Wadau yamenikuta, hawa Wanawake hawa…

Wadau yamenikuta, hawa Wanawake hawa…

Mzee baba, iko hivi...mchuchu yoyote akizingua na akaamua kukuacha na akafuatana na mwanaume mwingine basi achana naye...

1. Wanawake huwa wana hatua zao na hatua hizo wameziweka katika vipindi, moja ya vipindi hivyo kipo hicho kimoja ambacho joto la kuolewa huwa linapanda, kama husomeki basi atakushushia kitu kizito kichwani hakuna rangi utaacha iona...

2. Nimekuwa nikiandika hapa na narudia tena kwako mzee, wachuchu wapo wengi sanaaaaa yaani wapo wengi mno. Mchuchu mmoja akizingua, na mzinguo ukiwa wa kiwango hichi cha kuleteana mazereu, piga chini tafuta mchuchu wa kuendana na wewe...

3. Usifanye kosa la kumfuata mwanaume mwenzio wakati uamuzi umefanywa na mchuchu wako...
Nmekuelewa vyema kaka.
 
Kuna watu mna mada za kijinga hadi unajiuliza huyu ni mwanaume kweli?

Mtu anakwambia kabisa anamtu mwingine wewe unajidai unamfikiria sijui ndugu wamefanyaje sijui namjua huyo mtu

pumbavu ningekuwa hapo ungekula mueleka mmoja kama wa Jamaa wa clouds
Hahaha tatizo hatuna uzoefu na haya mambo kaka.
 
Mkuu hapo hauana chako beba maumivu somga mbele tena anza kumkalia kimya uone atakavyojuta tafuta mwanamke wa kuziba upweke haraka.
Nimeanza kumkalia kimya na naona anavyo haha,maana anapiga simu mpaka usiku wa manane huko na msg kibao.
 
Yote ya nn mkuu. Ukishaona mambo yamefikia huko huwa haina haja ya kutafuta reconciliation. Utaumia bure na pengine kufikia maamuzi ya ajabu. Haya na mambo ya kugive up easily bila kuwaza.
Hili ndilo naishi nalo kwa sasa nimeshanyanyua mikono juu.
 
Nimeanza kumkalia kimya na naona anavyo haha,maana anapiga simu mpaka usiku wa manane huko na msg kibao.
Jikaze baba umia ila utapona tu...usije kuwa kama Ndugai kigeugeu na kuomba msamaha. Mwanamke akishaamua lake hana huruma hata chembe. Pigilia msumari hapo hapo.
 
Jikaze baba umia ila utapona tu...usije kuwa kama Ndugai kigeugeu na kuomba msamaha. Mwanamke akishaamua lake hana huruma hata chembe. Pigilia msumari hapo hapo.
Nimemkalia komya naona anavyo haha.
 
Habari ya usiku huu.

Kijana mwenzenu yamenikuta aisee. Ngoja niingie kwenye mada moja kwa moja.

Kuna binti nilikuwa nae na nilipanga kumuoa,lakini masiku ya hivi karibuni nimeona amebadilika hayuko kama zamani (hapa najua wakubwa wenzangu mmenielewa kwamba kitu kidogo anakasirika na kukuza mambo,nikajua hapa natafutiwa sababu ya kuachwa,machale yakanicheza mapema). Sababu binti namjua vilivyo,nikambana sana akaamua kufunguka hiyo ilikuwa juzi. Akasema ni kweli kuna mtu ameunganishiwa na ndugu zake yaani dada zake na wameanza kuwasiliana na kwa mujibu wake huyo muhusika hakumwambia kama ana mtu na binti amekubali kuolewa na huyo mtu.

Lakini katika kuunganisha doti nahisi huyo muhusika(yaani muoaji) nina mfahamu kabisa. Sasa nimekaa hapa najiuliza je nipotezee nikubali matokeo au nimfate mdau nimwambie ukweli ?

Ushauri wenu tafadhali.
Linapofika swala la kuolewa mwanamke huwa huwa ni rahisi kukamatika hasa kama wewe hukumionesha Nia..

Sema kama unampenda usimuache mkuu mpiganie mpaka kieleweke, mwisho wa siku hao ndugu watakuheahimu tuu ukionesha msimamo.. moambanaie huyo na pesa tafuta pia ndo uanaume huo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Habari ya usiku huu.

Kijana mwenzenu yamenikuta aisee. Ngoja niingie kwenye mada moja kwa moja.

Kuna binti nilikuwa nae na nilipanga kumuoa,lakini masiku ya hivi karibuni nimeona amebadilika hayuko kama zamani (hapa najua wakubwa wenzangu mmenielewa kwamba kitu kidogo anakasirika na kukuza mambo,nikajua hapa natafutiwa sababu ya kuachwa,machale yakanicheza mapema). Sababu binti namjua vilivyo,nikambana sana akaamua kufunguka hiyo ilikuwa juzi. Akasema ni kweli kuna mtu ameunganishiwa na ndugu zake yaani dada zake na wameanza kuwasiliana na kwa mujibu wake huyo muhusika hakumwambia kama ana mtu na binti amekubali kuolewa na huyo mtu.

