Wafadhili wa nini? - Hayati Rais John Pombe Magufuli

Wafadhili wa nini? - Hayati Rais John Pombe Magufuli

Tatizo kubwa Afrika lipo katika kuweka mfumo na sera sahihi za
kukabiliana nayo

 
Wanahadithia ya kwamba aliufikisha uchumi wa China hadi "kati-chini" hadi Bashing'waa/Chinese waligaragara mavumbini kuonesha kumpa ukuu uliotukuka na kusema masihi amekuja.😎
Lakini tukisema kweli kweli tupu vipi kuhusu nidhamu ya kazi maofisini ilikuwaje kipindi cha JPM ??!
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu 🙌👍
 
Hapana. Hayo yote yalikuwa ni yake mwenyewe. Na aliamini ktk mawazo yake pekee. Yeye alijiona kuwa anajua na anweza kila kitu peke yake. Hakuwaamini hata Wataalam kwenye nyanja mbalimbali. Mfano akitoa tamko kuwa daraja lijengwe ndani ya siku 14 na lianze kutumika. Akitokea Mkandarasi akampa ukweli kuwa siku 14 ndiyo kwanza mchoro na vipimo utakuwa umekamilika. Utasikia wewe Mkandarasi ulisoma Chuo gani kwanzia leo sitaki nikuone hapa Tanroad. Mkuu wa Majeshi uko hapa? Kazi hii nakukabidhi wewe. Anapigiwa saluti anajiona mshindi. Alijiona yeye ni msomi kuliko hata Maprofesa waliomfundisha.

Kwa kifupi ni kwamba alikuwa siyo Kiongozi bali ni Mtawala tena katili. Yeyote aliyejaribu kuyarekebisha au kuyapinga matamko yake alimuona ni adui yake mkubwa na adhabu yake ni kutumbuliwa au kupotezwa kabisa.
Nchi zote zilizoendelea zilipitia kwenye mikono ya Chuma mwanzoni ndio watu wakaogopa kukwapua na wakawa wanafanya Kazi kweri kweri ndio ukaziona kama zilivyo kwa sasa !Mussoline akina Hitler Mao tse Tung, Stalin nk nk just to mention few names !
Kupata maendeleo sio lelemama ya kwenye maparty ya Ngurdoto Hotels na kwenye kula Bata !
Eti Wanasemaga Kazi na Bata !😅🙄😳 !
 
Hapana. Hayo yote yalikuwa ni yake mwenyewe. Na aliamini ktk mawazo yake pekee. Yeye alijiona kuwa anajua na anweza kila kitu peke yake. Hakuwaamini hata Wataalam kwenye nyanja mbalimbali. Mfano akitoa tamko kuwa daraja lijengwe ndani ya siku 14 na lianze kutumika. Akitokea Mkandarasi akampa ukweli kuwa siku 14 ndiyo kwanza mchoro na vipimo utakuwa umekamilika. Utasikia wewe Mkandarasi ulisoma Chuo gani kwanzia leo sitaki nikuone hapa Tanroad. Mkuu wa Majeshi uko hapa? Kazi hii nakukabidhi wewe. Anapigiwa saluti anajiona mshindi. Alijiona yeye ni msomi kuliko hata Maprofesa waliomfundisha.

Kwa kifupi ni kwamba alikuwa siyo Kiongozi bali ni Mtawala tena katili. Yeyote aliyejaribu kuyarekebisha au kuyapinga matamko yake alimuona ni adui yake mkubwa na adhabu yake ni kutumbuliwa au kupotezwa kabisa.
Ugumu wa Uchaguzi Mkuu wa 2015 kwa CCM ndiyo iliyochagiza hasa style ya Uongozi wa Serikali ya CCM ya Awamu ya tano chini ya Rais John Magufuli aliyoanza nayo.Aina ya utawala wa kuchukua maamuzi ya papo hapo bila kuchelewa dhidi ya utendaji mbovu wa Mtumishi yeyote wa Umma na 'makali' dhidi ya watumishi mbalimbali 'dhaifu' kutumbuliwa majipu, Style hii Mpya ya Serikali ya CCM ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli ilikonga nyoyo hasa, za wananchi hadi kufikia Approval rating yake kufikia 90+% (Twaweza,2016) kutokana na dhahania ya kwamba Serikali iliyopita iliendekeza udhaifu, kufuga wezi na kutukuza Ufisadi,
 
