Waendesha bodaboda, tabia hii inakera sana

M
Tangu lini wavuta bangi wakawa organised , hawana akili hata chembe hao ndiomaana wanasiasa wanawageuza kuwa mitaji yao ya kisisasa
Mkuu punguza ukali wa maneno halafu usipende kujumuisha makosa ya wachache kwa wote kwani wapo watu wanasomesha,kujenga,kupata mitaji ya biashara na hata kuendesha maisha in general sasa ww unaposema ndo mana wanasiasa wanawageuza mitaji ya kisiasa jee unawazungumzia vipi mama,baba lishe pamoja na wamachinga kiasi kwamba mjini kote wametawala wao jee sio mitaji kwa wanasiasa?
 
Aisee huwa inanikera sana yaani dah
 
[emoji23][emoji23]
Yan unakuta umetokezea sehemu walipo unasikia tu honi unajua kabisa wamekuona tayari, sasa inua kichwa tu kuwaangalia chuma ishawaka, na ndo mana siku izi hukuti boda ambayo haipigi starter, manake kama hana stater atapata hadi apige kick atapata tabu sana kijiweni anakopaki
 
Kwamba boda apaki piki piki nyumbani ili afue jaketi lake?

Hujui hii kazi jamaa
 
Utakuwa Ni Dada Poa Mtulivu na sio sister Du
 
"Ifuate hela,, hela haina tabia ya kumfuata mtu". Ukikaa na hela hukaa pia ndivyo hivyo ukisimama pia.
 
Nachukizwa sana pale bodaboda anapopakia abiria halafu mziki sauti mpaka mwisho...wanafikiri abiria wote wapenda heka heka.

Hii tabia ya kudaka daka watu hovyo imeibuka pia pale Makumbusho (Dsm)stand...ile migahawa pale around.
 
Vita ni vita muraaaa[emoji23][emoji23][emoji23]umenikumbusha boda wa mbezi yaani unashuka na wenyewe wanakufungia breki miguuni


Kingsmann
 
Ndo kula yao wacha watafute pesa aisee!! Akizubaa zubaa tu atapata wapi ya kurejesha kwa bosi?? Haya Maisha tu
 
Vita ni vita muraaaa[emoji23][emoji23][emoji23]umenikumbusha boda wa mbezi yaani unashuka na wenyewe wanakufungia breki miguuni


Kingsmann
Mimi nikishuka kwenye daladala hawa hapa, wanasahau natembea tu kuingia kazini kwangu....au nikiwa na gari yangu nikishuka kwenda kununua vocha hawa hapa, tayari wameshasahau nimeshuka kwenye ndinga yangu.
 
Mimi nikishuka kwenye daladala hawa hapa, wanasahau natembea tu kuingia kazini kwangu....au nikiwa na gari yangu nikishuka kwenda kununua vocha hawa hapa, tayari wameshasahau nimeshuka kwenye ndinga yangu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Alafu kwenye suala la speed ni niii!! mimi nilimwambia mmoja sitaki ukanichubue magoti nipe niendeshe mwenyewe
 
Boda boda wa arusha hao.yani unapanda boda uku una sali wamekaa kijambazi tu na boda zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…