Mzee baba, iko hivi...mchuchu yoyote akizingua na akaamua kukuacha na akafuatana na mwanaume mwingine basi achana naye...
1. Wanawake huwa wana hatua zao na hatua hizo wameziweka katika vipindi, moja ya vipindi hivyo kipo hicho kimoja ambacho joto la kuolewa huwa linapanda, kama husomeki basi atakushushia kitu kizito kichwani hakuna rangi utaacha iona...
2. Nimekuwa nikiandika hapa na narudia tena kwako mzee, wachuchu wapo wengi sanaaaaa yaani wapo wengi mno. Mchuchu mmoja akizingua, na mzinguo ukiwa wa kiwango hichi cha kuleteana mazereu, piga chini tafuta mchuchu wa kuendana na wewe...
3. Usifanye kosa la kumfuata mwanaume mwenzio wakati uamuzi umefanywa na mchuchu wako...