Hapana. Hayo yote yalikuwa ni yake mwenyewe. Na aliamini ktk mawazo yake pekee. Yeye alijiona kuwa anajua na anweza kila kitu peke yake. Hakuwaamini hata Wataalam kwenye nyanja mbalimbali. Mfano akitoa tamko kuwa daraja lijengwe ndani ya siku 14 na lianze kutumika. Akitokea Mkandarasi akampa ukweli kuwa siku 14 ndiyo kwanza mchoro na vipimo utakuwa umekamilika. Utasikia wewe Mkandarasi ulisoma Chuo gani kwanzia leo sitaki nikuone hapa Tanroad. Mkuu wa Majeshi uko hapa? Kazi hii nakukabidhi wewe. Anapigiwa saluti anajiona mshindi. Alijiona yeye ni msomi kuliko hata Maprofesa waliomfundisha.

Kwa kifupi ni kwamba alikuwa siyo Kiongozi bali ni Mtawala tena katili. Yeyote aliyejaribu kuyarekebisha au kuyapinga matamko yake alimuona ni adui yake mkubwa na adhabu yake ni kutumbuliwa au kupotezwa kabisa.
Sasa baada ya kuona Kiongozi Mpya Rais Magufuli akichukua hatua madhubuti dhidi ya Utendaji mbovu, Wizi wa Mali ya Umma, Ufisadi, Kutowajibika ipasavyo kwa Watumishi wa Umma kulinda na kupigania mali ya Umma,Kwa hakika asilimia kubwa ya Wananchi walifurahishwa sana na Utendaji wa Kiongozi Mpya na hatua stahiki zinazochukuliwa,
 
Kwa sababu ya Uzalendo wa JPM kwa nchi kuondoa uozo mwingi kwenye utumishi wa umma, katika uongozi wake matukio mengi yalitokea yakiwa na sura za kufurahisha, kustaajabisha, kushangaza, kuhuzunisha na kuumiza sana yalizua hisia tofauti tofauti hasa kwa Wale vyeti feki, Mafisadi, Watendaji ambao hawakuwajibika ipasavyo, Matukio haya yakichagizwa na mabadiliko makubwa ya hali ya kiuchumi ambapo fedha nyingi ilielekezwa katika miradi mikubwa ya kitaifa kama Ufufuaji wa Mashirika ya Umma kama TTCL, ATCL, Ujenzi wa miundo mbinu Barabara za juu na Mradi mkubwa wa kuzalisha Umeme katika Mto Rufiji, ujulikanao kama "Stigglers Gorge ".
 
workdone = zero, yote yamerudi vile vile, mengine na kuzidi..makosa alifanya yeye mwenyewe! bora hata asingepata nafasi ya kuongoza..sababu tumerudi nyuma kuzidi pale alianzia!
Si mmerudi baada ya yeye kufa..? Alipokuwepo bandari iliuzwa..?, alipokuwepo wamasai wa ngorongoro walifukuzwa..?,
 
Kwa sababu ya uongozi wa kizalendo wa JPM,kuelekea 2020 na Muonekano Mpya wa CCM kama Chama tendaji na Chama Cha Kizalendo chenye muonekano wa kuwasaidia wanyonge na waliokata tamaa,kurudisha heshima kwa Wakulima na Wafanyakazi.CCM inafanya mabadiliko mara kwa mara na hii inakifanya kila wakati kuibuka Chama kipya.CCM ijifanyia tathmini kubwa na kufanya mabadiliko kila uchao
 
Bora kutafuta wafadhili kuliko kupora raia wako,kuwateka na kuwapoteza,nafikiri yeye alikuwa na shida zaidi.
 
