Wadau yamenikuta, hawa Wanawake hawa…

Wadau yamenikuta, hawa Wanawake hawa…

We achia ngazi tu, kwanini uteseke?.... Mambo mengine ww Mungu anakuonyesha kbs lkn bd hutaki kuamini. Mkuu apo hakuna mahusiano kbs huyo ameshaelemewa teyari na upande mwengine. Na akuna jambo gumu duniani kama kumbadilisha mtu ambaye ameshaanza usaliti. Otherwise unataka kuteseka.
 
Piga screenshot zitume kwa huyo punda wake mpya, mwambie wewe umeshamove on amkanye mke wake hutaki kuingilia mahusiano yao.

Hii inaitwa kupigisha shoti.
Hahaha... Daah, hii itakuwa mtaka yote kwa pupa hukosa vyote!
 
Sijakataa na inawezekana pia mtoa mada ana mapungufu yake, lakini mpaka mwanamke anafikia hatua ya kukubali kufanyiwa maamuzi yatakayogharimu maisha yake ni dhahiri kuwa kuna dosari kwenye mfumo wake wa akili.

Sipo hapa kutetea upande wowote.
Aiseee.Fikra huru.
 
Nina miaka 42; najuta Sana mambo ya kijinga ya kuamini wanawake wakati nipo na umri Kati ya 25 - 30!

Wanawake achana nao; hawana maana; weka vipi unbele vyako vizuri ambavyo Ni:

  • Sala, Imani na uaminifu.
  • Shuleni/Chuo Kama umejaliwa.
  • Biashara au Ajira

Unakutana na wanawake wengi wazuri Mbele; na wote wanaitaji fedha ili uwamudu; Hakuna mapenzi bila uwezo wa kifedha.

Sijui Huyu ana upendo wa kweli hataki hela, ananivumilia; Bullshit; Hakuna mwanamke anavumilia mtu asiye na hela, anakula timing tu aende.
Wapo waliopata fedha na wana fedha na wameishia kupata maumivu kwa magold digger tu,
Mru anajiuliza huyu mwanamke kakosa nini kwangu mpaka atoke na kale " kajamaa" kadogo kenyewe hakana hata ajira kanashinda betting tu...!

Yakupasa kuelewa mapenzi yako ki hisia zaidi , na hapa ndio wanaume wengi wanapofeli jisni ya kujiconnect emotionally na kum-attract sexually mwanamke.

Wengi hukimbilia kuhonga ovyo ovyo , kujisfia hao ni watu wa hadhi fualin , au kujishow wako stable kiuchumi ili kumvutia mwanamke kimapenzi.... na hii ni very wrong!!!
 
Huwezi sema una mchumba kwa hv vida vyenue umri kuanzia 18-27,hao bado hawajajua dunia n Nini na kiukweli watakusumbua Sana maana bado akili ndogo, other wise labda ukipata wa hivyo ukitundike mimba haraka kama kweli unataka kuoa na Hilo kwa dunia ya saaa ni ngumu coz kuchomoa mimba kwao n dk 0
Ukitaka ambaye hata kusumbua n kuanzia 28-35 hapo huta pata mawazo kwasababu tayari huyo Kesha pitia mengi na pia Kesha umizwa anajua uchungu wa mapenzi na hapo yupo tayari kuolewa ktk mazingira yeyote,
Nimi niliwahi kuwa na kamoja ka hivyo kalinisumbua Sana, unakuta kana account 4 za fb, majina tofauti et sijui princes nani, sijui Diana.., hovyo sana, namba za cm anazo 4,nasafiri nae nakumbuka siku moja tupo ubungo Kumbe kwenye basi kamuona class mate wake akamkomyeza wakashuka nyuma ya basi naangalia naona wamekumbatiana ana mu hug,last time nikakuta kanaliwa na mume wa mtu.
Nikama mtu kunidanganya et una mchumba yupo chuo, aisee my friend kuwa makini
Hiyo miaka uliyoitaja wengi /(sio wote) wanakuwa wame run out of option... so mwanamke akifikia hatua hiyo kama yupo kwenye hali mbaya kiuchumi na kimahusianao au akijihisi amepoanza kupoteza mvuto ...hutafuta loser yyyte yule atakeyjileta mbele yake..

Nitofauti na kidemu kinachochipuka na kupata attention kila anapokwenda..!

So kama wewe unapenda vitu vya nanmna hiyo good for yah, lakini watu wana weza kuwa handle hao 20 ~27 wapo na sio wote ni micharuko
 
Hahahaha hapana kabisa watoto wa kike huwa wanashikwa sana masikio.

Ila ngoja niendelee kutafuta pesa kaka.
Kweli bro, we zisake tu.. Hamna mapenzi hapo inaonesha jamaa jamaa kakuzidi kutoa ndo maana wanakuchukulia poa.
 
mwanaume wa kweli usikubali kupoteza kizembee mfwate na umwambie unayoyafahamu pia rudi home mweleze bint, na kama hatokuelewa mwache mbwa akajiwindie peke yake
Nimekuelewa sana kaka.
 
wewe una mapango nae gani


sio mwenyewe hueleweki.......

watamuoa tu mjini


saa hizi ulitakiwa uwe ushatoa posa mnapanga tarehe ya ndoa
 
Wapo waliopata fedha na wana fedha na wameishia kupata maumivu kwa magold digger tu,
Mru anajiuliza huyu mwanamke kakosa nini kwangu mpaka atoke na kale " kajamaa" kadogo kenyewe hakana hata ajira kanashinda betting tu...!

Yakupasa kuelewa mapenzi yako ki hisia zaidi , na hapa ndio wanaume wengi wanapofeli jisni ya kujiconnect emotionally na kum-attract sexually mwanamke.

Wengi hukimbilia kuhonga ovyo ovyo , kujisfia hao ni watu wa hadhi fualin , au kujishow wako stable kiuchumi ili kumvutia mwanamke kimapenzi.... na hii ni very wrong!!!
Upo deep sana mkuu. Mwanzoni mwanamke ataolewa na mtu kwasababu anapata kila kitu, akishazoea raha zote (kupata mahitaji yote) ndio mapicha picha yanaanza kwasababu anakuwa hana hisia na huyo mwanaume.
 
Back
Top Bottom