Wadau yamenikuta, hawa Wanawake hawa…

Wadau yamenikuta, hawa Wanawake hawa…

Umfuate umwambie ukweli wa nn mkuu achana nae hvi bado mnapenda kiasi hcho mpaka karne hii.
Hahahaha,mapenzi yanaumwa kaka acha tu.

Ila tunakaza moyo tu,sababu maumivu huisha.
 
Ulokuwa huna akili ni weyee.Watu wanaangalia maslahi huyo kijana washamuona hana mpango yeye yuko katika penzi wenzako wako katika noti na maslaha ,mapenzi ya mdomo yamekwisha na weye kijana tafuta kazi ufanye mapenzi hayalazimishwi hao wake wapo kibao ndio kwanza wanazaliwa .
Kweli kabisa kaka.
 
Mkuu muache huyo mwanamke! Narudia mwache huyo mwanamke!

Najua kuna maumivu unapitia, ila nikuambie mm nimezaa na mwanamke watoto wawili! Tangu 2015 tumeachana 2021 mwezi wa kumi na moja! Nimejikomba, nimejirahisisha, nilichopata nikukatiwa simu na kidume mwenzangu kuzungumza na mimi kiubabe zaidi

Ni maumivu makali ninayoptia, nimeshuka kiuchumi sana ! Nimepoteza vingi sana nawaza hata binti angu mkubwa umri miaka 6 nitamtimiziaje ndoto zake , ukiachana na boy ambae ni mdgo kabisa!

Wew hujafika popote na huyo mwanamke! Kwanini hutaki kushituka mapema? Kwanza huna haja ya kumpigia kidume mwenzio, hilo ni kosa sana la kiufundi nililo fanya! Nilimpandisha kiburi sana mwanamke kujiona yeye ni mzuri sana , japo ni kweli ni mzuri!


Endelea na maisha yako, bado hujafika mbali! Japo niseme , hayo yote yamenitokea haina maaana yeye ndo mwenye makosa sana! Japo kwa mambo aliyonifanyia yeye hakosi kuwa chanzo cha huu utengano, lakini na mimi kama binadamu naamini pia kuna mazingira nilikuwa nakosea! Huu ukweli unaniweka huru sana


Narudia achana na huyo mwanamke
Nimeachana naye kaka. Pole sana kwa mkasa ulio kukuta.
 
Nimekuelewa uzuri kaka.

Nina miaka 42; najuta Sana mambo ya kijinga ya kuamini wanawake wakati nipo na umri Kati ya 25 - 30!

Wanawake achana nao; hawana maana; weka vipi unbele vyako vizuri ambavyo Ni:

  • Sala, Imani na uaminifu.
  • Shuleni/Chuo Kama umejaliwa.
  • Biashara au Ajira

Unakutana na wanawake wengi wazuri Mbele; na wote wanaitaji fedha ili uwamudu; Hakuna mapenzi bila uwezo wa kifedha.

Sijui Huyu ana upendo wa kweli hataki hela, ananivumilia; Bullshit; Hakuna mwanamke anavumilia mtu asiye na hela, anakula timing tu aende.
 
Habari ya usiku huu.

Kijana mwenzenu yamenikuta aisee. Ngoja niingie kwenye mada moja kwa moja.

Kuna binti nilikuwa nae na nilipanga kumuoa,lakini masiku ya hivi karibuni nimeona amebadilika hayuko kama zamani (hapa najua wakubwa wenzangu mmenielewa kwamba kitu kidogo anakasirika na kukuza mambo,nikajua hapa natafutiwa sababu ya kuachwa,machale yakanicheza mapema). Sababu binti namjua vilivyo,nikambana sana akaamua kufunguka hiyo ilikuwa juzi. Akasema ni kweli kuna mtu ameunganishiwa na ndugu zake yaani dada zake na wameanza kuwasiliana na kwa mujibu wake huyo muhusika hakumwambia kama ana mtu na binti amekubali kuolewa na huyo mtu.

