Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Haya ni maajabu kwa kweli, sasa wanakulaje hiyo miguu?Kama ushawahi kuwasikia panya wanaong'ata na kupuliza ndo hawa. Wanakula sana miguu ukilala
Ila naona kama paka wa siku hizi ni wahuni kiaina hivi.Wamenisumbua sana hawa viumbe na hapo ulipogusia kwenye parking mimi ndio walikua wanapendelea. Na parking yangu ni ya ndani yan ukiingiza gari parking ,kuna mlango unaingia moja kwa moja master bedrum, na kioind hiko sikua nimeweka geti ya parking, bas ndio wakapenya chumbani. Dooh!!. Before kuingia ndani walinisumbua sana kwenya gar maana na waliponi kera zaid ni siku nimekuta wamekula nyaya za umeme zinazounga kwenye honi aao nikatafuta namna ya kuwadhibit from that day on. Paka alihusika pakubwa sana
Paka wa siku hiz wazushi wazushi. Kuna paka mmoja nilikua nae kazi yake ni kukesha nje usiku anarud asubuh anazuga nje ndani haingii. Nikamleta paka mwingine, akamfanyia figisu kwa wivu wake yule paka mpya nae akaona isiwe nongwa akasepa. Kwakifupi paka wa siku hiz ni kama vijana tu wa generation Z. Dakika 1 mbeleIla naona kama paka wa siku hizi ni wahuni kiaina hivi.
Dah , mimi sitaki kabisa kuwaona wanaharufu kali.Mkuu hao hawana shida kabisa ndo maana huwa wanakata nje kwenye taka, huwa wanasaidia Sana kuua wadudu hatari eg tandu, nge na nyoka wadogo, wasio hatari kama mende na Panya wadogo(mice) na ndani huwa hawaingii...na ukiona ameingia ndani ujue alikiwa anakimbiza mdudu ili amle or else haingii ndani.
Sumu wanayo Kwa ajili ya kuua wadudu akikuuma binadamu ujue ulishika vibaya au anajilinda dhidi ya kipigo chako.
Kwa Nini haliwi na paka sababu huwa akifa mwili wake hutoa harufu na mbaya so make unfavourable to be eaten 😂
Home wapo na wamesaidia sana kwenye garden 😊
I attach their boss photo 😂
We naeee ununue nini kwa hawa Panya unatengeneza tu mwenyewe 🤣🤣🤣Mtego unauza sh ngapi 😁
Nakumbuka nilikuwa primary walituvamia home yani ukiamka asubuh unajikuta unaumia miguuni ukiangalia unakuta umetafunwa ngoziHaya ni maajabu kwa kweli, sasa wanakulaje hiyo miguu?
Kawaida sana mkuu Daslam Wana vitu vyao special tu.Hawa panya wapo Sana DAR ukienda mkoani huwezi kuwakuta
Daaah aisee hao me nmewahi waona kwenye mtaro wa maji machafu mara moja tu mkuuWamesumbua sana, na sauti kama ndege pamoja na ujasiri wao wa kupita mbele za watu mkiwa mmetulia ilinibidi nifanye hivi kuwaangiza.
Mapumbu yanakuwa yamejificha sana ni ngumu kuyafikiaKama anaweza kula miguu, hawezi kukuta mapumbu kweli huyo?
Wameletwa na watu wanaoagiza vitu used kutoka China, Japan na IndiaHawa panya wapo Sana DAR ukienda mkoani huwezi kuwakuta
Hawa wanakula hadi mavi tena wanapendelea kukaa kwenye matundu ya chooni na wananenepa haswa hao umewashika coz ni wadogo ila wale wakubwa huwadaki kirahisiHabari wanajamvi,
Nimevamiwa na aina mpya ya Panya ambayo wanaitwa “Asia House Shrew” nimeambatanisha na picha hapo chini.
Hawa Panya nimegundua baadhi ya mambo kwao:
1. Wanasauti kama ndege
2. Wanatembea kwa Makundi
3. Wanazaliana kwa kiwango cha juu sana
4. Hawakai ndani ya nyumba (wanapendelea kuishi maeneo ya nje kwenye Garage au majani makubwa).
5. Sio waoga kabisa
6. Hawali Sumu ukiwategea
7. Wana pua ndefu, wanene na mikia yao ni mifupi minene
Kwa muda wa miezi miwili nimehangaika kuwatokomeza kwa kutumia mitego ya Panya kuna kipindi nilikua nawaangamiza mpaka 8 kwa siku moja, nimefanikiwa kuwamaliza.
Hawa viumbe sio wa kawaida kabisa nimejaribu kusoma kwenye mitandao nimegundua wanapatikana bara la Asia na huku walikuja kwa mizigo ya kwenye Container kutoka China/ India.
Ukiwaona chukua tahadhari na jitahidi kuwaangamiza mapema kabla hawajawa mamia kwa mamia,
Nimeweka pia Picha ya mitego niliyoitumia.
Aisee mbona balaa sana hii sasaNakumbuka nilikuwa primary walituvamia home yani ukiamka asubuh unajikuta unaumia miguuni ukiangalia unakuta umetafunwa ngozi
Dah ha ha ha aha ha aha ahaPaka wa siku hiz wazushi wazushi. Kuna paka mmoja nilikua nae kazi yake ni kukesha nje usiku anarud asubuh anazuga nje ndani haingii. Nikamleta paka mwingine, akamfanyia figisu kwa wivu wake yule paka mpya nae akaona isiwe nongwa akasepa. Kwakifupi paka wa siku hiz ni kama vijana tu wa generation Z. Dakika 1 mbele
Mimi hao shughuli yao naijua vzr sana Yani mpka dam kabisa lakin utastukia tu asubuhi unaumia ila wakat wanakutafuna hauskii wala kuhisi chochoteAisee mbona balaa sana hii sasa
Yeah. Fursa hiyo 👆 👆; halafu eti mtu anafanikiwa kuwakamata/kuwaua na anawatupa and then anaenda kujipongeza kwa kula ugali kwa mchicha/mnafu chukuchuku ilhali nyama kesha ipoteza kwa kuitupilia mbali kule.Mbeva,kitoweo hicho pita nacho
Wazungu wa SUA au?Wazungu walivyo na roho mbaya siku tutasikia species mpya ya panya wanaweza Ku digest sumu na kutegua mitego