Wadudu wa Arusha ni uchafu wa kijamii, sio sifa njema kwa Arusha. Ududu upigwe vita!

Zanzibar kuna mashoga hivyo ngoma ni draw
Zanzibar kuna vitu vingi vibaya ikiwemo ulevi, uteja, umalaya na ushoga, lakini hakuna mzanzibar utamsikia akifurahi na kujivunia hayo, kwa kuwa ni mambo maovu na machafu yasiyokuwa na sifa njema kwa Zanzibar na mzanzibar yoyote.

Maajabu ni kuwa, Arusha inajivunia wadudu! Ududu ni ujinga na uchafu mkubwa wa kijamii. Wananchi wa Arusha ukataeni kabisa.
 
Arusha ndio kwenu acha kutumia neno zanzibar , hiko ndio kizazi cha kwenu.
Haya basi ni kweli Arusha ni kwetu lakini Zanzibar ni kwangu.
Sasa niambie wewe, nani kwao ni Zanzibar? Wazanzibar wote ni watu wa kuja, sio mpemba au muunguja.
 
Mkuu Arusha inaharibiwa na CCM, haya magenge yote ya kijinga chimbuko lake ni Chama cha mapinduzi
 
Haya basi ni kweli Arusha ni kwetu lakini Zanzibar ni kwangu.
Sasa niambie wewe, nani kwao ni Zanzibar? Wazanzibar wote ni watu wa kuja, sio mpemba au muunguja.
Ssi tunakujua wewe ni mamluki umekimbia kwenu 😀 😀 😀
 
Ssi tunakujua wewe ni mamluki umekimbia kwenu 😀 😀 😀
Sasa ni nani alikwambia wewe kwenu ni Zanzibar? Wazanzibar wote tumeletwa Zanzibar, Zanzibar haina mwenyewe sheikh.
Sikushangai sana wewe kusema hayo maana wazinzibar wote sisi ni matokeo ya kizazi cha kitumwa, uzamiaji na ubaguzi. Tumekaa kubaguana, kuzamia na kutumikishana tu. Kiasili ndio tulivyo tu.
 
Unabagulia na hutaki kurudi kwenu , wewe ni mtumwa rudi kwenu uache shobo , andika jina Arusha sio zanzibar , hakuna mzanzibar ana ujinga kama wako wala hawana time ya kuzungumzia mikoa ya bara.
 
Achana na huyo mzenji mbaguzi na maskini tu. Hajui chochote zaidi ya Unguja mjini. Mshamba tu.
Znzibar ndio imekuweka mjini , umekimbia njaa kwenu kazi kuzururu kweny miji ya watu kama wakimbizi .
 
Naunga mkono hoja.🤝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…