Lakini katika kuunganisha doti nahisi huyo muhusika(yaani muoaji) nina mfahamu kabisa. Sasa nimekaa hapa najiuliza je nipotezee nikubali matokeo au nimfate mdau nimwambie ukweli ?

Ushauri wenu tafadhali.
Jiandae kurudi shule bado siku 12
 
Huwezi sema una mchumba kwa hv vida vyenue umri kuanzia 18-27,hao bado hawajajua dunia n Nini na kiukweli watakusumbua Sana maana bado akili ndogo, other wise labda ukipata wa hivyo ukitundike mimba haraka kama kweli unataka kuoa na Hilo kwa dunia ya saaa ni ngumu coz kuchomoa mimba kwao n dk 0
Ukitaka ambaye hata kusumbua n kuanzia 28-35 hapo huta pata mawazo kwasababu tayari huyo Kesha pitia mengi na pia Kesha umizwa anajua uchungu wa mapenzi na hapo yupo tayari kuolewa ktk mazingira yeyote,
Nimi niliwahi kuwa na kamoja ka hivyo kalinisumbua Sana, unakuta kana account 4 za fb, majina tofauti et sijui princes nani, sijui Diana.., hovyo sana, namba za cm anazo 4,nasafiri nae nakumbuka siku moja tupo ubungo Kumbe kwenye basi kamuona class mate wake akamkomyeza wakashuka nyuma ya basi naangalia naona wamekumbatiana ana mu hug,last time nikakuta kanaliwa na mume wa mtu.
Nikama mtu kunidanganya et una mchumba yupo chuo, aisee my friend kuwa makini
 
Habari ya usiku huu.

Kijana mwenzenu yamenikuta aisee. Ngoja niingie kwenye mada moja kwa moja.

Kuna binti nilikuwa nae na nilipanga kumuoa,lakini masiku ya hivi karibuni nimeona amebadilika hayuko kama zamani (hapa najua wakubwa wenzangu mmenielewa kwamba kitu kidogo anakasirika na kukuza mambo,nikajua hapa natafutiwa sababu ya kuachwa,machale yakanicheza mapema). Sababu binti namjua vilivyo,nikambana sana akaamua kufunguka hiyo ilikuwa juzi. Akasema ni kweli kuna mtu ameunganishiwa na ndugu zake yaani dada zake na wameanza kuwasiliana na kwa mujibu wake huyo muhusika hakumwambia kama ana mtu na binti amekubali kuolewa na huyo mtu.

Lakini katika kuunganisha doti nahisi huyo muhusika(yaani muoaji) nina mfahamu kabisa. Sasa nimekaa hapa najiuliza je nipotezee nikubali matokeo au nimfate mdau nimwambie ukweli ?

Ushauri wenu tafadhali.
Sometimes ili kumjua mtu unae muoa. Kuwa karibu na dada zake na ndugu zake kwa ujumla. Ukiwa nao karibu, kuna uwezekano wa wao kukupa story au kukupa vihabar kuhusu huyo mwenzio.

How do i know? Because mwenzio anaweza kukuficha. Akaongea na ndugu zake, haswa wale anao waamini.

Otherwise analyse why imekuwa hivyo. Na pia ongea na dada zake kama utakuwa interested kumbadili mawazo.

But until then pole mkuu. Huu ni wakati wa kujiweka vizuri. Be the man ambae ulitaka uwe.
A woman for you atakuja one way or another. Usipanick, and dont beg
 
Nina miaka 42; najuta Sana mambo ya kijinga ya kuamini wanawake wakati nipo na umri Kati ya 25 - 30!

Wanawake achana nao; hawana maana; weka vipi unbele vyako vizuri ambavyo Ni:

  • Sala, Imani na uaminifu.
  • Shuleni/Chuo Kama umejaliwa.
  • Biashara au Ajira

Unakutana na wanawake wengi wazuri Mbele; na wote wanaitaji fedha ili uwamudu; Hakuna mapenzi bila uwezo wa kifedha.

