Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpige block,kua na roho ngumu.Mimi nimemalizana nae kaka,ila cha ajabu anataka tuendelee kuwasiliana,nimemwambia hayo mambo siyawezi.
Unadhan ukikwambia ukweli itasaidia nn?? Kifupi binti hana msimamo na mpaka kufikia hapo inaonesha dhahiri binti moyo wake ushageuka na hauko upande wako tena mwanamke akishafikia hatua hiyo usijaribu kumlazimisha kugeuza moyo wake tena yatakukuta makubwa zaid. Huyo tayari sio wako mwache aende jipange upya kutafuta mwingine wako wengi sanaaaHabari ya usiku huu.
Kijana mwenzenu yamenikuta aisee. Ngoja niingie kwenye mada moja kwa moja.
Kuna binti nilikuwa nae na nilipanga kumuoa,lakini masiku ya hivi karibuni nimeona amebadilika hayuko kama zamani (hapa najua wakubwa wenzangu mmenielewa kwamba kitu kidogo anakasirika na kukuza mambo,nikajua hapa natafutiwa sababu ya kuachwa,machale yakanicheza mapema). Sababu binti namjua vilivyo,nikambana sana akaamua kufunguka hiyo ilikuwa juzi. Akasema ni kweli kuna mtu ameunganishiwa na ndugu zake yaani dada zake na wameanza kuwasiliana na kwa mujibu wake huyo muhusika hakumwambia kama ana mtu na binti amekubali kuolewa na huyo mtu.
Lakini katika kuunganisha doti nahisi huyo muhusika(yaani muoaji) nina mfahamu kabisa. Sasa nimekaa hapa najiuliza je nipotezee nikubali matokeo au nimfate mdau nimwambie ukweli ?
Ushauri wenu tafadhali.
Kama ndio hivyo huu mwaka Bora uishe aiseeNdio kwanza mwanzo wa mwaka
Anyway pole sana mkuu
Subiri waje kukupa muongozo
Kweli unachosema.Mungu ameamua kukuonyesha mapema kabisa tabia ya huyo mpenzi wako,mshukuru Mungu kwa hilo jambo kisha elekeza nguvu,maarifa na maombi katika kutafuta hela,huyo hakufai hata kama ungekuja kumuoa angekuja tu kudanganyika tu,
Good luck.
Acha kabisa.Huu mwaka bora uishe tu:
Hili linaweza kuwa kweli ndiyo maana kuna muda nawaza au niwapigie ndugu zake na mama yake au nikaushe tu.Mkuu ukitajiwa Madada au Wazazi jua fika wametajwa tu kama kisingizio ili kubalance lawama..
Ila kiukweli Maamuzi ni ya mhusika mwenyewe. Utakuta hata hao madada hamna wanachokijua kinaendelea.
Nimewaacha kaka.Achana na huyo mdau na achana na huyo demu. Kuna wimbo wa Chege unaitwa WAACHE WAOANE nakuomba uwaache waoane
And huo ni ukweli. Wazazi huwa ni kisingizio. A.k.a wabebeshwa lawama. Ukweli ni kwamba ukishaona hizo swag wala usihangaike kumtafuta muhusika tenaMkuu ukitajiwa Madada au Wazazi jua fika wametajwa tu kama kisingizio ili kubalance lawama..
Ila kiukweli Maamuzi ni ya mhusika mwenyewe. Utakuta hata hao madada hamna wanachokijua kinaendelea.
Kwani ulishapeleka barua ya uchumba na kukubaliwa au ulishatioa mahari? Narudia achana na huyo dada mfute katika maisha yakoHili linaweza kuwa kweli ndiyo maana kuna muda nawaza au niwapigie ndugu zake na mama yake au nikaushe tu.
Hahahaha hapana kabisa watoto wa kike huwa wanashikwa sana masikio.Dalili zinaonesha kama huna hela hivi, ikiwa kweli achana naye, tafuta hela utakuja kunishukuru.
Shukrani kwa ushauri wako mzuri kaka.Kwani ulishapeleka barua ya uchumba na kukubaliwa au ulishatioa mahari? Narudia achana na huyo dada mfute katika maisha yako
Kwani ukiwapigia ndugu zake itakusaidia nini. Utoto tupu unatuletea, rudi shule ukasome, umeingilia vitu vimekuzidi umri
Jibu maswali yangu ulishapeleka barua kwao?Shukrani kwa ushauri wako mzuri kaka.
Hili la kumtafuta nimeshaliacha ila yeye ndiyo ananitafuta.And huo ni ukweli. Wazazi huwa ni kisingizio. A.k.a wabebeshwa lawama. Ukweli ni kwamba ukishaona hizo swag wala usihangaike kumtafuta muhusika tena
Be a gentleman and move on..Mimi nimekubali matokeo lakini namuona binti kama anataka tuendelee na kuwasiliana nikamwambia huo ujinga siufanyi aheshimu mawazo yake.
Ila katika kuwaza na kuwazua na kuunganisha nukta nikapa wazo au nimchane mdau nini ?!
Sijapeleka barua ila kwao wananifahamu na ilikuwa mwezi wa tatu nifanye jambo si unajua sisi Waislamu mambo yetu huwa si mengi.Jibu maswali yangu ulishapeleka barua kwao?