Lakini katika kuunganisha doti nahisi huyo muhusika(yaani muoaji) nina mfahamu kabisa. Sasa nimekaa hapa najiuliza je nipotezee nikubali matokeo au nimfate mdau nimwambie ukweli ?

Ushauri wenu tafadhali.

Ukijiangalia wewe na jamaa nani ana kipato kumzidi? Ukipata jibu hapo hiyo inaweza kuwa sababu
 
Nimemkalia komya naona anavyo haha.
Ila mapenzi yapo hivyo baada ya yeye kulia utaanza wewe kumtafuta je una ubavu wa kuvumilia. Futa namba yake harafu kauli zake jenga chuki uanze kumchukia tafuta mtu wa kuziba nafasi yake haraka sana.
 
Habari ya usiku huu.

Kijana mwenzenu yamenikuta aisee. Ngoja niingie kwenye mada moja kwa moja.

Kuna binti nilikuwa nae na nilipanga kumuoa,lakini masiku ya hivi karibuni nimeona amebadilika hayuko kama zamani (hapa najua wakubwa wenzangu mmenielewa kwamba kitu kidogo anakasirika na kukuza mambo,nikajua hapa natafutiwa sababu ya kuachwa,machale yakanicheza mapema). Sababu binti namjua vilivyo,nikambana sana akaamua kufunguka hiyo ilikuwa juzi. Akasema ni kweli kuna mtu ameunganishiwa na ndugu zake yaani dada zake na wameanza kuwasiliana na kwa mujibu wake huyo muhusika hakumwambia kama ana mtu na binti amekubali kuolewa na huyo mtu.

Lakini katika kuunganisha doti nahisi huyo muhusika(yaani muoaji) nina mfahamu kabisa. Sasa nimekaa hapa najiuliza je nipotezee nikubali matokeo au nimfate mdau nimwambie ukweli ?

Ushauri wenu tafadhali.
Pia kama mwanaune usipende sana kulazimisha mahusiano, mahusiano ya kulazimisha hayanaga baraka
 
Mimi nishawahi kuharibiwa mahusiano zaidi ya mara moja na dada wa wapenzi niliyokuwa nao. Sijui huwa wanajikuta kina nani. Ila naye huyo alishindwa kusema ana mtu wake, hata kama hao madada zake wangeleta vita alitakiwa awe na msimamo. Yaani naona hao wapenzi wangu, wapo kama huyo wako.

Ila Trust me mahusiano au ndoa ya namna hiyo kuja kudumu ni ndoto, maana huyo kakubali kwa kushinikizwa na hao makuwadi wa kike. Utafikiei nao walitafutiwa wanaume zao kama wanavyofanya kwake.. Huyo akija kujijua alibugi kuwa na huyo jamaa na si chaguo lake, kama haoni cha kupoteza kuachana naye. Huyo jamaa atapigwa matukio, familia ya binti kila kukicha itakuwa ikiamua ugomvi
 
Mimi nishawahi kuharibiwa mahusiano zaidi ya mara moja na dada wa wapenzi niliyokuwa nao. Sijui huwa wanajikuta kina nani. Ila naye huyo alishindwa kusema ana mtu wake, hata kama hao madada zake wangeleta vita alitakiwa awe na msimamo. Yaani naona hao wapenzi wangu, wapo kama huyo wako.

Ila Trust me mahusiano au ndoa ya namna hiyo kuja kudumu ni ndoto, maana huyo kakubali kwa kushinikizwa na hao makuwadi wa kike. Utafikiei nao walitafutiwa wanaume zao kama wanavyofanya kwake.. Huyo akija kujijua alibugi kuwa na huyo jamaa na si chaguo lake, kama haoni cha kupoteza kuachana naye. Huyo jamaa atapigwa matukio, familia ya binti kila kukicha itakuwa ikiamua ugomvi
Nakuelewa vizuri kaka.
 
Mkuu ukitajiwa Madada au Wazazi jua fika wametajwa tu kama kisingizio ili kubalance lawama..

Ila kiukweli Maamuzi ni ya mhusika mwenyewe. Utakuta hata hao madada hamna wanachokijua kinaendelea.
Ni kweli kabisa.
 
Nakuelewa vizuri kaka.
Wewe jitenge taratibu na uangalie mustakabali mpya, au pambana uvunje ukaribu wa huyo jamaa mpya. Ila ujiandae kukutana na vita mpya kutoka kwa hao sada zake, wanaweza hata kuja kuwagombanisha ilimradi muachane. Hao hadi kutumia nguvu hivyo kuja kumuunganishs, wameshakula hela za huyo jamaa. Hawatokubali kushindwa kijinga
 
Back
Top Bottom