Tetesi: Wafadhili wa Lissu na CHADEMA wamwahidi Lissu Helkopta 3 na magari 31 mapya kwaajili ya Uchaguzi Mkuu wa 2025.

Tetesi: Wafadhili wa Lissu na CHADEMA wamwahidi Lissu Helkopta 3 na magari 31 mapya kwaajili ya Uchaguzi Mkuu wa 2025.

Newforce

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2024
Posts
430
Reaction score
708
IMG-20241227-WA0058.jpg


Habari za Chini chini zinasema wafadhili wa CHADEMA na Lissu wamemuhakikishia Lissu endapo atakuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wao na marafiki zao watatoa helkopa tatu pamoja na gari moja katika kila mkoa ya Tanzània bara na Visiwani ili kukisaidia chama hicho kuelekea Nov 2025.

Haijafahamika Helkopta hizo zitakuwa mpya au used wakati pia utaongea.

Funzo, Huenda Wafadhili na wahisani wengi wako tayari kuisaidia CHADEMA ila hawakuwa na imani na Mbowe kwa kipindi kirefu na mbaya ni hii ya uswaiba wake na Mwenyekiti wa CCM hawaamini kama kweli kwa maridhiano yake hawezi kuwataja pia wadhamini wa Chama kwa majina yao au ya kampuni zao.

Uadilifu na Uaminifu ni muhimu sana

Happy New Year 2025.
 
Habari za Chini chini zinasema wafadhili wa CHADEMA na Lissu wamemuhakikishia Lissu kama atakuwa Mwenyekiti yeye basi watatoa helkopa tatu pamoja na gari moja katika kila mkoa.

Haijafahamika Helkopta hizo zitakuwa mpya au used wakati pia utaongea.

Wafadhili na wahisani wako tayari kuisaidia CHADEMA ila hawakuwa na imani na Mbowe kama kweli kwa maridhiano yake hawezi kutaja majina yao au ya kampuni zao.

Happy New Year 2025.
Sawa lkn kwani kugombea urais lazima uwe Mkiti.
 
View attachment 3186235

Habari za Chini chini zinasema wafadhili wa CHADEMA na Lissu wamemuhakikishia Lissu endapo atakuwa Mwenyekiti wao na marafiki zao watatoa helkopa tatu pamoja na gari moja katika kila mkoa ya Tanzània bara na Visiwani.

Haijafahamika Helkopta hizo zitakuwa mpya au used wakati pia utaongea.

Funzo, Wafadhili na wahisani wako tayari kuisaidia CHADEMA ila hawakuwa na imani na Mbowe kwa kipindi kirefu na mbaya ni hii ya uswaiba na Mwenyekiti wa CCM kama kweli kwa maridhiano yake hawezi kutaja majina yao au ya kampuni zao.

Happy New Year 2025.
Yanaweza kuishia kwenye makaratasi ikibidi ,Tanzania haiwezi kuangukia Kwa Mabeberu Kwa njia ya vibaraka wao.
 
View attachment 3186235

Habari za Chini chini zinasema wafadhili wa CHADEMA na Lissu wamemuhakikishia Lissu endapo atakuwa Mwenyekiti wao na marafiki zao watatoa helkopa tatu pamoja na gari moja katika kila mkoa ya Tanzània bara na Visiwani.

Haijafahamika Helkopta hizo zitakuwa mpya au used wakati pia utaongea.

Funzo, Wafadhili na wahisani wako tayari kuisaidia CHADEMA ila hawakuwa na imani na Mbowe kwa kipindi kirefu na mbaya ni hii ya uswaiba na Mwenyekiti wa CCM kama kweli kwa maridhiano yake hawezi kutaja majina yao au ya kampuni zao.

Happy New Year 2025.
Mbowe kwa sasa wenda analala na viatu, spana anazopigwa sio za dunia hii
 
View attachment 3186235

Habari za Chini chini zinasema wafadhili wa CHADEMA na Lissu wamemuhakikishia Lissu endapo atakuwa Mwenyekiti wao na marafiki zao watatoa helkopa tatu pamoja na gari moja katika kila mkoa ya Tanzània bara na Visiwani.

Haijafahamika Helkopta hizo zitakuwa mpya au used wakati pia utaongea.

Funzo, Wafadhili na wahisani wako tayari kuisaidia CHADEMA ila hawakuwa na imani na Mbowe kwa kipindi kirefu na mbaya ni hii ya uswaiba na Mwenyekiti wa CCM kama kweli kwa maridhiano yake hawezi kutaja majina yao au ya kampuni zao.

Happy New Year 2025.
Wewe ni.
1. Mwandani wa Mbowe?
2. Mwandani wa Lissu?
 
View attachment 3186235

Habari za Chini chini zinasema wafadhili wa CHADEMA na Lissu wamemuhakikishia Lissu endapo atakuwa Mwenyekiti wao na marafiki zao watatoa helkopa tatu pamoja na gari moja katika kila mkoa ya Tanzània bara na Visiwani.

Haijafahamika Helkopta hizo zitakuwa mpya au used wakati pia utaongea.

Funzo, Wafadhili na wahisani wako tayari kuisaidia CHADEMA ila hawakuwa na imani na Mbowe kwa kipindi kirefu na mbaya ni hii ya uswaiba na Mwenyekiti wa CCM kama kweli kwa maridhiano yake hawezi kutaja majina yao au ya kampuni zao.

Happy New Year 2025.
Lissu akiwa mwenyekiti chadema, binafsi nitaingiza wanachama wapya 100 kwa gharama zangu siku 2 tu.Lissu ni mnyoofu na anastahili kuwa mwenyekiti wa chadema taifa
 
View attachment 3186235

Habari za Chini chini zinasema wafadhili wa CHADEMA na Lissu wamemuhakikishia Lissu endapo atakuwa Mwenyekiti wao na marafiki zao watatoa helkopa tatu pamoja na gari moja katika kila mkoa ya Tanzània bara na Visiwani.

Haijafahamika Helkopta hizo zitakuwa mpya au used wakati pia utaongea.

Funzo, Wafadhili na wahisani wako tayari kuisaidia CHADEMA ila hawakuwa na imani na Mbowe kwa kipindi kirefu na mbaya ni hii ya uswaiba na Mwenyekiti wa CCM kama kweli kwa maridhiano yake hawezi kutaja majina yao au ya kampuni zao.

Happy New Year 2025.
Umbea 💯
 
Hata watoe ahadi ya kumpatia jeshi la anga na ardhini kwa ajili ya kulinda kura, lazima atambuwe kwamba kwa staili ya anavyoendesha siasa zake hotokaa awe mwenyekiti wa CHADEMA achilia mbali urais wa nchi.
 
Yanaweza kuishia kwenye makaratasi ikibidi ,Tanzania haiwezi kuangukia Kwa Mabeberu Kwa njia ya vibaraka wao.
Masemaji ya mkopo mmeshaanza kupatwa na wivu,nyie simmeshisha ndege za ardhini,wivu wa nini sasa?
 
Back
Top Bottom