Wadau yamenikuta, hawa Wanawake hawa…

Wadau yamenikuta, hawa Wanawake hawa…

Kiukweli nimemuacha ila ameniomba msamaha nimemsamehe na anataka tuendelee na mawasiliano nikamwambia siwezi kuendelea na mawasiliano sababu nakuwa kama simfanyii fair jamaa yake. Nikampiga stop.

Kila muda kananitumia msg na kupiga simu.
Mpe jaribio Moja, mwambie achague kuachana na huyo jamaa na pia akusikilize wewe si kushikwa masikio na ndugu zake. Au aamue kuwasikikiza aendelee na uhusiano mpya.

Msikilize atajibu vipi
 
Huwezi sema una mchumba kwa hv vida vyenue umri kuanzia 18-27,hao bado hawajajua dunia n Nini na kiukweli watakusumbua Sana maana bado akili ndogo, other wise labda ukipata wa hivyo ukitundike mimba haraka kama kweli unataka kuoa na Hilo kwa dunia ya saaa ni ngumu coz kuchomoa mimba kwao n dk 0
Ukitaka ambaye hata kusumbua n kuanzia 28-35 hapo huta pata mawazo kwasababu tayari huyo Kesha pitia mengi na pia Kesha umizwa anajua uchungu wa mapenzi na hapo yupo tayari kuolewa ktk mazingira yeyote,
Nimi niliwahi kuwa na kamoja ka hivyo kalinisumbua Sana, unakuta kana account 4 za fb, majina tofauti et sijui princes nani, sijui Diana.., hovyo sana, namba za cm anazo 4,nasafiri nae nakumbuka siku moja tupo ubungo Kumbe kwenye basi kamuona class mate wake akamkomyeza wakashuka nyuma ya basi naangalia naona wamekumbatiana ana mu hug,last time nikakuta kanaliwa na mume wa mtu.
Nikama mtu kunidanganya et una mchumba yupo chuo, aisee my friend kuwa makini
Huyu wako kiboko mkuu🙌🏽🙌🏽
 
Mchumia janga hula na wakwao. Mkuu endelea na mambo mengine wala usitake kumharibia kwa huyo jamaa muoaji.

Desturi ni kuwa mwanamke akupende then ndio umuoe tofauti na hivyo ni kutafuta magonjwa ya moyo tu.
 
Kiukweli nimemuacha ila ameniomba msamaha nimemsamehe na anataka tuendelee na mawasiliano nikamwambia siwezi kuendelea na mawasiliano sababu nakuwa kama simfanyii fair jamaa yake. Nikampiga stop.

Kila muda kananitumia msg na kupiga simu.
Umeharibu Uzi! Kwa mini kila Mwanaume anaeumiza na penzii mwisho wake huwa anataka kuonyesha Kama Mwanamke pamoja na kwenda kwingine bado anamtaka yeye! Ameendea nini sasa huko kwingine!
 
Umeona ?! Ngoja nizidi kutafuta hela.
Tafuta hela bana,wanawake na pesa ni samaki na maji asikudanganye mtu.Pesa ni catalyst ya mapenzi ukweli ndo huo.Kingine ukimpata mwingine kuwa straight naye usimpotezee mda na ahadi za ndoa alafu vitendo sifuri.
 
Muache aende zake piga zako kimya, mke mtarajiwa anashikiwa akili na dada zake like for real? Aisee muache

ukiona msichana ana dada yake kila jambo !.hapo ni maumivu kwa kweli!
dada anaweza kuwa na wivu na chuki za kijinga na kumfanya mdogo wake kumpangia hata mwanaume.
hili swala nilisha kutana nalo.
mtu yoyote akienda ukweni nikiona kuna dada na huyo dada mda wote akili kashikilia za mdogo mtu.basi hakuna kitu
 
Kiukweli nimemuacha ila ameniomba msamaha nimemsamehe na anataka tuendelee na mawasiliano nikamwambia siwezi kuendelea na mawasiliano sababu nakuwa kama simfanyii fair jamaa yake. Nikampiga stop.

Kila muda kananitumia msg na kupiga sim
ukiona msichana ana dada yake kila jambo !.hapo ni maumivu kwa kweli!
dada anaweza kuwa na wivu na chuki za kijinga na kumfanya mdogo wake kumpangia hata mwanaume.
hili swala nilisha kutana nalo.
mtu yoyote akienda ukweni nikiona kuna dada na huyo dada mda wote akili kashikilia za mdogo mtu.basi hakuna kitu
Ni lazima kujifunza kujisimamia mwenyewe kwa kila kitu, yaani amini unachokiamini, ushauri unapokea lakini unajifunza kuchuja kipi ubebe kipi uache, matatizo sio kutoka kwa kina dada hata baadhi ya mama zetu especially haya mambo ya mahusiano kuna muda anaweza kukwambia kitu unakaa unawazaaa unaona kabisa mbona hayaingii akilini?? Inahitaji hekima mno ku survive kwenye kila kitu kwenye hii dunia..
 
mwanaume wa kweli usikubali kupoteza kizembee mfwate na umwambie unayoyafahamu pia rudi home mweleze bint, na kama hatokuelewa mwache mbwa akajiwindie peke yake
 
Shukrani kwa ushauri wako mzuri kaka.

Nilitaka kuhakikisha tu,maana dogo anaendelea kunitafuta mpaka usiku wa manane anapiga simu.
...na wewe unashindwa kukataza! Mbona kama Unatusanifu hivi?
 
[ Namna hii iliwahi kunikuta way back 2013 mke mtarajiwa anakubali kila anacho shauriwa na nduguze mara muda wa kuolewa bado mara hiki mara kile nikasema shi.t!!! Nikapotezea mpaka kesho.
Kesho Utarumdia, Mkuu?
 
Back
Top Bottom