Uchaguzi 2020 Wafahamu baadhi ya Watia nia ya Ubunge wa CCM ambao hawakushinda katika kura za maoni lakini wamepitishwa kugombea katika majimbo yao

Umemsahau VINCENT MBOGO Jimbo la NKANSI KUSINI Mkoa wa RUKWA
 
Tuseme ukabila umembeba askofu Gwajima,?nauliza kwasababu hakuwa mshindi wa pili,walio mzidi kwa kura wameondolewa kwa kigezo gani?ukisema rushwa nitakukatalia kwa kuwa wapo walio kamatwa live na waliotoa rushwa waziwazi majina yao yamerudi,Sasa kwa Nini Kawe au ndio usukuma?
 
Wameteuliwa ili waunga mkono juhudi fake waje waendelee na awamu ijayo
Iwapo "hujui kama hujui" ukae kimya.

Mchakato wa kuteua wagombea CCM ni wa uwazi na usio na mizengwe.

Hifadhi hisia zako na kuomba dua lako lifanikiwe.
 
Kwan yule aliekashinda kwa wajumbe alikuwa kabila gan?
 
Mwanafa na babu tale ndo waashapita tayari tujiandae kuona nondo zao next bunge maana ukipita ccm ni uhakika km ilivyozoeleka sijui tu haka "kasisitimu" kataisha lini
 
Naona katika majimbo yote hili ndo linawapa degedege!
 
Kwani Kawe iko Shinyanga au Mwanza?!
 
Gwajima njia nyeupeee, halima tumeshamchoka wana kawe.
 
Shinyanga Mjini hilo jimbo Chadema washindwe wenyewe, huyo Katambi 2015 alijaribu hapo Shinyanga akiwa CDM akakosa, naamini yule Nchambi lazima ana kinyongo.
Sio Nchambi, Shy mjini ni Masele.
 
hili lingekuwa la haki kweli kama hata kwenye majimbo ya mawaziri na viongozi wa juu nayo yangefanyika hivi hivi kwa kuwa nao wametoa rushwa sana tena kubwa kubwa lakini hawajakatwa bali wale wanyonge ndio wameonekana wametoa rushwa hii itakuwa tabu katika chama chetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…