Wafahamu waarabu/usiyoyajua kuhusu waarabu

Wafahamu waarabu/usiyoyajua kuhusu waarabu

Hakuna Mwenye nafuu naona mnahangaika tu ,..na kupaza shingo zenu kwa kusifia watu ""... waarabu na wazungu wote walifanya biashara ya utumwa ""... waliwatesa mababu na mabibi zetu vile walivyojisikia...so kutaka kutetea upande huo "" ni ujinga ...ukisoma vitabu vya dini kama Qur'an vinasema wazi kuwa mtume alikuta "" biashara ya utumwa ikiwa inafanyika "" na yeye ndiye aliye ikomesha katika wakati wake "" lakini alipoondoka biashara hii ilirudi tena kwa kasi "" tu " kama mlikuwa hamjui waarabu walikuwa wana wanunua Hawa watumwa toka kwa machifu wa wakati huo "" .... mkwawa amefanya sana biashara hii na waarabu ...na mtu mpaka unafnywa mtumwa means lazima "" kuna mates makubwa utakayo yapitia na hali ya kutendewa ubaya uliovuka utu ......"" wazungu washenzi na waarabu pia ni washenzi ....hakuna Mwenye nafuu tusiongopeane hapa

Mkuu, asante kwa hoja nzuri. Hakuna anayekataa kuwa hakukuwahi kutokea utumwa. Wala hamna anayedai Uafadhali wa utumwa fulani. NO. Ushahidi wa utumwa na madhila yake kihistoria upo. Ni kama mchangiaji mmoja alivyoonyesha kuwa maeneo ya Iraqi kuna weusi wa kiafrika (Zanj) ambao walifika huko kama watumwa, alichokiacha ni kuwa hawa Zanj baadae waliasi na kujitwalia maeneo ya Iraq na Iran japo baadae walishindwa kivita Zanj rebellion | ʿAbbāsid history. Ila kuwapo kwao hawa Zanj hadi leo hii ni dalili kuwa simulizi za KUWAHASI waafrika wanaume WOTE huko bara Arabu sio kweli. Wapo pia Weusi barani Hindi wakijulikana kama Siddi India’s forgotten African tribe ambao pia walifika huko kama watumwa. Hawa pia hawaishi kwa RAHA. Waingereza wanajulikana kwa kuwauza WAZUNGU wenzao (Irish Slaves) utumwani White Cargo japo ukiwasoma siku hizi ni kama vile wanaelekea kukana kwamba vijana wa Ki-Irish waliowauza utumwani kwenye mashamba ya tumbaku na sukari hawakuwa watumwa.

Tofauti iliyopo ni kuwa;
1. Wazungu hawaweki neno "European" kwenye ile biashara waliyoifanya West Africa ila wanaweka neno "Arab" kwenye hii ya East Africa, lengo halijulikani
2. Hakuna maelezo kwanini waafrika (popote) HAWAKUZIPIGA na hawa Waarabu waliowafanya watumwa ila WAKAZIPIGA (sehemu nyingi sana) na Wazungu, tatizo lipo hapo
 
Slave trade was an African choice.
Kanye West hajakosea. Tatizo watu hawautaki ukweli.

Chief anauza watu wake kwa wageni wakafanywe watumwa kwa sababu kapewa kioo 😀 😀 halafu kuna mashuhuda wa hilo na bado wanaendelea kumwita jamaa chief wao!
 
Zanzibar ipo nyuma kila kitu kivip? Watu wanatoka dunia nzima kila mwaka kuja kutembea Zanzibar sehemu yenye hoteli nyingi za kisasa za kitalii Afrika hii.
Ndio ipo nyuma kwenye kila idara, wakati wa sultani tulikuwa tunaongoza kwenye masuala ya Trade, kapinduliwa Sultan basi tuendelee kuongoza, matokeo yake, Zanzibar inapangiwa na Tanganyika kupeleka sukari bara au la, zanzibar inachaguliwa rais, ZBC uku Zanzibar tunaiita TV Zero (ilikuwa inaitwa TVZ kabla kuwa ZBC). Kheri tutawaliwe tena tu, ikiwa na Sultan au Malkia, lakini si kwa izi pesa tunazokusanya kwenye utalii, akisha kipande cha mita mia cha lami kinatushinda kukifix! Pesa inakwenda wapi? Huu msemo MAPINDUZI DAIMA una maana kubwa sana
 
Shikamoo imeletwa na waarabu?

