Uchaguzi 2020 Wafahamu baadhi ya Watia nia ya Ubunge wa CCM ambao hawakushinda katika kura za maoni lakini wamepitishwa kugombea katika majimbo yao

Kuna umuhimu wowote wa kuendesha zeozi la kura za maoni kwa wagombea ubunge ccm?
Why Gwaji
Why Shigongo
Why Mwambe
Why Kimei
Why Katani
Kwanini?
 
Hivi hao wana uwezo wa kuchambua taarifa ya cag kweli
 
Shinyanga Mjini hilo jimbo Chadema washindwe wenyewe, huyo Katambi 2015 alijaribu hapo Shinyanga akiwa CDM akakosa, naamini yule Masele lazima ana kinyongo.
Actually, kitendo cha kutoa Masele, ni uonevu wa hali ya juu. Labda ni Ule ugomvi wake na Ndugai. Masele looks to be a more leadership material.
 
Kuna umuhimu wowote wa kuendesha zeozi la kura za maoni kwa wagombea ubunge ccm?
Why Gwaji
Why Shigongo
Why Mwambe
Why Kimei
Why Katani
Kwanini!!!????

Sigongo unamuonea mkuu alipata kura sawa na mtetea kiti chake,nadhani ikaone mbunge mtetea kiti katumia rushwa hakubaliki kuliko shigongo
Ndo kapewa haki yake
Njoo wewe na chauma yako uchuane naye
 
Sigongo unamuonea mkuu alipata kura sawa na mtetea kiti chake,nadhani ikaone mbunge mtetea kiti katumia rushwa hakubaliki kuliko shigongo
Ndo kapewa haki yake
Njoo wewe na chauma yako uchuane naye
Chauma ndo kitu gani???
Sijakuelewa
 
Gwajima-Ndiye mwenye ubavu wa kumtikisa Mdee. Mchungaji ni rahisi kumdhibiti kondoo wake. Huko nyuma Mdee na hata Mwakiembe walishajihudhurisha madhabahuni pa huyu Askofu.
Pengo la mama wa upepo wa kisulisuli linazibwa nafikiri.

Kimei ni mzoefu wa mambo ya biashara ya fedha na mabenki. Uzoefu wake utasaidia mahalimahali. Atajibeba kirasilimali. Sijui aliiachaachaje crdb, alipostaafu.

Shigongo ni media tycoon kiswazswaz. Pengeni Diallo kapwaya ndiye mbadala.
 
Niamini mimi mkuu kama kuna watu waliotoa rushwa Kawe basi Askofu katoa hela nyingi kuliko wagombea wote nilikuwa karibu sana kwenye huu mchakato
Yeye si ameokoka na Ni mtumishi wa Mungu kwanini atoe rushwa na Ni dhambi, kwa mtindo basi kuona langu la mbingu wataenda hata machangu wallah
 
Jimbo la Muheza, CHadema na ACT mkiunganisha nguvu mnachukua asubuhi kabisa...kunakwenda kutokea kura za hasira...
Unaongelea Shinyanga mjini ipi,masele na gaki hawatakiwi kabisa tena huyo masele ndio ovyo kabisa bora kidogo huyo gaki.Gaki angeenda kugombea kwao moshi kwa huku shy bado sana
 
Boss Suley2019 Hao wamepitishwa kutokana na kuwa na Mtaji wa Watu aka Connection aka Kura


 
Na hii ni kutokana na uonevu tuliofanyiwa wa wazi wazi kwa kukatwa majina yetu baada ya kuibuka washindi kura za maoni za Chama cha Mapinduzi lakini chama hicho kimetukata na kuteua watu wengine.

Sasa wamechokoza mziga wa nyuki wote tuliokatwa majina yetu tusikubali bora tuuze ramani ya vita kwa maadui ili tukose wote hakuna mwenye hati miliki ya CCM tukutane kwenye Kampeni CHADEMA jiandae kuchukua Nchi.
 
Unaharakia wapi mkuu?

Sent from my SM-N910W8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…