M
Mkuu punguza ukali wa maneno halafu usipende kujumuisha makosa ya wachache kwa wote kwani wapo watu wanasomesha,kujenga,kupata mitaji ya biashara na hata kuendesha maisha in general sasa ww unaposema ndo mana wanasiasa wanawageuza mitaji ya kisiasa jee unawazungumzia vipi mama,baba lishe pamoja na wamachinga kiasi kwamba mjini kote wametawala wao jee sio mitaji kwa wanasiasa?Tangu lini wavuta bangi wakawa organised , hawana akili hata chembe hao ndiomaana wanasiasa wanawageuza kuwa mitaji yao ya kisisasa