Shikamoo ni neno linalotumiwa kumsabahi mtu. Ni salamu inayotumiwa na wadogo kwa wakubwa wao, hasa wale wanaowazidi umri.

Jibu lake ni "Marahaba".

Maana ya neno huelezwa kuwa kifupi cha "nashika mguu wako" kama tamko la heshima mbele ya mkubwa.

Jibu la "marahaba" ni salamu ya Kiarabuinayotumiwa kati ya Waarabu sawa na "hujambo", ila kwa matamshi ya "marhaba". Pale jibu ni "marhabteen" yaani marhaba mara mbili.
 
Umekazania zanziba zanzibar zanzibar zanzibar...



Nakukumbusha pia Mwarabu pia Alipita Ujiji,kilwa,Kondoa,kilosa,Bagamoyo,tabora,nzega,Mtwara n.k


Sasa naomba hoja zako zijikite na hayo maeneo mengine.



Hiyo Zanzibar yenyewe Njaa tupu.
Umekazania Tanganyika tu, Mbona husemi Nairobi, burundi, congo, swaziland.

Wewe kama una ushahidi waarabu wamefanya unyama kama mnavosema ulete hapa basi, au utatafuta picha za kuchora unletee? Zanzibar ndio ilikuwa lango kuu la kuingilia Afrika kutokea East side, ndio maana naongelea Zanzibar Zanzibar sana, ndio kitovu cha Zanzibar Empire.

Wewe lete ushahidi wa hizo tuhuma zako. Hii njaa ya Zanzibar mmeileta nyie 😀 😀 😀 sisi ilikuwa tunalisha wazungu wakati wa vita... apo bado ndio utawala wa Sultani, utawala wa mwafirika tumekuwa na njaa tupu... Hata SMZ yenyewe wanawatukana waarabu kila siku wameishia kuwarudia hao hao waarabu.
 
Mie naona sio,ndiyo maana nikakuuliza ili nipate kuongeza kitu.
Shikamoo ni neno linalotumiwa kumsabahi mtu. Ni salamu inayotumiwa na wadogo kwa wakubwa wao, hasa wale wanaowazidi umri.

Jibu lake ni "Marahaba".

Maana ya neno huelezwa kuwa kifupi cha "nashika mguu wako" kama tamko la heshima mbele ya mkubwa.

Jibu la "marahaba" ni salamu ya Kiarabuinayotumiwa kati ya Waarabu sawa na "hujambo", ila kwa matamshi ya "marhaba". Pale jibu ni "marhabteen" yaani marhaba mara mbili.
 
Shikamoo ni neno linalotumiwa kumsabahi mtu. Ni salamu inayotumiwa na wadogo kwa wakubwa wao, hasa wale wanaowazidi umri.

Jibu lake ni "Marahaba".

Maana ya neno huelezwa kuwa kifupi cha "nashika mguu wako" kama tamko la heshima mbele ya mkubwa.

Jibu la "marahaba" ni salamu ya Kiarabuinayotumiwa kati ya Waarabu sawa na "hujambo", ila kwa matamshi ya "marhaba". Pale jibu ni "marhabteen" yaani marhaba mara mbili.

Sasa hapo mkuu haujaelezea ni vp waarabu wameleta shikamoo,maana sijaona mahusiano ya hiyo shikamoo na waarabu,badala yake umezungumzia neno "marahaba".
 
