Waendesha Mashtaka wadai nyumba ya Diddy ilikutwa na Vilainishi, Silaha, Dawa za Kulevya, Mafuta ya Watoto Chupa zaidi ya 1000

Waendesha Mashtaka wadai nyumba ya Diddy ilikutwa na Vilainishi, Silaha, Dawa za Kulevya, Mafuta ya Watoto Chupa zaidi ya 1000

Hasa mwenyewe mtandale anasemaje hayo mafuta ya watoto aliyaona au hakuyaona
images (1).jpeg
 
MAREKANI: Rapa na Mfanyabiashara, Sean "Diddy" Combs anatarajiwa kupandishwa Kizimbani kujibu mashtaka matatu aliyofunguliwa ambayo ni ulaghai, biashara ya ngono kwa kutumia nguvu, Usafirishaji Haramu wa Binadamu kwaajili ya Shughuli za Kingono

Kwa mujibu wa Waendesha Mashtaka, Diddy anadaiwa kutumia Mtandao wa Biashara zao Kuwatisha, Kuwanyanyasa na Kuwatumia Wanawake kadhaa ili kukidhi haja zake za Kingono

Hatua hii inakuja ikiwa ni muda mfupi tangu Diddy akamatwe na Mamlaka za Uchunguzi ambapo katika maeleo ya Waendesha Mashtaka imeelezwa uvamizi uliofanywa na Maafisa wa Polisi Machi 2024 ulibaini uwepo wa Chupa zaidi ya 1,000 za Mafuta ya Watoto, Vilainishi, Silaha, Dawa za Kulevya n.k.

Soma Pia: Diddy ashtakiwa tena, adaiwa kumlazimisha Ngono na Dawa za Kulevya Mtayarishaji Muziki wake



expected in court today after he was arrested in New York City on Monday

He faces three charges - racketeering, sex trafficking by force, fraud or coercion and transportation to engage in prostitution

Prosecutors allege Combs used his vast business empire to threaten, violently assault and coerce women to โ€œfulfil his sexual desiresโ€

The arrest in Manhattan follows raids on two of his properties in Los Angeles and Miami in March as part of an "ongoing investigation" into sex trafficking

Combs's lawyer, Marc Agnifilo, said they were "disappointed with the decision to pursue what we believe is an unjust prosecution"

Nathan Williams, the district attorney, outlined the newly-released indictment for reporters saying in part that Combs forced women to engage in sexual intercourse with other men.

He explained how Combs controlled sex performances, which the rapper called "freak offs"

When Combs didn't get his way with his victims, he used violence including dragging women by their hair, Williams said
The music mogul did not work alone and used his business and employees to get his way having people from security to personal assistants to help facilitate these alleged crimes, the news conference is told

The district attorney said that through their investigation, officials found more than 1,000 bottles of lubricant, firearms and ammunition

Williams did not take further charges off the table when speaking to reporters but didn't offer specific details

Prosecutors said they are seeking pre-trial for Combs and noted he would be in court later today

BBC
Huyu ndio basi Tena...Kwisha habari yake hachomoki
 
Baada ya rapa na producer na record owner wa bad boys records kukamatwa na fbi Kwa tuhuma za biashara ya ngono, madawa ya kulevya, ubakaji, kuwalewesha wasanii wa kiume na kuwabaka, kumolest watoto.

Pdiddy amehusishwa na mapenzi ya jinsia moja na wasanii maarufu kama jarule, meek mill, mase, usher Raymond, Justine biber, burna boy, Omarion.

Tajiri huyu wa bad boy records amekuwa akitumia mbinu ya kutoa promise kukusaidia katika industry ikiwemo kuwin Grammies, ama njia ingine anatumia ni pesa, ama kukulewesha madawa ya kulevya akikualika nyumbani kwake Kwa ajili ya kupart, na njia ya blackmail.

Kutokana na yanayojiri, basi tusikilize clip ya diamond, ambaye amedai alienda nyumbani Kwa pdiddy na kukiri kufanya mambo ambayo hawezi SEMA. Sasa sijui Kuna Siri au jambo Gani ambalo diamond analificha na ambalo konde boy au alikiba akilijua anaweza kutumia katika bifu yao. Jambo hili Diamond alizungumzia miaka 3 ilyopita.


View: https://youtu.be/KgDZmneARcg?si=wGEfe6oqPMAMBQeE
 
Back
Top Bottom