Katika uongozi wa Hayati John Pombe Magufuli tuliona utendaji wa kuacha alama katika awamu hiyo ya tano, tuliona uwajibikaji uliotukuka na kwa hakika Mabadiliko ya kimaendeleo yaligusa kila mmoja wetu, kama uhukuona basi ulishika uligundua Kweli kuna mabadiliko, kama hukushika basi ulikanyaga na uligundua mabadiliko makubwa ya kimaendeleo, ukitoka kibaha kuja Mbezi hadi Kimara uliona kazi kubwa iiliyofanyika ya ujenzi wa Barabara ya Morogoro, utajua kweli Serikali ya Rais Magufuli ilifanya kazi.

Awamu ya tano ilivyoingia Madarakani tumeona utendaji huu,

-Ujenzi wa Hostel za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (udsm).

-Ujenzi wa Hostel za Askari Magereza.

-Ununuzi wa Ndege 6 (Nyingine 2 ziko mbioni kuja).

-Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo,

-Upanuzi wa Airport Mwanza,Bukoba,Mbeya,Songea,Dodoma na Musoma.

-Upanuzi barabara ya Moroco Dsm,Mwanza na Arusha.

-Upanuzi wa Kisasa Airport Dar ,terminal 3.

-Kusimamia misingi ya kimaadili ya Utumishi wa Umma, Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.

-Ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme (Standard Gauge)

-Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba.

-Ujenzi wa kota za Magomeni.

-Ununuzi na Ujenzi wa Rada Mpya ya kuongozea ndege katika anga lote la Tanzania.

-Elimu bure na Mafunzo ya kujitegemea katika Veta na Jkt kwa wahitimu wa Elimu ya Sekondari.

-Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.

-Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.

-Miradi Mikubwa ya Maji,Ujenzi wa Matenki makubwa Dar es Salaam na mradi mkubwa wa Maji toka Ziwa Victoria kuja Tabora hadi Dodoma.

-Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima nchini Uganda hadi Jijini Tanga,Tanzania.

-Usimamizi wa Mazao Mfano Korosho,Pamba,Katani,Alizeti,kahawa,Chai,Maharage,Kilimo cha Mpunga na kutafuta masoko nje ya Nchi kwa ajili ya kupata fedha za kigeni kuinua uchumi wetu.

-Kuboresha Sekta ya Utalii kwa kununua ndege kurahisisha usafiri wa Watalii toka Mabara yote kuja Tanzania.

-Usimamizi wa Mapato ya Mali asili zetu,mfano Madini ya Dhahabu, Tanzanite na Almasi.

-Ukusanyaji Mapato baada ya kuziba nianya ya ufisadi na wizi wa mapato na mali ya Umma.

-Kujenga Utaifa na Uzalendo.

-Ujenzi wa Bwawa la Umeme katika Mto Rufiji "Stigglers Gorge".

Kwa hakika katika awamu hii ya 5,Serikali ya CCM inayoongozwa na Rais Magufuli iliifanya CCM kuwa Mpya katika utendaji wa kasi na wa uhakika pasipo porojo wala propaganda, Mwenye macho aliona utendaji katika sekta mbali mbali kuijenga Tanzania Mpya ambayo ilikuwa inawenda kuwa Baba la Uchumi barani Africa.
 
Sasa baada ya kuona Kiongozi Mpya Rais Magufuli akichukua hatua madhubuti dhidi ya Utendaji mbovu, Wizi wa Mali ya Umma, Ufisadi, Kutowajibika ipasavyo kwa Watumishi wa Umma kulinda na kupigania mali ya Umma,Kwa hakika asilimia kubwa ya Wananchi walifurahishwa sana na Utendaji wa Kiongozi Mpya na hatua stahiki zinazochukuliwa,
Unaonaje kama angalitumia nafasi yake ile kuhakikisha tunapata Sheria nzuri kupitia Katiba Mpya yenye kusimamia na kulinda rasilimali zetu?? Alijijenga yeye kama yeye. Alifanikiwa sana kuwatia hofu Watendaji wa Serikali kuhusu uwajibikaji. Sasa hayupo nini kimetokea kwa yale yote aliyokuwa akiyapigania?? Vipi kuhusu rasilimali zetu?? Tusiyategemee mawazo ya Kiongozi kama ndiyo Sheria ya Nchi. Bali tumtegemee Kiongozi Shupavu mwenye kutafsiri na kusimamia Sheria tuliyojiwekea wenyewe dhidi ya Mali za Umma.
 