Mashuleni wanafundisha Historia kupitia story ambayo Serikali inataka iwe. Lakini ukweli utabaki kuwa ukweli tu, aliekuwa akiuza na kununua watumwa ndio hao hao wazungu wanaoabudiwa leo na kuonekana wa maana. Wamekuja Afrika wakafisidi rasilimali zetu, wakawachukuwa waafrika na kwenda kuwatuma marekani mashambani. Mwarabu kaja hata hakufika mbali, kaishia Lamu hapo basi tena utakuta story zinavozungumzwa kumfanya muarabu aonekane kinara wa utumwa, watu hata hawafikirii, kinara wa utumwa ata Uganda hajafika? Je wale waliotawala Afrika Nzima wao watakuwa nani? Tusirudi nyuma sana, SA tu apo si juzi jamaa katiwa kwenye shimo la mavi na wazungu?

Mwarabu kaja Zanzibar, kapapenda, akaleta Maendeleo, TV channel ya Kwanza Zanzibar, Taa barabarani kabla New york ni Zanzibar, Gorofa EA nzima ni Zanzibar, Mifereji majumbani kwanza Zanzibar, Zanzibar hio hio ilikuwa ikitoa misaada kwa uingereze wakati wa Vita, Leo eti wanasema Mwarabu kinara wa utumwa, Utumwa huo kamtuma nani? Hebu na waje waniambie, mwarabu kaondoka Zanzibar au Afrika na rasilimali gani? Karafuu zenyewe pemba kazileta Mwarabu kutoka bara la Asia uko.

Waniambie rasilimali waliowapokonya waafrika hawa waarabu ni ipi kiasi kwamba waitwe vinara wa utumwa?

Mpaka Kesho Afrika inaibiwa rasilimali na Wazungu, nenda Congo tu apo uone ukoloni wa mamboleo!

Walisema kuwa Beit Al Aab (house of Wonder) Nguzo zake zilijengwa kwa vichwa vya watumwa. Mungu Kawadhalilisha lile jengo miaka michache nyuma liliporomoka Nguzo, hakuna ata kipande cha mfupa wa kuku. Zile zama za kudanganywa zimekwisha, siku izi mambo yapo wazi!

Walisema Bi Khole alikuwa analala na mtumwa kila siku akisha anamkata uume wake..... Ukiwauliza ushahidi hawana! Wapo kuchafua historia ya watu tu, wanataka tuamini kuwa utawala wa kisultani ulikuwa wa kidhulma, huu wa saivi tuuite vipi basi? Zanzibar ipo nyuma kwenye kila kitu.
miafrika bana dini inawalevya mpaka inaamua kukataa ukweli.
 
ww hata ubwabwa wa shingo haujakuisha unaweka rekodi sawa?ipi ya familia yako au?
kitu kimefanyika karne na karne ww leo uweke rekodi sawa ipi kwa kupotosha ukweli co
Wewe ulivukwa na ubwabwa wa shingo, kwaio kitu kikiwa kimetokea karne na karne manake ndio kupotoshwe au? Ukweli upi niliopotosha? Kuwa Mwafrika alimuuza mwafirika mwenzake au?
 
Ongeza hapo kuwa walipofanya biashara ya utumwa waliwahasi mababu zetu ili wasiweze kuzaliana. Na ndo maana pamoja na kwamba waarabu ndo walikuwa vinara wa biashara ya utumwa na watumwa wengi pia walipelekwa uarabuni hatuwezi kuona masalia ya viazi vya watu weusi kule uarabuni kama ilivyo African-Americans
Unataka ugomvi na wazee wa takbir!!!
 
Si kweli.... Mimi babu yangu alipelekwa Mtumwa akaoa muarabu na akamzaa baba yangu, baba alirudi nyumbani na kuoa na kisha kutuzaa sisi. Hata sasa ninavyo type msg hii nipo bara arabu kwa bibi zangu ambao wote ni waarabu.
Weka Picha
 
Ushahidi upi uliokuwa nao kuwa mababu zenu wamefanywa watumwa na waarabu? Sijui mnakuwa mnajitoa akili au ndio chuki zenu mkikosa la kusema! 😀 😀 😀 Nyerere aliwaambia wanawake wanafagilishwa barabara unguja kwa maziwa au nani kawafundisha mambo haya? Sio nyinyi mliokuwa mkiwauza ndugu zenu vijijini kwa wazungu kisa unapewa kioo ujitizame?

Nianze kukupangia kila nchi na Colonial Master wake akisha tutajua nani kashamiri kwa biashara ya utumwa?

