Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Nashangaa Paka anapigwa mpaka anatokwa damu mdomoni 🤣🤣🤣Panya wa mama Samia, Kwa Sasa ndio habari ya mjini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashangaa Paka anapigwa mpaka anatokwa damu mdomoni 🤣🤣🤣Panya wa mama Samia, Kwa Sasa ndio habari ya mjini.
Naona umeweka picha kwa hasira kinoma 😂😂😂😂 sema umeeleweka mkuuHabari wanajamvi,
Nimevamiwa na aina mpya ya Panya ambayo wanaitwa “Asia House Shrew” nimeambatanisha na picha hapo chini,
Hawa Panya nimegundua baadhi ya mambo kwao,
1. Wanasauti kama ndege
2. Wanatembea kwa Makundi
3. Wanazaliana kwa kiwango cha juu sana
4. Hawakai ndani ya nyumba (wanapendelea kuishi maeneo ya nje kwenye Garage au majani makubwa).
5. Sio waoga kabisa
6. Hawali Sumu ukiwategea
7. Wana pua ndefu, wanene na mikia yao ni mifupi minene
Kwa muda wa miezi miwili nimehangaika kuwatokomeza kwa kutumia mitego ya Panya kuna kipindi nilikua nawaangamiza mpaka 8 kwa siku moja, nimefanikiwa kuwamaliza.
Hawa viumbe sio wa kawaida kabisa nimejaribu kusoma kwenye mitandao nimegundua wanapatikana bara la Asia na huku walikuja kwa mizigo ya kwenye Container kutoka China/ India.
Ukiwaona chukua tahadhari na jitahidi kuwaangamiza mapema kabla hawajawa mamia kwa mamia,
Nimeweka pia Picha ya mitego niliyoitumia
View attachment 3086270View attachment 3086271View attachment 3086272View attachment 3086275View attachment 3086276View attachment 3086277View attachment 3086278View attachment 3086279View attachment 3086280
Wananchi turuhusiwe kununua bastola ili tuwaangamize kirahisi. Hata hivyo ukatili uliomfanyia panya huyo kwa kumuua kwa kumbana na mtego haukubaliki, naomba watetezi wa haki za wanyama wakuchukulie hatua kali, Mods wa JF hakikisheni mtuhumiwa anatambulika ili akamatwe, na TSPCA mpo?Habari wanajamvi,
Nimevamiwa na aina mpya ya Panya ambayo wanaitwa “Asia House Shrew” nimeambatanisha na picha hapo chini,
Hawa Panya nimegundua baadhi ya mambo kwao,
1. Wanasauti kama ndege
2. Wanatembea kwa Makundi
3. Wanazaliana kwa kiwango cha juu sana
4. Hawakai ndani ya nyumba (wanapendelea kuishi maeneo ya nje kwenye Garage au majani makubwa).
5. Sio waoga kabisa
6. Hawali Sumu ukiwategea
7. Wana pua ndefu, wanene na mikia yao ni mifupi minene
Kwa muda wa miezi miwili nimehangaika kuwatokomeza kwa kutumia mitego ya Panya kuna kipindi nilikua nawaangamiza mpaka 8 kwa siku moja, nimefanikiwa kuwamaliza.
Hawa viumbe sio wa kawaida kabisa nimejaribu kusoma kwenye mitandao nimegundua wanapatikana bara la Asia na huku walikuja kwa mizigo ya kwenye Container kutoka China/ India.
Ukiwaona chukua tahadhari na jitahidi kuwaangamiza mapema kabla hawajawa mamia kwa mamia,
Nimeweka pia Picha ya mitego niliyoitumia
"Wana roho ngumu sana kufa", hawana tofauti na wajomba zao CCM, pamoja na kusemana juu ya wizi wa kura lakini bado wamo tu!Kweli mkuu upo sahihi kabisa hawa panya ni balaa zito hawaogopi mtu afu hawana haraka kabisa lakini pia Wana roho ngumu sana kufa, wanasauti Kali sana tofauti na panya hawa wa kawaida tuliowazoea kilichonishangaza sana hawafi kizembe Kuna mmoja nilikutana nae nimepiga sana panya anapiga kelele tu hadi kufa nimefyatua buti Karibu Tano ndio kazima lakini bado anapiga kelele sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mtego unauza sh ngapi 😁
Mbeva kwa lugha Gani ?Mbeva,kitoweo hicho pita nacho
Kama anaweza kula miguu, hawezi kukata mapumbu kweli huyo?Kama ushawahi kuwasikia panya wanaong'ata na kupuliza ndo hawa. Wanakula sana miguu ukilala
Lugha ya ukanda wa maziwa makuu hiyo(Rwanda, Burundi, Nyankole, Nyambo nk nk)Mbeva kwa lugha Gani ?
Kisubi au
umesahau kula document za muhimuWakishaitana kikao kimoja tu kwa ajili ya kufanya evaluation, hapo ujue hauwakamati tena kwa hiyo mitego yako.
Watakuwa wanakuja ndani kwako wakiwa wameshashiba au wanabeba kabisa 'Take Away'.
Kwako wanakuwa wanakuja kutoboa na kula masofa na kukata nyaya za vifaa vya umeme kisha wanasepa.
....kwa hiyo ....ni tangazo mitego hili?,🤓Mtego unauza sh ngapi 😁
Kinyiha pia tunaita mbeva au imbevaMbeva kwa lugha Gani ?
Kisubi au
Halafu toilet papers na tissues huwa hawazigusiumesahau kula document za muhimu