Jiwe, rais wa hovyo :-
1. Aliyeamini ktk maendeleo ya vitu na siyo watu.
2. Muasisi wa utekaji, uporaji na mauaji ya watu.
3. Aliamini kuwa mtu akiwa rais hapaswi kuiosolewa. Jinga kabisa.
4. Dikteta aliyekosa chembe ya huruma.
5. Aliminya haki za makundi yote kuanzia wakulima, wafanyakazi, wavuvi, n.k.

Kifo chake kilileta faraja na furaha kwa watu wengi.
unatofautishaje maendeleo ya vitu na ya watu?
kama kuteka aliasisi yeye Kwa Nini kuendelee Kwa Kasi wakati yupo kaburini?
Mtu yeyote anastahili kuheshimiwa unapopinga tanguliza staha na siyo tuna rais wa ajabuajabu.
Hilo la kuminya haki za watu mnaliona nyie vyeti feki,mafisadi na Ajira hewa.
Lakini tukisema kweli kweli tupu vipi kuhusu nidhamu ya kazi maofisini ilikuwaje kipindi cha JPM ??!
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu 🙌👍
hata wao wanajua,huruma mtu aombe kazi ipatikane halafu afanye anavyotaka yeye bosi akufoka Hana huruma,watu waibe Mali za umma uwaulize kama hawata kufa kweli? uko serious.
 
Jiwe, rais wa hovyo :-
1. Aliyeamini ktk maendeleo ya vitu na siyo watu.
2. Muasisi wa utekaji, uporaji na mauaji ya watu.
3. Aliamini kuwa mtu akiwa rais hapaswi kuiosolewa. Jinga kabisa.
4. Dikteta aliyekosa chembe ya huruma.
5. Aliminya haki za makundi yote kuanzia wakulima, wafanyakazi, wavuvi, n.k.

Kifo chake kilileta faraja na furaha kwa watu wengi.
Ule wizi na dhuluma za kina Sabaya alikuwa hana mgao kweli?
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Kifo chako kitaleta faraja na furaha kwa watu wengi.
Na majonzi kwa Bashite japo alimwachia utajiri wa kutosha, utajiri unaohusishwa na jinsi muonekano wa Bashite( shape/makalio) ulivyo.
 
Jiwe, rais wa hovyo :-
1. Aliyeamini ktk maendeleo ya vitu na siyo watu.
2. Muasisi wa utekaji, uporaji na mauaji ya watu.
3. Aliamini kuwa mtu akiwa rais hapaswi kuiosolewa. Jinga kabisa.
4. Dikteta aliyekosa chembe ya huruma.
5. Aliminya haki za makundi yote kuanzia wakulima, wafanyakazi, wavuvi, n.k.

Kifo chake kilileta faraja na furaha kwa watu wengi.
Magufuli alishazikwa. Hawa wanaotekwa na kuuawa baada ya kifo chake anawateka yeye?

siku hizi wanateka hadi ndani ya basi, achilia mbali Bakari Nondo aliyebebwa mchana kweupe stendi ya Magufuli.

Ukiwa na akili kidogo tu, utagundua kuwa Magufuli aliibadilisha nchi na kuimarisha huduma za jamii.
 
  • Dislike
Reactions: G4N
lkn aliweza hata haya maajabu aliyotamka gs wa ccm yy kachangia 98%.RIP Mwamba MAGU.
Alikuwa anawahadaa wajinga. Hata data za uchumi zilikuwa za kupika. Amerudisha nyuma maendeleo ya watanzania wengi sana. Uchawa unaouona huko ccm yeye ndiye muasisi.
 
Back
Top Bottom