Lakini tukisema kweli kweli tupu vipi kuhusu nidhamu ya kazi maofisini ilikuwaje kipindi cha JPM ??!Wanahadithia ya kwamba aliufikisha uchumi wa China hadi "kati-chini" hadi Bashing'waa/Chinese waligaragara mavumbini kuonesha kumpa ukuu uliotukuka na kusema masihi amekuja.π
Nchi zote zilizoendelea zilipitia kwenye mikono ya Chuma mwanzoni ndio watu wakaogopa kukwapua na wakawa wanafanya Kazi kweri kweri ndio ukaziona kama zilivyo kwa sasa !Mussoline akina Hitler Mao tse Tung, Stalin nk nk just to mention few names !Hapana. Hayo yote yalikuwa ni yake mwenyewe. Na aliamini ktk mawazo yake pekee. Yeye alijiona kuwa anajua na anweza kila kitu peke yake. Hakuwaamini hata Wataalam kwenye nyanja mbalimbali. Mfano akitoa tamko kuwa daraja lijengwe ndani ya siku 14 na lianze kutumika. Akitokea Mkandarasi akampa ukweli kuwa siku 14 ndiyo kwanza mchoro na vipimo utakuwa umekamilika. Utasikia wewe Mkandarasi ulisoma Chuo gani kwanzia leo sitaki nikuone hapa Tanroad. Mkuu wa Majeshi uko hapa? Kazi hii nakukabidhi wewe. Anapigiwa saluti anajiona mshindi. Alijiona yeye ni msomi kuliko hata Maprofesa waliomfundisha.
Kwa kifupi ni kwamba alikuwa siyo Kiongozi bali ni Mtawala tena katili. Yeyote aliyejaribu kuyarekebisha au kuyapinga matamko yake alimuona ni adui yake mkubwa na adhabu yake ni kutumbuliwa au kupotezwa kabisa.
Ugumu wa Uchaguzi Mkuu wa 2015 kwa CCM ndiyo iliyochagiza hasa style ya Uongozi wa Serikali ya CCM ya Awamu ya tano chini ya Rais John Magufuli aliyoanza nayo.Aina ya utawala wa kuchukua maamuzi ya papo hapo bila kuchelewa dhidi ya utendaji mbovu wa Mtumishi yeyote wa Umma na 'makali' dhidi ya watumishi mbalimbali 'dhaifu' kutumbuliwa majipu, Style hii Mpya ya Serikali ya CCM ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli ilikonga nyoyo hasa, za wananchi hadi kufikia Approval rating yake kufikia 90+% (Twaweza,2016) kutokana na dhahania ya kwamba Serikali iliyopita iliendekeza udhaifu, kufuga wezi na kutukuza Ufisadi,Hapana. Hayo yote yalikuwa ni yake mwenyewe. Na aliamini ktk mawazo yake pekee. Yeye alijiona kuwa anajua na anweza kila kitu peke yake. Hakuwaamini hata Wataalam kwenye nyanja mbalimbali. Mfano akitoa tamko kuwa daraja lijengwe ndani ya siku 14 na lianze kutumika. Akitokea Mkandarasi akampa ukweli kuwa siku 14 ndiyo kwanza mchoro na vipimo utakuwa umekamilika. Utasikia wewe Mkandarasi ulisoma Chuo gani kwanzia leo sitaki nikuone hapa Tanroad. Mkuu wa Majeshi uko hapa? Kazi hii nakukabidhi wewe. Anapigiwa saluti anajiona mshindi. Alijiona yeye ni msomi kuliko hata Maprofesa waliomfundisha.
Kwa kifupi ni kwamba alikuwa siyo Kiongozi bali ni Mtawala tena katili. Yeyote aliyejaribu kuyarekebisha au kuyapinga matamko yake alimuona ni adui yake mkubwa na adhabu yake ni kutumbuliwa au kupotezwa kabisa.
Sasa baada ya kuona Kiongozi Mpya Rais Magufuli akichukua hatua madhubuti dhidi ya Utendaji mbovu, Wizi wa Mali ya Umma, Ufisadi, Kutowajibika ipasavyo kwa Watumishi wa Umma kulinda na kupigania mali ya Umma,Kwa hakika asilimia kubwa ya Wananchi walifurahishwa sana na Utendaji wa Kiongozi Mpya na hatua stahiki zinazochukuliwa,Hapana. Hayo yote yalikuwa ni yake mwenyewe. Na aliamini ktk mawazo yake pekee. Yeye alijiona kuwa anajua na anweza kila kitu peke yake. Hakuwaamini hata Wataalam kwenye nyanja mbalimbali. Mfano akitoa tamko kuwa daraja lijengwe ndani ya siku 14 na lianze kutumika. Akitokea Mkandarasi akampa ukweli kuwa siku 14 ndiyo kwanza mchoro na vipimo utakuwa umekamilika. Utasikia wewe Mkandarasi ulisoma Chuo gani kwanzia leo sitaki nikuone hapa Tanroad. Mkuu wa Majeshi uko hapa? Kazi hii nakukabidhi wewe. Anapigiwa saluti anajiona mshindi. Alijiona yeye ni msomi kuliko hata Maprofesa waliomfundisha.
