Wafahamu Celebrities waliotoka familia bora

Vijana wa Kishua naona mko njema. Akina Masanja waliokuja town Kama wakimbiza mwenge inabidi tupambane na sisi watoto wetu wawe wa Kishua. Ila hiyo Masaki na Obay Haina shida.....tutawahamisha.....willing buyer for willing seller....cha muhimu ni mawe.....
 

Hahahaaaaaaaaa!
 

Si hata wewe wa kishua

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 

Ha ha ha lol ukiambiwa wakuja utasema dharau wakat ndio ukweli, wa kishua anakaa kwenye kota? Na kweli kumbe unajua sina hadhi ya kukaa kwenye nyumba za msajili. Mie home na town dkk15 so pole yako unayefika Mbezi saa4 usiku...ha ha ha hembu nionyeshe na wewe hiko chumba na sebule ya mzee wako vya pensheni wakati daily unapigana viPepsi kugombea daladala.

Haya basi ngoja nimalize mjadala...mie Maskini kama wewe ili ufurahi...ha ha ha ha
 
Hata mimi ni wa kishua...tangu niko mdogo nikila ugali na dagaa natapika mpaka basi....
 

Hahaaa usidhani kunamtu anakuchuria umaskini humu ila tu uache ulimbukeni wewe sio celeb hata ufurukute vp hauta andikiwa thread ya kukusifia humu... huo ushua wako kautangazie huko insta kwa malimbukeni wenzio hili jukwaa huna hadhi nalo ukasifiwa kama hao.
 

Teh teh teh nimesema unitangaze au nimeomba kutangazwa humu,,na kweli mie sio Celeb kwanza celeb bongo? We kweli wakuja naona Joto hasira za Umaskini kwanza vipi ushafika nyumbani au bado uko Ubungo kwenye foleni ya kwenda Mbezi? Teh teh teh mlaumu baba yako aliyecheza Golori na mama yako aliyecheza Mdako ujana wao ndio wanakupa tabu zote hizo....

Utaweka nini kule kwa IG Maskini tu wewe labda upelekwe KFC au nandoz ndo uPost,,,teh teh teh kwahiyo kila anayekua IG limbukeni? Narudia tena mlaumu baba/mama yako hajakuandalia maisha tokea ulivyotoka Mkoa hadi sasa hivi. Afu kwanza unajipiga DEKI dizaini sio mzuri hadi unagombania daladala maana ungeshanunuliwa kaVitz!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 

Tiririka mama tiririkaa mwanamkee uwanja wako huu watatuaje kuwa we ni wakishua hahaaaa ila tangu umeanza kujitetea umesifiwa labda???? Tajiri hajitangazi bibie anatangazwa ukiona unalazimisha ujue kuna walakini... hizo tabia za kizaramo mwananyamala uswazi hata wadada wenzio sikuiz hawanaga sifa za kijinga.. wenye nazo hawajisifii bali wanasifiwa bibie, si unawaona wenzio hapo juu hawajajisifia wameandikwa. Jitahidi hata huko IG wakusifie basi hao followers wako huko insta.
 

Teh teh teh sawa King of Sheba ndo nishajitangaza hivyo hizo sehemu unazozitaja ndio baba na mama wamehamia nini kutoka Mkoa? Naona kaka umerudi baada ya grid ya Taifa kurudi au ndio unaingia Mbezi sasa hivi? Teh teh teh mie ukikata ni mwendo wa standby generator tuu NOO Mgao wala grid. Mie sio tajiri ila sio Maskini kama wewe hata kidogo.


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Lmao kuna wenzio wanalazimisha ushua humu hahaha

Hivi dada yangu ukiwa na maisha mabovu ni wote lakini? Mbona ye hajakubishia kama we ni maskini na umekiri? Simply na wewe umkubalie wa kishua nafsi yake iridhike.
 
Mkuu Blog achana nae Kiazi huyo kaka King Sheba mada ilikua nzuri tu tokea page ya kwanza sasa sijui kilichomuuma ni nini after kuPost picha then maneno ya Uswahilini anayosema ninayo kumbe ndio yeye kuniambia sijui utajiri wa uzeeni mara ulimbukeni angepiga na yeye kibanda umiza chao huko Mbezi Goba hakuna ambae angemsema. Ina maana Uzi huu picha kaona yeye tu au kipele kinamuwasha? Kaka King Sheba anajifanya mjuaji halafu hakuna kitu mjini kwenyewe ahsante shemeji.


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Last edited by a moderator:

halafu kwa bahati nzuri hatumfahamu.ila hongera zake amejitahidi kujielezea tujue nae ni wa kishua though kwa experience yangu,watu wanaopenda kujipamba kama bwana mkubwa hapo ni malimbukeni a.k.a wameanza kushika pesa ukubwani na bado hawaamini kama ni wao
 

haya tumekuelewa
 

Anzia mwanzo wa hii thread ndo uje uchangie


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Kweli kazi hamna. Mnadiscuss maisha ya watu. Nyie ya kwenu nani atadiscuss? Mbona maisha yao yalikuwa kawaida sana? Umaskini bwana.


The king.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…