Waendesha Mashtaka wadai nyumba ya Diddy ilikutwa na Vilainishi, Silaha, Dawa za Kulevya, Mafuta ya Watoto Chupa zaidi ya 1000

Waendesha Mashtaka wadai nyumba ya Diddy ilikutwa na Vilainishi, Silaha, Dawa za Kulevya, Mafuta ya Watoto Chupa zaidi ya 1000

Hivi huyo Pdidy ndo huyo huyo Puff dady au nimuulize Tandale president? Mana inasemekana katoni za ky zilikua nyingi kuliko maji ya kunywa humo ndani kwake sasa sijui alikua anakunywa vijambio
 
Nimekuambia ushoga unaletwa kwa ubakaji kwa sababu asilimia 90 ya mashoga wote wamefanyiwa hivyo vitendo chini ya miaka 18 iwe kwa ridhaa au la kisheria chini ya miaka 18 ni ubakaji umeelewa wewe zuzu.hivyo serikali ya marekani ni wanafiki
We maku nini... maku la mama yako ngesem baridi wewe
 
Hebu hapa tulete mkusanyiko wa videos na picha za mwamba akiwa na celebrities A-List kwenye mansion yake aliyoipa jina la "Love Island".

Inaonekana huyu mwamba maisha yake yote ilikuwa ni mwendo wa partying tu.

Baada ya kukamatwa, huko mitandaoni sasa kumeibuka mkusanyiko wa videos na picha mbalimbali akiwa na mastaa wakubwa wa Marekani na nje ya Marekani.




 
FB_IMG_17271159518736320.jpg
 
JE WEWE UNAJUA HII STORY YA DIDDY
😂
🤣
AU HATA WEWE HAUJUI DIDDY NI NANI?
🤣
👇
👇

Ngoja mimi niwahabarishe leo, nipo kwa ajili yenu
😂

Diddy Parties zimekuwa zikifanyika kwa zaidi ya Miaka 30 Sasa
Takriban kila rapa/Mwanamuziki maarufu alihudhuria angalau 1 kati ya Diddy Party
Ni nini kilikuwa kinatokea kwenye Diddy Party ilikuwa kukaa kwenye Diddy Party kwa Miaka 30 mfululizo hadi 2024 vipi?
Wengi wa wanaume na wanawake waliokuwa kwenye Diddy Party walialikwa na kushiriki kwa hiari yao Freak offs na kushiriki yote ya ajabu yaliokuwa yakifanyika pale.
Diddy Party ni mfano kamili wa kile tunachokiita "Illuminatii Party" ambapo celebrities wengi na wafanyabiashara matajiri hasa katika muziki hufanya/walifanya mambo ya ajabu kama sehemu ya matambiko.
Diddy amekuwa TOP 5 ya Rapa MATAJIRI zaidi duniani kwa muda mrefu sasa
J Cole alipigwa kibao kwenye Diddy Party, Drake alipigwa kwenye Diddy Party, sijui nini hasa kilimtokea Meek kwenye Diddy Party lakini nadhani ni bora ikiwa hakuna picha za Meek kwenye Diddy Party kwasababu itakuwa kuna mambo yanatisha humo
NBA YoungBoy alihudhuria hafla ya Diddy mnamo 2018
Inaaminika kuwa Diddy alikuwa anahusika jumla kufanya njama za mauaji ya PAC na Biggie lakini alikuwa huru na bila kuguswa kwa Miaka 30 sasa.
Kati ya miaka hii 30+ iliyopita Diddy amekuwa akifanya parties hizi na kwanini anashutumiwa kipindi hiki, kwa nini 2024?
"Inachekesha unapogundua kuwa wengi walilazimika kuliwa na Diddy ili kupata dili lao la kurekodi" ~Mtumiaji wa X
Diddy alikuwa mtu yule uliyehitaji uthibitisho wake ili kujua kuwa umefanikiwa, wale ambao walikuwa na kiu ya umaarufu walimwangukia huruma na kuharibiwa ...
Lengo lao kubwa lilikuwa kuajiri vipaji vya vijana wengi iwezekanavyo. Na kama Kanye West alisema, wanakuchuma kwanza mapato kisha wanakuumiza
 
Simpendi Diddy lakini kusema chupa buku za mafuta ni uwongo wa karne. Inamaana Diddy alikuwa anatembea na Kiriku kubeba hizo chupa!
Akili za kuambiwa samtaimu hapana aisee!
 
Sasa mtu anaanda sex parties mnategemea nini hapo ni watu kutmbn n kflnnn tu

Ova
 
Back
Top Bottom