Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,984
- 5,820
Sawa mkuu kila la Kheri ila tambua kuwa serikali ipo macho na ina mkono mrefu.Lazima Gepg, Hazina zilale hata siku 2 kwenye zile Tarehe zinazoanzia na 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu kila la Kheri ila tambua kuwa serikali ipo macho na ina mkono mrefu.Lazima Gepg, Hazina zilale hata siku 2 kwenye zile Tarehe zinazoanzia na 2
ukimla kwanza utampikaje?Mdukuzi ukimkamata dawa yao n kuliwa kwanza, halafu mnamkamua damu mnapika kisusio halafu zile nyama mnazikausha mnasaga unga mnakuwa mnapika uji wa nyama au sambusha[emoji23][emoji23]
Kila tukio wana wasingizia aidha Warusi,Wachina au Wakorea Kaskazini - yaani hata akili za kushuku kwamba that could be an inside job as well, akili hizo hawana kabisa!!
Hatukamatiki kirahisi iwe musheija,no ulila siMdukuzi ukimkamata dawa yao n kuliwa kwanza, halafu mnamkamua damu mnapika kisusio halafu zile nyama mnazikausha mnasaga unga mnakuwa mnapika uji wa nyama au sambusha[emoji23][emoji23]