Kwa kifupi ni kwamba alikuwa siyo Kiongozi bali ni Mtawala tena katili. Yeyote aliyejaribu kuyarekebisha au kuyapinga matamko yake alimuona ni adui yake mkubwa na adhabu yake ni kutumbuliwa au kupotezwa kabisa.
Si mmerudi baada ya yeye kufa..? Alipokuwepo bandari iliuzwa..?, alipokuwepo wamasai wa ngorongoro walifukuzwa..?,workdone = zero, yote yamerudi vile vile, mengine na kuzidi..makosa alifanya yeye mwenyewe! bora hata asingepata nafasi ya kuongoza..sababu tumerudi nyuma kuzidi pale alianzia!
Unaonaje kama angalitumia nafasi yake ile kuhakikisha tunapata Sheria nzuri kupitia Katiba Mpya yenye kusimamia na kulinda rasilimali zetu?? Alijijenga yeye kama yeye. Alifanikiwa sana kuwatia hofu Watendaji wa Serikali kuhusu uwajibikaji. Sasa hayupo nini kimetokea kwa yale yote aliyokuwa akiyapigania?? Vipi kuhusu rasilimali zetu?? Tusiyategemee mawazo ya Kiongozi kama ndiyo Sheria ya Nchi. Bali tumtegemee Kiongozi Shupavu mwenye kutafsiri na kusimamia Sheria tuliyojiwekea wenyewe dhidi ya Mali za Umma.Sasa baada ya kuona Kiongozi Mpya Rais Magufuli akichukua hatua madhubuti dhidi ya Utendaji mbovu, Wizi wa Mali ya Umma, Ufisadi, Kutowajibika ipasavyo kwa Watumishi wa Umma kulinda na kupigania mali ya Umma,Kwa hakika asilimia kubwa ya Wananchi walifurahishwa sana na Utendaji wa Kiongozi Mpya na hatua stahiki zinazochukuliwa,
unatofautishaje maendeleo ya vitu na ya watu?Jiwe, rais wa hovyo :-
1. Aliyeamini ktk maendeleo ya vitu na siyo watu.
2. Muasisi wa utekaji, uporaji na mauaji ya watu.
3. Aliamini kuwa mtu akiwa rais hapaswi kuiosolewa. Jinga kabisa.
4. Dikteta aliyekosa chembe ya huruma.
5. Aliminya haki za makundi yote kuanzia wakulima, wafanyakazi, wavuvi, n.k.
Kifo chake kilileta faraja na furaha kwa watu wengi.
hata wao wanajua,huruma mtu aombe kazi ipatikane halafu afanye anavyotaka yeye bosi akufoka Hana huruma,watu waibe Mali za umma uwaulize kama hawata kufa kweli? uko serious.Lakini tukisema kweli kweli tupu vipi kuhusu nidhamu ya kazi maofisini ilikuwaje kipindi cha JPM ??!
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu ππ
Ule wizi na dhuluma za kina Sabaya alikuwa hana mgao kweli?Jiwe, rais wa hovyo :-
1. Aliyeamini ktk maendeleo ya vitu na siyo watu.
2. Muasisi wa utekaji, uporaji na mauaji ya watu.
3. Aliamini kuwa mtu akiwa rais hapaswi kuiosolewa. Jinga kabisa.
4. Dikteta aliyekosa chembe ya huruma.
5. Aliminya haki za makundi yote kuanzia wakulima, wafanyakazi, wavuvi, n.k.
Kifo chake kilileta faraja na furaha kwa watu wengi.
Mkurugenzi nakupa mshahara, usafiri na mafuta halafu unatangaza mpinzani.Wanamuita "shujaa" au "mwamba"!Vibweka vitupu.
Na majonzi kwa Bashite japo alimwachia utajiri wa kutosha, utajiri unaohusishwa na jinsi muonekano wa Bashite( shape/makalio) ulivyo.Kifo chako kitaleta faraja na furaha kwa watu wengi.
Masikini Tundu Lissu angekuwa amesha oza sasa hivi.Kenge huyo amerasimisha utekaji, uuaji, kupita chaguzi bila kupingwa, Rais wa hovyo kuwai kutokea duniani.
Magufuli alishazikwa. Hawa wanaotekwa na kuuawa baada ya kifo chake anawateka yeye?Jiwe, rais wa hovyo :-
1. Aliyeamini ktk maendeleo ya vitu na siyo watu.
2. Muasisi wa utekaji, uporaji na mauaji ya watu.
3. Aliamini kuwa mtu akiwa rais hapaswi kuiosolewa. Jinga kabisa.
4. Dikteta aliyekosa chembe ya huruma.
5. Aliminya haki za makundi yote kuanzia wakulima, wafanyakazi, wavuvi, n.k.
Kifo chake kilileta faraja na furaha kwa watu wengi.
This is cherry picking!Tukio moja ktk miaka 10 huwezi kulinganisha na maelfu ya matukio ktk miaka 5.
Alikuwa anawahadaa wajinga. Hata data za uchumi zilikuwa za kupika. Amerudisha nyuma maendeleo ya watanzania wengi sana. Uchawa unaouona huko ccm yeye ndiye muasisi.lkn aliweza hata haya maajabu aliyotamka gs wa ccm yy kachangia 98%.RIP Mwamba MAGU.
Hilo ni kosa kubwa alilifanya ! ππMkurugenzi nakupa mshahara, usafiri na mafuta halafu unatangaza mpinzani.