Wadau yamenikuta, hawa Wanawake hawa…

Wadau yamenikuta, hawa Wanawake hawa…

Habari ya usiku huu.

Kijana mwenzenu yamenikuta aisee. Ngoja niingie kwenye mada moja kwa moja.

Kuna binti nilikuwa nae na nilipanga kumuoa,lakini masiku ya hivi karibuni nimeona amebadilika hayuko kama zamani (hapa najua wakubwa wenzangu mmenielewa kwamba kitu kidogo anakasirika na kukuza mambo,nikajua hapa natafutiwa sababu ya kuachwa,machale yakanicheza mapema). Sababu binti namjua vilivyo,nikambana sana akaamua kufunguka hiyo ilikuwa juzi. Akasema ni kweli kuna mtu ameunganishiwa na ndugu zake yaani dada zake na wameanza kuwasiliana na kwa mujibu wake huyo muhusika hakumwambia kama ana mtu na binti amekubali kuolewa na huyo mtu.

Lakini katika kuunganisha doti nahisi huyo muhusika(yaani muoaji) nina mfahamu kabisa. Sasa nimekaa hapa najiuliza je nipotezee nikubali matokeo au nimfate mdau nimwambie ukweli ?

Ushauri wenu tafadhali.
Kisa chako ni Kama changu 2016, hawa viumbe ni kuishi nao kwa akili sana. Ukitaka wife material oa mwanamke ambaye ni wakawaida asiyena mvuto
 
Habari ya usiku huu.

Kijana mwenzenu yamenikuta aisee. Ngoja niingie kwenye mada moja kwa moja.

Kuna binti nilikuwa nae na nilipanga kumuoa,lakini masiku ya hivi karibuni nimeona amebadilika hayuko kama zamani (hapa najua wakubwa wenzangu mmenielewa kwamba kitu kidogo anakasirika na kukuza mambo,nikajua hapa natafutiwa sababu ya kuachwa,machale yakanicheza mapema). Sababu binti namjua vilivyo,nikambana sana akaamua kufunguka hiyo ilikuwa juzi. Akasema ni kweli kuna mtu ameunganishiwa na ndugu zake yaani dada zake na wameanza kuwasiliana na kwa mujibu wake huyo muhusika hakumwambia kama ana mtu na binti amekubali kuolewa na huyo mtu.

Lakini katika kuunganisha doti nahisi huyo muhusika(yaani muoaji) nina mfahamu kabisa. Sasa nimekaa hapa najiuliza je nipotezee nikubali matokeo au nimfate mdau nimwambie ukweli ?

Ushauri wenu tafadhali.
Halafu utakuta hao dada zake hawajaolewa . Kwa kifupi inaonekana huyo jamaa ana Hela. Tutafute Hela
 
🥲Pole kiongozi Unawezaje kuishi na mtu anaeatafutiwa mtu na dada zake hata ukioa utasumbuliwa badae maana akili kichwani zimeshikiliwa kwao hawezi tumia uo ubongo wake …. Sema mna moyo mpaka mnawaza na kuoa kabisa
 
Kisa chako ni Kama changu 2016, hawa viumbe ni kuishi nao kwa akili sana. Ukitaka wife material oa mwanamke ambaye ni wakawaida asiyena mvuto
Kisa chako kilikuwaje kaka ?
 
Aiseee umfuate nini jamaa kwani ndio utakae Muoa?
We unaetaka kumuoa ni huyo demu sasa kashaonyesha hana mapenzi na wewe we piga chini tafta Chaka Jingine.
 
Kisa chako ni Kama changu 2016, hawa viumbe ni kuishi nao kwa akili sana. Ukitaka wife material oa mwanamke ambaye ni wakawaida asiyena mvuto
Sasa mwanamke asiye na mvuto wewe atakuvutia nini?

Mapenzi ni hisia, lazima ule kitu roho inapenda.

IMG-20211224-WA0001.jpg
 
Angekupenda asingefanya hayo, Kutaka kumwambia muoaji ni kama unalazimisha ndoa. Wataachana lakini hata ukimuoa kuna siku atakuliza

Asikuhadae na kujifanya kwake bado anataka mawasiliano na wewe hiyo ni hulka ya kimalaya

Anaolewaje na mwingine na anawasiliana na mwingine?
 
Poleeeeeh kwa maumivu. Kuna maisha nje ya mahusiano ya kimapenzi.
 
Habari ya usiku huu.

Kijana mwenzenu yamenikuta aisee. Ngoja niingie kwenye mada moja kwa moja.

Kuna binti nilikuwa nae na nilipanga kumuoa,lakini masiku ya hivi karibuni nimeona amebadilika hayuko kama zamani (hapa najua wakubwa wenzangu mmenielewa kwamba kitu kidogo anakasirika na kukuza mambo,nikajua hapa natafutiwa sababu ya kuachwa,machale yakanicheza mapema). Sababu binti namjua vilivyo,nikambana sana akaamua kufunguka hiyo ilikuwa juzi. Akasema ni kweli kuna mtu ameunganishiwa na ndugu zake yaani dada zake na wameanza kuwasiliana na kwa mujibu wake huyo muhusika hakumwambia kama ana mtu na binti amekubali kuolewa na huyo mtu.

Lakini katika kuunganisha doti nahisi huyo muhusika(yaani muoaji) nina mfahamu kabisa. Sasa nimekaa hapa najiuliza je nipotezee nikubali matokeo au nimfate mdau nimwambie ukweli ?

Ushauri wenu tafadhali.
Umwambie ukweli gani? Majitu majinga ya kuchezewa na wanawake hamtakaa muishe Duniani.

Tufanye umemwambia sawa,sasa unaoa mtu ambae hakupendi? Ukija kujinyonga usije kusimulia humu.
 
Back
Top Bottom