Tetesi: Wafadhili wa Lissu na CHADEMA wamwahidi Lissu Helkopta 3 na magari 31 mapya kwaajili ya Uchaguzi Mkuu wa 2025.

Tetesi: Wafadhili wa Lissu na CHADEMA wamwahidi Lissu Helkopta 3 na magari 31 mapya kwaajili ya Uchaguzi Mkuu wa 2025.

View attachment 3186235

Habari za Chini chini zinasema wafadhili wa CHADEMA na Lissu wamemuhakikishia Lissu endapo atakuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wao na marafiki zao watatoa helkopa tatu pamoja na gari moja katika kila mkoa ya Tanzània bara na Visiwani ili kukisaidia chama hicho kuelekea Nov 2025.

Haijafahamika Helkopta hizo zitakuwa mpya au used wakati pia utaongea.

Funzo, Huenda Wafadhili na wahisani wengi wako tayari kuisaidia CHADEMA ila hawakuwa na imani na Mbowe kwa kipindi kirefu na mbaya ni hii ya uswaiba wake na Mwenyekiti wa CCM hawaamini kama kweli kwa maridhiano yake hawezi kuwataja pia wadhamini wa Chama kwa majina yao au ya kampuni zao.

Uadilifu na Uaminifu ni muhimu sana

Happy New Year 2025.
Tutamfadhili Lissie hela ya kutosha kuongoza chama akipata safu nzuri ya uongozi siyo kina wenje
 
Mimi sina isue kubwa na Lisu, my point is: LISU ANATAFUATA UENYEKITI KWA KUKIPASUA CHAMA, KUIUA CHADEMA. Angelitumia busara, "unyenyekevu", uungwana na si kashifa kwa wenzake na kuropoka ya sirini...kwa katiba yao....
Mkuu retired hatuyajui ya ndani huenda mwenyekiti anazingia sana na hashauriki na kusikiliza mtu.

Mbona wakati wa kumleta lowasa walimvumilia mwenyekiti
Kwa Nini sasa wameasi

Ikifika point of no return Huwa ni kumwaga mboga
 
View attachment 3186235

Habari za Chini chini zinasema wafadhili wa CHADEMA na Lissu wamemuhakikishia Lissu endapo atakuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wao na marafiki zao watatoa helkopa tatu pamoja na gari moja katika kila mkoa ya Tanzània bara na Visiwani ili kukisaidia chama hicho kuelekea Nov 2025.

Haijafahamika Helkopta hizo zitakuwa mpya au used wakati pia utaongea.

Funzo, Huenda Wafadhili na wahisani wengi wako tayari kuisaidia CHADEMA ila hawakuwa na imani na Mbowe kwa kipindi kirefu na mbaya ni hii ya uswaiba wake na Mwenyekiti wa CCM hawaamini kama kweli kwa maridhiano yake hawezi kuwataja pia wadhamini wa Chama kwa majina yao au ya kampuni zao.

Uadilifu na Uaminifu ni muhimu sana

Happy New Year 2025.
Asante sana
 
View attachment 3186235

Habari za Chini chini zinasema wafadhili wa CHADEMA na Lissu wamemuhakikishia Lissu endapo atakuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wao na marafiki zao watatoa helkopa tatu pamoja na gari moja katika kila mkoa ya Tanzània bara na Visiwani ili kukisaidia chama hicho kuelekea Nov 2025.

Haijafahamika Helkopta hizo zitakuwa mpya au used wakati pia utaongea.

Funzo, Huenda Wafadhili na wahisani wengi wako tayari kuisaidia CHADEMA ila hawakuwa na imani na Mbowe kwa kipindi kirefu na mbaya ni hii ya uswaiba wake na Mwenyekiti wa CCM hawaamini kama kweli kwa maridhiano yake hawezi kuwataja pia wadhamini wa Chama kwa majina yao au ya kampuni zao.

Uadilifu na Uaminifu ni muhimu sana

Happy New Year 2025.
Mada za kuchanganya watu akili tu hizi; na kutafuta kupoteza lengo la kazi iliyopo sasa hivi.
 
Mmh yaan watoe tu pesa hao wana yao mambo me siwaamini mabeberu hao
Shida kubwa ya Lisu ni hii...Anafadhiliwa na ma beberu ambao hawaitakii mema Tanzania kwani wameshindwa kui destabilize Kwa miaka mingi...
 
Kama ni kweli. Kuna mkono wa madon wakubwa na watu wazito ambao wapo tayari hii ccm izamishwe na watasaidia
Siku ukiipoteza CCM na maisha yakawa ndivyo sivyo, tutakaposhindwa kuirudisha tena ndiyo majuto yatakuwa maradufu...CCM haijawahi kuwa mbaya ila Kuna watu wabaya wachache wameipokonya CCM kutoka Kwa wanachama wake
 
Siku ukiipoteza CCM na maisha yakawa ndivyo sivyo, tutakaposhindwa kuirudisha tena ndiyo majuto yatakuwa maradufu...CCM haijawahi kuwa mbaya ila Kuna watu wabaya wachache wameipokonya CCM kutoka Kwa wanachama wake
Hakuna nchi iliendelea kwa ukubwa kupitia lichama la zamani. Nenda kasome historia vzr.
 
Yanaweza kuishia kwenye makaratasi ikibidi ,Tanzania haiwezi kuangukia Kwa Mabeberu Kwa njia ya vibaraka wao.
Haaaa....hivi DP WORLD, Barick, Anglo Gold Mine, Gesi Mtwara, n.k hao siyo mabeberu? Au mpaka wawe mbuzi beberu...
Unapenda sana kuwatukana CCM kisirisiri.
 
Back
Top Bottom