Tutawasaidia bure kufanya kampeni wagombea wa chadema.
Na hii ni kutokana na uonevu aliofanyiwa wa wazi wazi kwa kukatwa majina yetu baada ya kuibuka washindi kura za maoni za Chama cha Mapinduzi lakini chama hicho kimetukata na kuteua watu wengine...
Tutawasaidia kupiga kampani zakimya au zawazi tunakubalika sana kwenye majimbo yetu chadema jiandae kuchukua nchi mwaka huu.EL alikuwa na ramani hadi mchora ramani na vifaa vya kuchorea AKAKATWA akaja tukazungusha mikono weeee.
Leo ni ccm hatuwapokei mnakuja kuiba ramani yetu ya vita mtoe taarifa.
EL kipindi kile sio leo ,ccm haikua na sera mbaya za uchumi na maadui kila kona watu maisha yaliku yanaenda vizuri ukilingani na awamu hii kitendo cha kutukata majina yetu kita wacost nawaambieniEL alikuwa na ramani hadi mchora ramani na vifaa vya kuchorea AKAKATWA akaja tukazungusha mikono weeee.
Leo ni ccm hatuwapokei mnakuja kuiba ramani yetu ya vita mtoe taarifa.
Tokea 1977 hadi leo bado mnajenga chama?Mwana ccm mwenzangu 2lia 2kijenge chama acha hasira
Anza kwanza kubadili ID yako mkuuNa hii ni kutokana na uonevu aliofanyiwa wa wazi wazi kwa kukatwa majina yetu baada ya kuibuka washindi kura za maoni za Chama cha Mapinduzi lakini chama hicho kimetukata na kuteua watu wengine. Sasa wamechokoza mziga nyuki wote tuliokatwa majina yetu tusikubali bora tuuze rama ya vita kwa maadui ili tukose wote hakuna mwenye hati miliki ya ccm tukutane kwenye Kampeni Chadema jiandae kuchukua Nchi.
Hautushawishi tukupokee, la ukija utakaa mlangoni kama kandambili.EL kipindi kile sio leo ,ccm haikua na sera mbaya za uchumi watu maisha yaliku yanaenda vizuri ukilingani na awamu hii kitendo cha kutukata maji yetu kita wacost nawaambieni
wa ACT je?Tutawapigia kampani wagombea wa chadema.
Mwaka huu ubaya ubaya kama noma naiwe hatukubali lazima tulivenjii ,tunaakikisha ccm imsambalitika amini msiamini tukutane kwenye kampeniAnza kwanza kubadili ID yako mkuu
Weka majina yako waziMwaka huu ubaya ubaya kama noma naiwe hatukubali lazi tulivenjii ,tunakikisha ccm imsambalitika amini msiamini tukutane kwenye kampeni
Tunakatwa majina bila sababu za msingi mnawapa wapinzani mnatuchukuliaje huu utakua ujinga wa kiwango gani hatutahama tunabaki kwenye chama chetu pendwa ccm password zote tunatoa ili tukose wotekwani kuna watu mna hatimiliki na hizo tiketi!!!??
au mlisahau mamlaka ya kamati kwenye hilo???
Sent from my G3226 using JamiiForums mobile app
kukosa mtakosa peke yenu, hakuna msamiati wa kukosa wote.Tunakatwa majina bila sababu za msingi mnawapa wapinzani mnatuchukuliaje huu utakua ujinga wa kiwango gani hatutahama tunabaki kwenye chama chetu pendwa ccm password zote tunatoa ili tukose wote
Hukuwa mwana ccm wewe , ila ulikuwa mtu mwenye njaa na mchuia tumbo,Na hii ni kutokana na uonevu aliofanyiwa wa wazi wazi kwa kukatwa majina yetu baada ya kuibuka washindi kura za maoni za Chama cha Mapinduzi lakini chama hicho kimetukata na kuteua watu wengine. Sasa wamechokoza mziga nyuki wote tuliokatwa majina yetu tusikubali bora tuuze rama ya vita kwa maadui ili tukose wote hakuna mwenye hati miliki ya CCM tukutane kwenye Kampeni CHADEMA jiandae kuchukua Nchi.
sasa unaongea, haya ndiyo maneno ya mtoto wa kiume - mtoto wa kiume huwa halii lii - ni mtu wa Action.Na hii ni kutokana na uonevu aliofanyiwa wa wazi wazi kwa kukatwa majina yetu baada ya kuibuka washindi kura za maoni za Chama cha Mapinduzi lakini chama hicho kimetukata na kuteua watu wengine. Sasa wamechokoza mziga nyuki wote tuliokatwa majina yetu tusikubali bora tuuze rama ya vita kwa maadui ili tukose wote hakuna mwenye hati miliki ya CCM tukutane kwenye Kampeni CHADEMA jiandae kuchukua Nchi.
Jeuri hiyo hamuna,jaribuni muoneNa hii ni kutokana na uonevu aliofanyiwa wa wazi wazi kwa kukatwa majina yetu baada ya kuibuka washindi kura za maoni za Chama cha Mapinduzi lakini chama hicho kimetukata na kuteua watu wengine. Sasa wamechokoza mziga nyuki wote tuliokatwa majina yetu tusikubali bora tuuze rama ya vita kwa maadui ili tukose wote hakuna mwenye hati miliki ya CCM tukutane kwenye Kampeni CHADEMA jiandae kuchukua Nchi.
Alifanya Lowassa na alichemka ,itakuja kuwa nyie vinyamkera ,uzeni tu ramani ya vitaNa hii ni kutokana na uonevu aliofanyiwa wa wazi wazi kwa kukatwa majina yetu baada ya kuibuka washindi kura za maoni za Chama cha Mapinduzi lakini chama hicho kimetukata na kuteua watu wengine. Sasa wamechokoza mziga nyuki wote tuliokatwa majina yetu tusikubali bora tuuze rama ya vita kwa maadui ili tukose wote hakuna mwenye hati miliki ya CCM tukutane kwenye Kampeni CHADEMA jiandae kuchukua Nchi.