambaye nakumbuka ilikuwa aondolewe pale wkt huu wa john ila kwa sababu flani ikiwepo ndg yake wa state ikasemekana abaki kwa sababu yupo karibu kustaafu.

Huyu mzee na wengine wa NCCA wamepiga sana sana pesa za hizo taasisi na wana utajiri wa kufa mtu yote hiyo imetokana na kuiona pesa muda wote ikitoka mfukoni mwa mtalii kuingia kwenye kabati la ofisi.

Na kuna ofisi nyingine (taasisi) pale Arusha AICC japo inaemea kwenye mashine ila inapaswa kuangaluwa sana.
 
hahah Ngoja nisubiri subaru wrx sti ya chalii mmoja wa hapo Tanapa maana najua hali yake muda si mrefu itakua ni tete,nitaivuta kwa bei ya kinyonge kabisaaa.
Daah hii dua sio ta kumwombea mwenzako duuh1[emoji1787][emoji1787]
 
Honestly, napata kigugumizi sana katika hilo hasa katika uendeshwaji mzima wa sekta ya utalii swala la centralization katika mapato litazipa wakati mgumu sana hizi taasisi, hapa naungana kabisa na mkuu mng'ato nadhani kwa mode ya uendeshaji wake kwa TANAPA na NCAA the only way ya kufanikisha mambo mengi ni kwa kuwa na mfumo wa decentralization na hii ni kutokana na unnecessary bureaucracy iliyopo kwenye serikali yetu.
Hapa umenena vema kabisa. Suala la urasimu wa kupata hizi fedha toka hazina na kwa aina ya kazi zao hawa NCAA TANAPA TAWA NA TFS zitaenda kushindwa kurimiza majukumu yake. Tusishangae ujangili kuongezeka au huduma za utalii pamoja na ubora wake zikashuka sana...na mapato kushula pia mwishowe
 
Okay, na hapo juu kuna mdau kamtaja mzee kijazi ambaye nakumbuka ilikuwa aondolewe pale wkt huu wa john ila kwa sababu flani ikiwepo ndg yake wa state ikasemekana abaki kwa sababu yupo karibu kustaafu.

Huyu mzee na wengine wa NCCA wamepiga sana sana pesa za hizo taasisi na wana utajiri wa kufa mtu yote hiyo imetokana na kuiona pesa muda wote ikitoka mfukoni mwa mtalii kuingia kwenye kabati la ofisi.

Na kuna ofisi nyingine (taasisi) pale Arusha AICC japo inaemea kwenye mashine ila inapaswa kuangaluwa sana.
Ni tajiri sana huyo faza,ila kule Tanapa/ncaa ukitoka maskini mpk Shetani mwenyewe anakuona boya.

Nasikia yule wa mzee wa State,huyu wa Tanapa na yule boss mkuu mama wa kule Idara ya hali hewa ni ndugu sijui kama ni kweli au ni story za mjini tu.
 
Why unatetea NCCA na TANAPA, hawa wa tawa na tfs hawana damu, au wewe ni miongomi mwa wafaidika? ushapewa mshiko mkuu ili uwatetee haya endelea

Hao uliowataja wanaingizia kiasi gani pato litokanalo na utalii??? TFS tunajua asilimia kubwa wanaingiza pato kupitia uvunaji wa misitu na other non-timber products , hao TAWA ndio hawajiwezi hata kujikongoja, kwa asilimia kubwa walikuwa wanategemea vitalu vya uwindaji hasa pale selous ambavyo saizi washaporwa sasa kwa swala la kuingiza pato kwa utalii tutawaongeleaje mkuu??? Hilo lipo wazi Tanapa , NCAA ndio vinara wa ukusanyaji wa mapato kwa shughuli za utalii hao wengine watulie kwanza wakavune asali.
 
... hawa jamaa (TANAPA/NCCA) si ndio bodi zao walikuwa wanafanyia vikao Dubai na kulipana posho za kufuru hawa? Siwaonei wivu ila kwa kweli walizidi.

😂😂😂😂 ndio hao mkuu.
Kwa hli naipongeza Serikali ila muhimu hao TRA wawe makini "fujo" zao za kijinga zisije zikaua utalii badala ya kuuboresha maana wanachoangalia ni kodi waliyokadiria wao tu hata kama utauza assets ili uweze kulipia hayo makadirio yao wala hawajali as long as wamefikia "lengo".

Yeah, well said mkuu.
 
Back
Top Bottom