Waendesha bodaboda, tabia hii inakera sana

Waendesha bodaboda, tabia hii inakera sana

Bodaboda asilimia kubwa Ni majitu ya ovyo Sana Kuna moja lilimgonga mama moja kwenye zebra,gari na mabasi ya mesimama lenyewe sijui kulikuwa linawahi wapi mama yule aligongwa akazimia bahati nzuri na lenyewe lilianguka hapohapo tulikamata polisi wakaja kumchukua na bodaboda lake ,sijui huko waliishia vipi,kwa ujumla bodaboda asilimia kubwa Ni watu wa ovyo Sana.
 
Bodaboda asilimia kubwa Ni majitu ya ovyo Sana Kuna moja lilimgonga mama moja kwenye zebra,gari na mabasi ya mesimama lenyewe sijui kulikuwa linawahi wapi mama yule aligongwa akazimia bahati nzuri na lenyewe lilianguka hapohapo tulikamata polisi wakaja kumchukua na bodaboda lake ,sijui huko waliishia vipi,kwa ujumla bodaboda asilimia kubwa Ni watu wa ovyo Sana.
Hawa jama ni changamoto ya nchi nzima nadhani
 
Dah ni kweli wana vurugu na makelele mno, miluzi mingi honi,mixer kukusemesha wote "dada/sister unaenda ? " kuna sehemu huwa napita aah hadi wamenikariri eti achana naye huyo bahili hapandagi bodaboda"😂😀 eti wameninunia hiii
 
Back
Top Bottom