Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Hii ikoje, market maker?
Mkuu nimekuandikia tu kirefu chake...hyo strategy huwa siitumii...ilinishindaga..kwa sasa muongozo wangu ni candlestick trading bible...nilishajaribu strategy nyingi sana..indicators kibao...they never worked...ngoja nitaweka hapa trading plan nilitengenezaga....ukiweza kuifuata itabadilisha maisha yako.
Achana na ujinga wakutafuta watu piga kazi wwAkili ndogo haiwezi fanya vitu vikubwa, endelea kubeba tofali
Sawa hayo ni maoni yako
We endelea kubeba tofali
Na maandiko hayo hayo yanasema "watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa"Achana na ujinga wakutafuta watu piga kazi ww
Maandiko yanasema asiyefanya kazi na asile sio asiyetafuta watu kujiunga kwenye
Forex=SHETANI
Aiseeeee umepiga kichwani mwamba anafel sana ila majibu mazuri kwa watu wasumbufu kama huyuZinafeli kwa sababu unatest na kuacha kwa sababu ya tamaa ya kutaka strategy itakayokupa hela haraka! No holy grail strategy! Cha kufanya chagua strategy moja kama vile BTMM, Demand and Supply au order flow kisha komaa nayo kwa miaka mitano utaona matunda! Forex siyo rahisi hata kidogo, ukiranda randa na strategy mbalimbali utaishia kuona forex ni ngumu na utaiacha!
We ulidhani forex huwa wanauza tu.
Forex inaenda kwa kununua Sarafu inaposhuka thamani na kuuza pale inapopanda thamani.....it's totally pure businessAtaelewa tu,
Scalping? Kama unataka tumia hii njia bora uache tu.Natamani sana kua scarper, japo nakosea maana scarping inafaa kuingia sokoni lot size kubwa
Id yako inasadifu uwezo wako wa kufikiri.Forex haina tofauti na kamari muda wowote unalia
Id yako inasadifu uwezo wako wa kufikiri.
Kwa hiyo benki nazo zinacheza kamari?Tofauti yenu na forex ya mabenk wenzenu uwa hawachomi account.
Kwa hiyo benki nazo zinacheza kamari?
Kuna jamaa anaitwa Ccnp engineer humu JF alikua anakuja kutamba yeye anaingiza mamilion kwny forex sijui nini,mara paap kaanzisha thread anaomba ushauri anataka akope mil 5. afu aache kazi ili aanzishe biashara ndogondogo,hahah nilicheka sana aisee.Mbona wapo wengi wanaopiga pesa na wameweka ushuhuda huku?
Siku hizi sina presha kabsa na sichomi tena account natageti only 5% of my capital yaani nikiwa na mtaji wa $100 naweka lot ya 0.10 then ngoma ikifika kuanzia 5 to 10 pips natoka zangu yaanì hapo kwa mwezi ninadable account na kingine nilichokifanya ni kuwa na account tofaut na ninazo tatu moja ni ya matumizi y kila siku nyingine ya ujenzi na nyingine natembea nayo mwaka mzima, so hebu jaribu kufikiria kila mwezi acount inakuwa dabod kwa mwaka itakuwa ngap na strategy yangu ni simpo sana nafanya top down analisis from d1 to 15 na entry zangu ni 15 hapo ni kugusa tuu nishapata changu then nakaa pembeni
Zinafeli kwa sababu unatest na kuacha kwa sababu ya tamaa ya kutaka strategy itakayokupa hela haraka! No holy grail strategy! Cha kufanya chagua strategy moja kama vile BTMM, Demand and Supply au order flow kisha komaa nayo kwa miaka mitano utaona matunda! Forex siyo rahisi hata kidogo, ukiranda randa na strategy mbalimbali utaishia kuona forex ni ngumu na utaiacha!
Tofauti yake ni nini?forex ya bank na yako ni tofauti.
Wao hawachomi account.
Japo wote mnafanya forex Lakini wewe una hatari kubwa ya kupoteza hela zako na kubaki
Na 0$