Mwarabu katoka Oman kaja Zanzibar Enzi hizo, kufika tu, kaifanya Zanzibar Mji mkuu wa Oman. Ivi unaweza kunambia taifa gani limefanya ivo kwa Afrika zaidi ya kuwadharau tu? Nyie na CCM ya Zanzibar mkieneza chuki dhidi ya Waarabu, lakini walivokuja na meli yao kina Balozi wakafunga bandari hamna kazi kuwapisha waarabu waingie, mnajifanya watumwa kabla ya kutumwa 😀
Hivi bado huko mkijitoa muhanga mnapewa wanawake mabikra 72 huko peponi?
 
Mashuleni wanafundisha Historia kupitia story ambayo Serikali inataka iwe. Lakini ukweli utabaki kuwa ukweli tu, aliekuwa akiuza na kununua watumwa ndio hao hao wazungu wanaoabudiwa leo na kuonekana wa maana. Wamekuja Afrika wakafisidi rasilimali zetu, wakawachukuwa waafrika na kwenda kuwatuma marekani mashambani. Mwarabu kaja hata hakufika mbali, kaishia Lamu hapo basi tena utakuta story zinavozungumzwa kumfanya muarabu aonekane kinara wa utumwa, watu hata hawafikirii, kinara wa utumwa ata Uganda hajafika? Je wale waliotawala Afrika Nzima wao watakuwa nani? Tusirudi nyuma sana, SA tu apo si juzi jamaa katiwa kwenye shimo la mavi na wazungu?

Mwarabu kaja Zanzibar, kapapenda, akaleta Maendeleo, TV channel ya Kwanza Zanzibar, Taa barabarani kabla New york ni Zanzibar, Gorofa EA nzima ni Zanzibar, Mifereji majumbani kwanza Zanzibar, Zanzibar hio hio ilikuwa ikitoa misaada kwa uingereze wakati wa Vita, Leo eti wanasema Mwarabu kinara wa utumwa, Utumwa huo kamtuma nani? Hebu na waje waniambie, mwarabu kaondoka Zanzibar au Afrika na rasilimali gani? Karafuu zenyewe pemba kazileta Mwarabu kutoka bara la Asia uko.

Waniambie rasilimali waliowapokonya waafrika hawa waarabu ni ipi kiasi kwamba waitwe vinara wa utumwa?

Mpaka Kesho Afrika inaibiwa rasilimali na Wazungu, nenda Congo tu apo uone ukoloni wa mamboleo!

Walisema kuwa Beit Al Aab (house of Wonder) Nguzo zake zilijengwa kwa vichwa vya watumwa. Mungu Kawadhalilisha lile jengo miaka michache nyuma liliporomoka Nguzo, hakuna ata kipande cha mfupa wa kuku. Zile zama za kudanganywa zimekwisha, siku izi mambo yapo wazi!

Walisema Bi Khole alikuwa analala na mtumwa kila siku akisha anamkata uume wake..... Ukiwauliza ushahidi hawana! Wapo kuchafua historia ya watu tu, wanataka tuamini kuwa utawala wa kisultani ulikuwa wa kidhulma, huu wa saivi tuuite vipi basi? Zanzibar ipo nyuma kwenye kila kitu.
Acha kujitetea wewe mwarabu inabid utambue tu babu zako walikuwa wana roho mbaya same as mashetani end of story
 
Acha kujitetea wewe mwarabu inabid utambue tu babu zako walikuwa wana roho mbaya same as mashetani end of story
Lete ushahidi basi.... Mkipewa vioo mnachachawa eti ooh chukua hawa kawatume 😀 😀 😀 KANYE WEST KAONGEA UKWELI, SLavery was a choice

Babu Zako walikuwa wakiwauza ndugu zao... Ndio maana hao mnaowaabudu wazungu wanawachora waafrika as Kima. Na mpaka kesho wanawaonea na kuwanyanyasa. ila mnakaa kimya kama kawaida yenu mlozoea!!! As long as mdomo unakwenda kinywani wacha tu wafanye wanavoataka
 
Back
Top Bottom