Wafahamu Mawaziri na Manaibu ‘waliotemwa’ na Rais Magufuli katika Baraza jipya la Mawaziri

subiri february 2021
Huo ujinga haufanyiki. Inakuwaje unakuwa mfuatiliaji wa siasa za nchi hii na mshauri wa CDM lakini uelewi kuna vitu CCM hawawezi kufanya. 1. Kuongeza miaka ya Rais 2. Kuvunja muungano 3. Kuondoka madarakani bila nguvu za wananchi (hapa siongelei kura).
 
Wengi wao ndio nawasikia hapa kwa mara ya kwanza,ila kwa HK du sijui yale magwanda ya khaki atayavalia wapi sababu kwa sasa pori kwa pori hakuna tena,itabidi aendelee kutuletea porojo za ''Nje ya Box''
 
Hata mimi nimeshangaa jamaa alikuwa active sana kama alivyokuwa William Lukuvi
Kamwele was active kafanya kazi hizo kwa kipindi kirefu,lakini Magufuli anamlinganisha na yeye.Au pesa za wakandarasi zimeleta zogo?
 
Huyo tayari alishateuliwa vya kutosha.

Juliana Shonza ni mtu pekee kwenye historia aliyeteuliwa ubunge wa bure ( Viti vya Rais na Viti Maalum) mara mbili mfululizo
Nop. Kuna akina mama wengi sana tu wanadunda na viti maalumu tangu 2005
 
Manaibu je?
Masisiemu Sasa ndio yamejua kiasi ambacho magufuli hawaamini.

Yaani kawapa Watoto wake, Na mbuzi za chadema alizonunua mnadani na zile ng'ombe za jalalani udsm pale bila kusahau lakezonelization, watu wa Kanda ya ziwa.

Masisiemu yamepigwa na butwaa
 
Harison Mwakyembe amepewa WIzara gani hivi sasa?
 
MKUU KUNA MKOA ULIOKOSA WAZIRI AMA NAIBU?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…