Wafahamu Mawaziri na Manaibu ‘waliotemwa’ na Rais Magufuli katika Baraza jipya la Mawaziri

Wafahamu Mawaziri na Manaibu ‘waliotemwa’ na Rais Magufuli katika Baraza jipya la Mawaziri

Huyu jamaa kuachwa naona kama watu wengi wamefurahi na kujadili, ni vizuri akatafakari sababu mfano Prof. Mbarawa nae ameachwa lakini watu hawajajadili.
 
wasukuma kama wote!
Kuna makabila ni majembe kazi
P
 
Huyo sinkamba ndio namsikia Leo.
Baada ya Rais Magufuli kuteua Baraza jipya la Mawaziri atakalofanya nalo kazi baada ya kuwa Rais katika muhula wa pili. Katika Baraza hilo jipya, Rais amewatema Mawaziri 7 na kuchagua wengine

Waliotemwa ni;

1. Aliyekuwa Waziri wa Maji, Prof. Makame Mbarawa


2. Aliyekuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina

3. Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla

4. Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi na Ujenzi, Isaac Kamwelwe

5. Aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Josephat Hasunga

6. Aliyekuwa Waziri wa Muungano na Mazingira, Mussa Azzan Zungu


Manaibu Waziri walioachwa kwenye Baraza Jipya la Mawaziri ni;

1. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza

2. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana na Ajira, Anthony Mavunde

3. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhandisi Stellah Manyanya

4. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni

5. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo

6. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu

7. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Atashanta Nditiye

8. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Muungano na Mazingira, Mussa Sima

9. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshugulikia masuala ya Watu wenye Ulemavu, Stella Ikupa

10. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Costantine Kanyasu

11. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji

12. Aliyekuwa Naibu Waziri wa TAMISEMI, Sinkamba Kandege
 
Mkuu hawa wahuni wanaweza kufanya lolote lile kwa mshangao wa Watanzania wengi. Hawaogopi kitu na wala hawana aibu.
BAK
Kama Spika Ndugai amethubutu kufanya tendo ambalo lipo kinyume kabisa cha Katiba ya nchi, cha kuwahalalisha wale wabunge akina Halima wa "covd 19" basi hao maccm wanaweza kulifanya lolote la kinyume cha sheria na wanaona kwa sasa hatuna la kuwafanya!
 
Angela kairuki alimkosea nini Jiwe !?
Mmezoea kubebana, JPM anataka watendaji wake wafanye kazi sio kuuza sura. Hadi leo hamfahamu JPM anataka kufanya nini Tanzania? Kuleta maendeleo ya kweli.
 
Baada ya Rais Magufuli kuteua Baraza jipya la Mawaziri atakalofanya nalo kazi baada ya kuwa Rais katika muhula wa pili. Katika Baraza hilo jipya, Rais amewatema Mawaziri 7 na kuchagua wengine

Waliotemwa ni;

1. Aliyekuwa Waziri wa Maji, Prof. Makame Mbarawa


2. Aliyekuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina

3. Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla

4. Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi na Ujenzi, Isaac Kamwelwe

5. Aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Josephat Hasunga

6. Aliyekuwa Waziri wa Muungano na Mazingira, Mussa Azzan Zungu


Manaibu Waziri walioachwa kwenye Baraza Jipya la Mawaziri ni;

1. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza

2. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana na Ajira, Anthony Mavunde

3. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhandisi Stellah Manyanya

4. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni

5. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo

6. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu

7. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Atashanta Nditiye

8. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Muungano na Mazingira, Mussa Sima

9. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshugulikia masuala ya Watu wenye Ulemavu, Stella Ikupa

10. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Costantine Kanyasu

11. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji

12. Aliyekuwa Naibu Waziri wa TAMISEMI, Sinkamba Kandege
Mbona hujamtaja Angela Kairuki Waziri wa Uwekezaji
 
Baada ya Rais Magufuli kuteua Baraza jipya la Mawaziri atakalofanya nalo kazi baada ya kuwa Rais katika muhula wa pili. Katika Baraza hilo jipya, Rais amewatema Mawaziri 7 na kuchagua wengine

Waliotemwa ni;

1. Aliyekuwa Waziri wa Maji, Prof. Makame Mbarawa


2. Aliyekuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina

3. Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla

4. Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi na Ujenzi, Isaac Kamwelwe

5. Aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Josephat Hasunga

6. Aliyekuwa Waziri wa Muungano na Mazingira, Mussa Azzan Zungu


Manaibu Waziri walioachwa kwenye Baraza Jipya la Mawaziri ni;

1. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza

2. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana na Ajira, Anthony Mavunde

3. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhandisi Stellah Manyanya

4. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni

5. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo

6. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu

7. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Atashanta Nditiye

8. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Muungano na Mazingira, Mussa Sima

9. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshugulikia masuala ya Watu wenye Ulemavu, Stella Ikupa

10. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Costantine Kanyasu

11. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji

12. Aliyekuwa Naibu Waziri wa TAMISEMI, Sinkamba Kandege
Jamani ukiwa na wachezaji kibao ni muhimu kila mmoja akacheza - tunahitaji maendeleo ya haraka
 
Back
Top Bottom