Sijui Huyu ana upendo wa kweli hataki hela, ananivumilia; Bullshit; Hakuna mwanamke anavumilia mtu asiye na hela, anakula timing tu aende.
Nakuelewa vizuri sana kaka.
 
Sometimes ili kumjua mtu unae muoa. Kuwa karibu na dada zake na ndugu zake kwa ujumla. Ukiwa nao karibu, kuna uwezekano wa wao kukupa story au kukupa vihabar kuhusu huyo mwenzio.

How do i know? Because mwenzio anaweza kukuficha. Akaongea na ndugu zake, haswa wale anao waamini.

Otherwise analyse why imekuwa hivyo. Na pia ongea na dada zake kama utakuwa interested kumbadili mawazo.

But until then pole mkuu. Huu ni wakati wa kujiweka vizuri. Be the man ambae ulitaka uwe.
A woman for you atakuja one way or another. Usipanick, and dont beg
Shukrani kwa ushauri mzuri,yupo dada yake mmoja tunaelewana vizuri ila nasita kumcheki naona atakuwa ni miongoni mwao na namba za mama yake nazo ninazo ila naona kama haina haja ya kuwapigia.
 
Shukrani kwa ushauri mzuri,yupo dada yake mmoja tunaelewana vizuri ila nasita kumcheki naona atakuwa ni miongoni mwao na namba za mama yake nazo ninazo ila naona kama haina haja ya kuwapigia.
Is why nikakwambia all contact them kama uko interested ku rescue hayo mahusiano.

Otherwise chill down achana nao.
Endelea nanmaisha yako
 
Huwezi sema una mchumba kwa hv vida vyenue umri kuanzia 18-27,hao bado hawajajua dunia n Nini na kiukweli watakusumbua Sana maana bado akili ndogo, other wise labda ukipata wa hivyo ukitundike mimba haraka kama kweli unataka kuoa na Hilo kwa dunia ya saaa ni ngumu coz kuchomoa mimba kwao n dk 0
Ukitaka ambaye hata kusumbua n kuanzia 28-35 hapo huta pata mawazo kwasababu tayari huyo Kesha pitia mengi na pia Kesha umizwa anajua uchungu wa mapenzi na hapo yupo tayari kuolewa ktk mazingira yeyote,
Nimi niliwahi kuwa na kamoja ka hivyo kalinisumbua Sana, unakuta kana account 4 za fb, majina tofauti et sijui princes nani, sijui Diana.., hovyo sana, namba za cm anazo 4,nasafiri nae nakumbuka siku moja tupo ubungo Kumbe kwenye basi kamuona class mate wake akamkomyeza wakashuka nyuma ya basi naangalia naona wamekumbatiana ana mu hug,last time nikakuta kanaliwa na mume wa mtu.
Nikama mtu kunidanganya et una mchumba yupo chuo, aisee my friend kuwa makini
Nakuelewa vizuri sana kaka.
 
Is why nikakwambia all contact them kama uko interested ku rescue hayo mahusiano.

Otherwise chill down achana nao.
Endelea nanmaisha yako
Okay ngoja niendelee kujishauri kwanza,sababu mimi mwenyewe sitaki kuonekana fala hivi.
 
Mungu ameamua kukuonyesha mapema kabisa tabia ya huyo mpenzi wako,mshukuru Mungu kwa hilo jambo kisha elekeza nguvu,maarifa na maombi katika kutafuta hela,huyo hakufai hata kama ungekuja kumuoa angekuja kudanganyika tu,

Good luck.
 
Mimi nimekubali matokeo lakini namuona binti kama anataka tuendelee na kuwasiliana nikamwambia huo ujinga siufanyi aheshimu mawazo yake.

Ila katika kuwaza na kuwazua na kuunganisha nukta nikapa wazo au nimchane mdau nini ?!
Achana na huyo mdau na achana na huyo demu. Kuna wimbo wa Chege unaitwa WAACHE WAOANE nakuomba uwaache waoane
 
Back
Top Bottom