Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
yani hadi dem utanyang'anywa....sisi masikini tunapitia magumu sanaUmeona ?! Ngoja nizidi kutafuta hela.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yani hadi dem utanyang'anywa....sisi masikini tunapitia magumu sanaUmeona ?! Ngoja nizidi kutafuta hela.
[ Namna hii iliwahi kunikuta way back 2013 mke mtarajiwa anakubali kila anacho shauriwa na nduguze mara muda wa kuolewa bado mara hiki mara kile nikasema shi.t!!! Nikapotezea mpaka kesho.Muache aende zake piga zako kimya, mke mtarajiwa anashikiwa akili na dada zake like for real? Aisee muache
Acha lipite baada ya muda utakuwa na amani sana kuliko ukizumgumza na jamaa halafu bado akamuoa watajiona wanakalove story fulani hivi kalikopitia majaribu.Mimi nimekubali matokeo lakini namuona binti kama anataka tuendelee na kuwasiliana nikamwambia huo ujinga siufanyi aheshimu mawazo yake.
Ila katika kuwaza na kuwazua na kuunganisha nukta nikapa wazo au nimchane mdau nini ?!
Nakuelewa vizuri sana,ngoja niendelee kutafuta pesa.yani hadi dem utanyang'anywa....sisi masikini tunapitia magumu sana
Nimekuelewa sana chief.Acha lipite baada ya muda utakuwa na amani sana kuliko ukizumgumza na jamaa halafu bado akamuoa watajiona wanakalove story fulani hivi kalikopitia majaribu.
Usiwape mada za kukaa na kuzungumza na usimvimbishe jamaa kichwa akadhani yeye ni kuduuume. Ulishakula huyo nenda kwa Mupyaa.Nimekuelewa sana chief.
Hapo ndipo ulipokosea, wazazi hawakutambui bila barua au mahari. Narudia tafuta elimu, tafuta hela kisha utampata mke wako, huyo si mkeo alikuwa ni wa kusafishia rungu tuSijapeleka barua ila kwao wananifahamu na ilikuwa mwezi wa tatu nifanye jambo si unajua sisi Waislamu mambo yetu huwa si mengi.
Sasa nimekaa hapa najiuliza je nipotezee nikubali matokeo au nimfate mdau nimwambie ukweli ?
Ushauri wenu tafadhali.
Sijakataa na inawezekana pia mtoa mada ana mapungufu yake, lakini mpaka mwanamke anafikia hatua ya kukubali kufanyiwa maamuzi yatakayogharimu maisha yake ni dhahiri kuwa kuna dosari kwenye mfumo wake wa akili.Kwanini???.Hebu iga Hekima ya Kimahakama kutoa Hukumu baada ya kusikiliza pande zote mbili;Wewe umemsikia tu mlalamikaji unahitimisha kwa kusema kuwa dada na Ndugu zake hawana akili,je umewasikiliza na wao ukasikia wanajiteteaje?. Ukute mtoa Post ndo ana shida ndio maana hao Ndugu wa Binti wamemuunganishia kwa Mwanaume mwingine.
Hata mimi nimesoma hiyo komenti nikashangaa tuKwanini???.Hebu iga Hekima ya Kimahakama kutoa Hukumu baada ya kusikiliza pande zote mbili;Wewe umemsikia tu mlalamikaji unahitimisha kwa kusema kuwa dada na Ndugu zake hawana akili,je umewasikiliza na wao ukasikia wanajiteteaje?. Ukute mtoa Post ndo ana shida ndio maana hao Ndugu wa Binti wamemuunganishia kwa Mwanaume mwingine.
Achana nae, fanya yako. Huyo ni mbwa kama wa miguu minne. Hutaweza kummiliki wakati amekwisha lamba ya upande wa pili.Habari ya usiku huu.
Kijana mwenzenu yamenikuta aisee. Ngoja niingie kwenye mada moja kwa moja.
Kuna binti nilikuwa nae na nilipanga kumuoa,lakini masiku ya hivi karibuni nimeona amebadilika hayuko kama zamani (hapa najua wakubwa wenzangu mmenielewa kwamba kitu kidogo anakasirika na kukuza mambo,nikajua hapa natafutiwa sababu ya kuachwa,machale yakanicheza mapema). Sababu binti namjua vilivyo,nikambana sana akaamua kufunguka hiyo ilikuwa juzi. Akasema ni kweli kuna mtu ameunganishiwa na ndugu zake yaani dada zake na wameanza kuwasiliana na kwa mujibu wake huyo muhusika hakumwambia kama ana mtu na binti amekubali kuolewa na huyo mtu.
Lakini katika kuunganisha doti nahisi huyo muhusika(yaani muoaji) nina mfahamu kabisa. Sasa nimekaa hapa najiuliza je nipotezee nikubali matokeo au nimfate mdau nimwambie ukweli ?
Ushauri wenu tafadhali.
mwongozo gani?Ndio kwanza mwanzo wa mwaka
Anyway pole sana mkuu
Subiri waje kukupa muongozo
Nimekuelewa vizuri sana kaka.Usiwape mada za kukaa na kuzungumza na usimvimbishe jamaa kichwa akadhani yeye ni kuduuume. Ulishakula huyo nenda kwa Mupyaa.
Nimekuelewa vyema kaka.Hapo ndipo ulipokosea, wazazi hawakutambui bila barua au mahari. Narudia tafuta elimu, tafuta hela kisha utampata mke wako, huyo si mkeo alikuwa ni wa kusafishia rungu tu
Povu lako chukua mwenyewe staki mabalaa😂😂 shame!!Ulokuwa huna akili ni weyee.Watu wanaangalia maslahi huyo kijana washamuona hana mpango yeye yuko katika penzi wenzako wako katika noti na maslaha ,mapenzi ya mdomo yamekwisha na weye kijana tafuta kazi ufanye mapenzi hayalazimishwi hao wake wapo kibao ndio kwanza wanazaliwa .
Ndiyo mpango nilikuwa nao wa kumuoa kabisa.
Yote ya nn mkuu. Ukishaona mambo yamefikia huko huwa haina haja ya kutafuta reconciliation. Utaumia bure na pengine kufikia maamuzi ya ajabu. Haya na mambo ya kugive up easily bila kuwaza.Habari ya usiku huu.
Kijana mwenzenu yamenikuta aisee. Ngoja niingie kwenye mada moja kwa moja.
Kuna binti nilikuwa nae na nilipanga kumuoa,lakini masiku ya hivi karibuni nimeona amebadilika hayuko kama zamani (hapa najua wakubwa wenzangu mmenielewa kwamba kitu kidogo anakasirika na kukuza mambo,nikajua hapa natafutiwa sababu ya kuachwa,machale yakanicheza mapema). Sababu binti namjua vilivyo,nikambana sana akaamua kufunguka hiyo ilikuwa juzi. Akasema ni kweli kuna mtu ameunganishiwa na ndugu zake yaani dada zake na wameanza kuwasiliana na kwa mujibu wake huyo muhusika hakumwambia kama ana mtu na binti amekubali kuolewa na huyo mtu.
Lakini katika kuunganisha doti nahisi huyo muhusika(yaani muoaji) nina mfahamu kabisa. Sasa nimekaa hapa najiuliza je nipotezee nikubali matokeo au nimfate mdau nimwambie ukweli ?
Ushauri wenu tafadhali.