Wadau yamenikuta, hawa Wanawake hawa…

Wadau yamenikuta, hawa Wanawake hawa…

If relationship didn't work, be grateful for the beautiful moments you shared together and move on. There's always a positive reason why you couldn't be together look for it and embrace.
 
If relationship didn't work, be grateful for the beautiful moments you shared together and move on. There's always a positive reason why you couldn't be together look for it and embrace.

Mambo yangekua hivi kwa kila mmoja wetu hata mauaji ya wenza yasingetokea
 
Mimi nimekubali matokeo lakini namuona binti kama anataka tuendelee na kuwasiliana nikamwambia huo ujinga siufanyi aheshimu mawazo yake.

Ila katika kuwaza na kuwazua na kuunganisha nukta nikapa wazo au nimchane mdau nini ?!
Unataka umwage mboga!?
 
Mwache haraka. Usimpugie wala kumtumia sms, wala usipokee simu yake na sms zake futa kabla hujazisoma. Utaishi kwa furaha na utafanikiwa
 
Acha kuforce mambo wew, wanawake wamejaa dunia nzma wew unamganda ganda mtoto wawatu kama ruba?

Usikute kwao hutambulik na yeye kaona hauna future ndiomaana kakukataa kijanja,

Inshort huna chako hapo, tambaa mapema, or otherwise uwe kama chawa yaan uwe mme wa pili yaan mchepuko[emoji23][emoji23].

Ukweli mchungu achan na huyo dem, wanawake wa aina hiyo ndyo wale hata ukioa wanakuwa wanashikwa akili na mashoga zao,ndugu na majirani, achana na ilo jizi la mapenzi utapoteza muda wako bureee.

Anyway mwaka jana tushawaonya sana kuhusu ndoa, lkn hamsikii mmazd kukaza fuvu, fanya uwezalo
1641240301592.jpg
 
Naomba umwache akaolewe. Siku hizi mmekuwa watia mimba bila kuoa. Tafadhali mwache, kwa akili zako sioni kama muoaji kisa cha binti kukata tamaa.
 
Habari ya usiku huu.

Kijana mwenzenu yamenikuta aisee. Ngoja niingie kwenye mada moja kwa moja.

Kuna binti nilikuwa nae na nilipanga kumuoa,lakini masiku ya hivi karibuni nimeona amebadilika hayuko kama zamani (hapa najua wakubwa wenzangu mmenielewa kwamba kitu kidogo anakasirika na kukuza mambo,nikajua hapa natafutiwa sababu ya kuachwa,machale yakanicheza mapema). Sababu binti namjua vilivyo,nikambana sana akaamua kufunguka hiyo ilikuwa juzi. Akasema ni kweli kuna mtu ameunganishiwa na ndugu zake yaani dada zake na wameanza kuwasiliana na kwa mujibu wake huyo muhusika hakumwambia kama ana mtu na binti amekubali kuolewa na huyo mtu.

Lakini katika kuunganisha doti nahisi huyo muhusika(yaani muoaji) nina mfahamu kabisa. Sasa nimekaa hapa najiuliza je nipotezee nikubali matokeo au nimfate mdau nimwambie ukweli ?

Ushauri wenu tafadhali.

Ndiyo mabinti waleo wako ivyo mkuu hususani vibinti vilivyohitimu chuo,,,,,,,,mara nyingi wako ivi "anakuacha akizani huko aendako ataenda kuctarehe ama kupata akitakacho" kumbe anaishia kuteswa,, kutothaminiwa,,,,ukute mume mlevi,,mchepukaji dah,,,na hapo ndipo majuto yanaanza,,,.
 
Achana naye huyo sio mke
Halaf mahusiano ya kuunganishwa na watu mara nyingi huwa hayadumu
Yatamshinda ataanza kujuta mwenyewe
 
Kiukweli nimemuacha ila ameniomba msamaha nimemsamehe na anataka tuendelee na mawasiliano nikamwambia siwezi kuendelea na mawasiliano sababu nakuwa kama simfanyii fair jamaa yake. Nikampiga stop.

Kila muda kananitumia msg na kupiga simu.
ukifunga kitabu funga moja kwa moja. udirudi kuchungulia ndani. piga chini. namba blacklist. utabarikiwa utapata mwingine karibuni
 
Swali la kujiuliza kama kweli unampenda mtu kwasababu gani umfanyie vituko? Mkuu usifosi chochote muda utaongea, wanawake akili zao wanazijua wenyewe.
 
Mimi nimekubali matokeo lakini namuona binti kama anataka tuendelee na kuwasiliana nikamwambia huo ujinga siufanyi aheshimu mawazo yake.

Ila katika kuwaza na kuwazua na kuunganisha nukta nikapa wazo au nimchane mdau nini ?!
Acha huo upumbavu mkuu, tatizo lenu huwa mnaona dalili mbaya mapema kabisa lakini mnazipuuzia!

Kwa akili yako huyo ni mke wa kuoa? Kwa tabia ulizoziona wewe binafsi?


Kwani Duniani kuna uhaba wa wanawake, huyo demu wako unaye muona pisi, yani ni kama umebahatika kumpata, wahuni wanaume kicheche nawameshapiga chini na kumblock

wamekuachia mluga luga uhangaike naye na demu kakuona hautoshi kati kati ya mahusiano yenu anakuchana live kuwa ana mahusiano na jamaa mwingine ,

lakini bado anawasiliana na wewe kwasababu anakuona zuzu ana ku manipulate anavyotaka kwasababu anakutegemea kiuchumi so anataka ale kwako na kwa jamaa!

-unataka umfuate huyo mdau umwambie nini? Mkuu mbona hziz ni akili za kitoto ? Have a self respect mzee!!!!

Embu chill , mwaka mpya huu piga chini huyo uanze upya ...!

Unakuta unahangaika na kidemu flani hivi kimechoka unakaonea huruma lakini bado kana kutesa
 
Acha huo upumbavu mkuu, tatizo lenu huwa mnaona dalili mbaya mapema kabisa lakini mnazipuuzia!

Kwa akili yako huyo ni mke wa kuoa? Kwa tabia ulizoziona wewe binafsi?


Kwani Duniani kuna uhaba wa wanawake, huyo demu wako unaye muona pisi, yani ni kama umebahatika kumpata, wahuni wanaume kicheche nawameshapiga chini na kumblock

wamekuachia mluga luga uhangaike naye na demu kakuona hautoshi kati kati ya mahusiano yenu anakuchana live kuwa ana mahusiano na jamaa mwingine ,

lakini bado anawasiliana na wewe kwasababu anakuona zuzu ana ku manipulate anavyotaka kwasababu anakutegemea kiuchumi so anataka ale kwako na kwa jamaa!

-unataka umfuate huyo mdau umwambie nini? Mkuu mbona hziz ni akili za kitoto ? Have a self respect mzee!!!!

Embu chill , mwaka mpya huu piga chini huyo uanze upya ...!

Unakuta unahangaika na kidemu flani hivi kimechoka unakaonea huruma lakini bado kana kutesa
Bonge la ushauri mkuu. Kinachotakiwa ni kujitambua
 
Nishapiga chini ila chenyewe kinataka kiendelee kuwasiliana na mimi,hapa kinatuma msg kama mvua.
Acha kuintertain drama za wanawake.... sio kila sms lazima ureply....!
 
Back
Top Bottom