Tetesi: Wafadhili wa Lissu na CHADEMA wamwahidi Lissu Helkopta 3 na magari 31 mapya kwaajili ya Uchaguzi Mkuu wa 2025.

Tetesi: Wafadhili wa Lissu na CHADEMA wamwahidi Lissu Helkopta 3 na magari 31 mapya kwaajili ya Uchaguzi Mkuu wa 2025.

View attachment 3186235

Habari za Chini chini zinasema wafadhili wa CHADEMA na Lissu wamemuhakikishia Lissu endapo atakuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wao na marafiki zao watatoa helkopa tatu pamoja na gari moja katika kila mkoa ya Tanzània bara na Visiwani ili kukisaidia chama hicho kuelekea Nov 2025.

Haijafahamika Helkopta hizo zitakuwa mpya au used wakati pia utaongea.

Funzo, Huenda Wafadhili na wahisani wengi wako tayari kuisaidia CHADEMA ila hawakuwa na imani na Mbowe kwa kipindi kirefu na mbaya ni hii ya uswaiba wake na Mwenyekiti wa CCM hawaamini kama kweli kwa maridhiano yake hawezi kuwataja pia wadhamini wa Chama kwa majina yao au ya kampuni zao.

Uadilifu na Uaminifu ni muhimu sana

Happy New Year 2025.
Hii propaganda tu! Vinginevyo kama ni kweli maana yake mnawafanyia wengine kazi na sio watanzania.
 
Shida kubwa ya Lisu ni hii...Anafadhiliwa na ma beberu ambao hawaitakii mema Tanzania kwani wameshindwa kui destabilize Kwa miaka mingi...
Kwani serikali misaada huwa I naenda kuchukua wapi?

Watu mmefirisika sana ki mawazo, discrimination generates hate. Halafu ukiwa unachuki na mtu hata Unachokiandika hakieleweki
 
  • Kicheko
Reactions: Ame
Kwani serikali misaada huwa I naenda kuchukua wapi?

Watu mmefirisika sana ki mawazo, discrimination generates hate. Halafu ukiwa unachuki na mtu hata Unachokiandika hakieleweki
Nimchukie kwanini kwamfano, kama analeta faida kwangu na Kwa nchi? Ikiwa am not satisfied kwanini sasa nisieleze wasiwasi wangu?
 
Umekuwa kama Mse**** badala ya kujibu hoja unaanza kupaniki na kuandika uchoko.

Nyamaza tu hoja hujibiwa kwa hoja sio maneno ya kichoko
Naona upinde umetoka kusafishwa mtaro
 
HIyo china unayoisemea ndio kina mao ze dong waliipambania sasa sijui unaongea vitu gani. kasome tena Historia.
Kwahiyo walitengeneza chama kipya? Nadhani wewe ndiye unahitajika kwenda kuisoma hiyo historia with reference to your first response to my text, otherwise acha mihemko
 
Kwahiyo walitengeneza chama kipya? Nadhani wewe ndiye unahitajika kwenda kuisoma hiyo historia with reference to your first response to my text, otherwise acha mihemko
Chama kipya na ni mfumo mpya tu mkuu. Ndio maana watu wanaotaka katiba mpya wanaona chadema inafaa sasa
 
Chama kipya na ni mfumo mpya tu mkuu. Ndio maana watu wanaotaka katiba mpya wanaona chadema inafaa sasa
Kwanini uwasemee watu kwani wewe ni watu wote?

Punguza mihemko, kupenda kwako CHAGADEMA kusikupofushe akili yako
 
View attachment 3186235

Habari za Chini chini zinasema wafadhili wa CHADEMA na Lissu wamemuhakikishia Lissu endapo atakuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wao na marafiki zao watatoa helkopa tatu pamoja na gari moja katika kila mkoa ya Tanzània bara na Visiwani ili kukisaidia chama hicho kuelekea Nov 2025.

Haijafahamika Helkopta hizo zitakuwa mpya au used wakati pia utaongea.

Funzo, Huenda Wafadhili na wahisani wengi wako tayari kuisaidia CHADEMA ila hawakuwa na imani na Mbowe kwa kipindi kirefu na mbaya ni hii ya uswaiba wake na Mwenyekiti wa CCM hawaamini kama kweli kwa maridhiano yake hawezi kuwataja pia wadhamini wa Chama kwa majina yao au ya kampuni zao.

Uadilifu na Uaminifu ni muhimu sana

Happy New Year 2025.
Hongera sana LISSU kwa Ushindi
 
Yanaweza kuishia kwenye makaratasi ikibidi ,Tanzania haiwezi kuangukia Kwa Mabeberu Kwa njia ya vibaraka wao.
Mbona kila mwaka inaangukia !! Unataka iangukie mara ngapi??
Bajeti, mikopo, misaada inaangukia kwa mabeberubunaowataja!!
Au Kuna maana nyingine bya kuanguka??🤣🤣🚴🚴
 
Mbona kila mwaka inaangukia !! Unataka iangukie mara ngapi??
Bajeti, mikopo, misaada inaangukia kwa mabeberubunaowataja!!
Au Kuna maana nyingine bya kuanguka??🤣🤣🚴🚴
Hayo uliyoyataja yanahusianaje na kuwa kibaraka?
 
mkuu, unakumbuka uliwahi kutu
View attachment 3186235

Habari za Chini chini zinasema wafadhili wa CHADEMA na Lissu wamemuhakikishia Lissu endapo atakuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wao na marafiki zao watatoa helkopa tatu pamoja na gari moja katika kila mkoa ya Tanzània bara na Visiwani ili kukisaidia chama hicho kuelekea Nov 2025.

Haijafahamika Helkopta hizo zitakuwa mpya au used wakati pia utaongea.

Funzo, Huenda Wafadhili na wahisani wengi wako tayari kuisaidia CHADEMA ila hawakuwa na imani na Mbowe kwa kipindi kirefu na mbaya ni hii ya uswaiba wake na Mwenyekiti wa CCM hawaamini kama kweli kwa maridhiano yake hawezi kuwataja pia wadhamini wa Chama kwa majina yao au ya kampuni zao.

Uadilifu na Uaminifu ni muhimu sana

Happy New Year 2025.
unakumbuka uliwahi kutupiga kamba kuwa oscar kambona kapata wafadhili anakuja na chopa tatu na magari 31? hatujasahau mkuu
 
Back
Top Bottom