- Thread starter
- #101
Nimekuelewa kaka na hili ndilo nalifanyia kazi muda huu. Kwamba nimekausha tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuelewa kaka na hili ndilo nalifanyia kazi muda huu. Kwamba nimekausha tu.
Mkuu hao viumbe wakishageukia upande mwingine nyosha mikono juu mshukuru Mungu kwa yote.najiuliza je nipotezee nikubali matokeo au nimfate mdau nimwambie ukweli ?
Nakuelewa vizuri sana kaka. Mimi nimeonyesha msimamo huo.Mkuu hao viumbe wakishageukia upande mwingine nyosha mikono juu mshukuru Mungu kwa yote. Kwa kifupi potezea hata ungemweleA ukweli jamaa haitosaidia. Penzi ni upofu hasa likiwa changa!! Tuishi nao kwa akili!!
Sawa lkn sio vizuri kumhukumu mtu kabla ya kumsikiliza.Hapa sio mahakamani!
hapa ni kijiweni
Ishapoa kaka.
[emoji23][emoji23][emoji23], Kujua km una shida au hauna shida ni Mpaka tusikie na upande wa pili wanasemaje kuhusu jambo hili.Kiukweli mimi sina shida na mambo kama haya huwa yanatokea sana,kama mmoja wetu huko juu alivyo elezea.
Kingine hata binti mwenyewe anakubali sina shida ni ishu tu za madada.
Huyo ni mwenyeji au mzaliwa wa Pwani au DarHabari ya usiku huu.
Kijana mwenzenu yamenikuta aisee. Ngoja niingie kwenye mada moja kwa moja.
Kuna binti nilikuwa nae na nilipanga kumuoa,lakini masiku ya hivi karibuni nimeona amebadilika hayuko kama zamani (hapa najua wakubwa wenzangu mmenielewa kwamba kitu kidogo anakasirika na kukuza mambo,nikajua hapa natafutiwa sababu ya kuachwa,machale yakanicheza mapema). Sababu binti namjua vilivyo,nikambana sana akaamua kufunguka hiyo ilikuwa juzi. Akasema ni kweli kuna mtu ameunganishiwa na ndugu zake yaani dada zake na wameanza kuwasiliana na kwa mujibu wake huyo muhusika hakumwambia kama ana mtu na binti amekubali kuolewa na huyo mtu.
Lakini katika kuunganisha doti nahisi huyo muhusika(yaani muoaji) nina mfahamu kabisa. Sasa nimekaa hapa najiuliza je nipotezee nikubali matokeo au nimfate mdau nimwambie ukweli ?
Ushauri wenu tafadhali.
Mpaka hapo unataka ushauri????njoooni mchukue mioyo yetu mtaishi vyema kabisa,hakuna mbugila yeyote kukusumbuaHabari ya usiku huu.
Kijana mwenzenu yamenikuta aisee. Ngoja niingie kwenye mada moja kwa moja.
Kuna binti nilikuwa nae na nilipanga kumuoa,lakini masiku ya hivi karibuni nimeona amebadilika hayuko kama zamani (hapa najua wakubwa wenzangu mmenielewa kwamba kitu kidogo anakasirika na kukuza mambo,nikajua hapa natafutiwa sababu ya kuachwa,machale yakanicheza mapema). Sababu binti namjua vilivyo,nikambana sana akaamua kufunguka hiyo ilikuwa juzi. Akasema ni kweli kuna mtu ameunganishiwa na ndugu zake yaani dada zake na wameanza kuwasiliana na kwa mujibu wake huyo muhusika hakumwambia kama ana mtu na binti amekubali kuolewa na huyo mtu.
Lakini katika kuunganisha doti nahisi huyo muhusika(yaani muoaji) nina mfahamu kabisa. Sasa nimekaa hapa najiuliza je nipotezee nikubali matokeo au nimfate mdau nimwambie ukweli ?
Ushauri wenu tafadhali.
Sawa kaka,ila hata bibie mwenyewe anakiri ya kuwa sina shida yoyote.[emoji23][emoji23][emoji23], Kujua km una shida au hauna shida ni Mpaka tusikie na upande wa pili wanasemaje kuhusu jambo hili.
Umeona ?! Ngoja nizidi kutafuta hela.ukiwa huna hela kila balaa linakukuta 😁
Mzaliwa wa Dar.Huyo ni mwenyeji au mzaliwa wa Pwani au Dar
Unajua sisi wengine hili ndiyo linatutokea kwa mara ya kwanza,kwahiyo tunataka ushauri ili kupata ukomavu na kujizatiti zaidi.Mpaka hapo unataka ushauri????njoooni mchukue mioyo yetu mtaishi vyema kabisa,hakuna mbugila yeyote kukusumbua
Mwanamke akifika hatua hiyo sio wako huyoooNakuelewa vizuri kaka ila inaonekana dogo ameshikwa masikio na ndugu zake.
Ngoja nivumilie yatapita tu najua.
Nimelithibitisha hili kaka.Mwanamke akifika hatua hiyo sio wako huyooo
Ukiwa dhaifu kwa wanawake,tarajia madhara makubwa maishani mwakoNimekuelewa sana na mimi nilimeambia hilo kwamba bibie huna msimamo kabisa.
Ila mimi kiukweli siyo dhaifu kabisa.Ukiwa dhaifu kwa wanawake,tarajia madhara makubwa maishani mwako
Mhhhh!!!!,Sasa Mbona unamsemea?,Kungekuwa na uwezekano na yeye angeshiriki mjadala huu angejisemea mwenyewe,lkn ndio hivyo inakuwa ngumu.Sawa kaka,ila hata bibie mwenyewe anakiri ya kuwa sina shida yoyote.
Haya nimeyanukuu toka kwake sababu nilivyoona amebadilika ilinibidi nionane naye ana kwa ana,tukaonana katika mazungumzo hayo akasema hayo.Mhhhh!!!!,Sasa Mbona unamsemea?,Kungekuwa na uwezekano na yeye angeshiriki mjadala huu angejisemea mwenyewe,lkn ndio hivyo inakuwa ngumu.