Wafahamu waarabu/usiyoyajua kuhusu waarabu

Wafahamu waarabu/usiyoyajua kuhusu waarabu

Hakuna Mwenye nafuu naona mnahangaika tu ,..na kupaza shingo zenu kwa kusifia watu ""... waarabu na wazungu wote walifanya biashara ya utumwa ""... waliwatesa mababu na mabibi zetu vile walivyojisikia...so kutaka kutetea upande huo "" ni ujinga ...ukisoma vitabu vya dini kama Qur'an vinasema wazi kuwa mtume alikuta "" biashara ya utumwa ikiwa inafanyika "" na yeye ndiye aliye ikomesha katika wakati wake "" lakini alipoondoka biashara hii ilirudi tena kwa kasi "" tu " kama mlikuwa hamjui waarabu walikuwa wana wanunua Hawa watumwa toka kwa machifu wa wakati huo "" .... mkwawa amefanya sana biashara hii na waarabu ...na mtu mpaka unafnywa mtumwa means lazima "" kuna mates makubwa utakayo yapitia na hali ya kutendewa ubaya uliovuka utu ......"" wazungu washenzi na waarabu pia ni washenzi ....hakuna Mwenye nafuu tusiongopeane hapa
Exactly, halaf wanajiita eti wamestaarabika wanafanya mambo ya kishetan then wanajifanya sijui ustaarabu
 
Kanye West hajakosea. Tatizo watu hawautaki ukweli.

Chief anauza watu wake kwa wageni wakafanywe watumwa kwa sababu kapewa kioo 😀 😀 halafu kuna mashuhuda wa hilo na bado wanaendelea kumwita jamaa chief wao!
Wafua vyuma walikuwa wanakatwa mikono, je hiyo nayo was an African Choice??? ok by the way endelea kutetea ushetani wa babu zako its your choice
 
Acha kujitetea wewe mwarabu inabid utambue tu babu zako walikuwa wana roho mbaya same as mashetani end of story

Wee mwenyewe kwa haya majibu yako unaonesha ni mtu uliye na chuki wala si mtu mwema kama unavyotaka kujiaminisha,kwa kifupi una roho mbayaaaa wala huna la kujitetea katika hili mnafiki wewe.
 
Wee mwenyewe kwa haya majibu yako unaonesha ni mtu uliye na chuki wala si mtu mwema kama unavyotaka kujiaminisha,kwa kifupi una roho mbayaaaa wala huna la kujitetea katika hili mnafiki wewe.
Mimi kusema waarabu wana roho mbaya nimekosa???? Narudia tena waarabu walifanya ushetani na biashara yao ya utumwa, Prove me wrong
 
Mimi kusema waarabu wana roho mbaya nimekosa???? Narudia tena waarabu walifanya ushetani na biashara yao ya utumwa, Prove me wrong

Kama kuwa shetani kigezo chako ni biashara ya Utmwa pekee utakuwa umekosea, kwa kuwa biashara ya utumwa haijafanywa na waarabu pekee,hata hao wazungu kwa muda wa miaka mia nne walifanya biashara maarufu ya ya utumwa ya trans Atlantic slave trade ambayo kwa kiasi kikubwa ilichukua nguvu kazi ya waafrikakuwapeleka kwao kuwatumikisha.

Je waoni malakika?.
 
Kama kuwa shetani kigezo chako ni biashara ya Utmwa pekee utakuwa umekosea, kwa kuwa biashara ya utumwa haijafanywa na waarabu pekee,hata hao wazungu kwa muda wa miaka mia nne walifanya biashara maarufu ya ya utumwa ya trans Atlantic slave trade ambayo kwa kiasi kikubwa ilichukua nguvu kazi ya waafrikakuwapeleka kwao kuwatumikisha.

Je waoni malakika?.
Wazungu kufanya biashara ya utumwa haifuti fact kwamba waarabu walifanya ushetani wote ni kapu moja
 
Namba 3 mbona hujaeleweka, umesema “waarabu wote sio waislamu” , yaani unamaanisha hakuna mwarabu ambae ni muislam.
 
Sasa hapo mkuu haujaelezea ni vp waarabu wameleta shikamoo,maana sijaona mahusiano ya hiyo shikamoo na waarabu,badala yake umezungumzia neno "marahaba".
Lugha ya kiswahili ina maneno mengi tuliyoyaazima toka lugha nyingine kama kiingereza, kiarabu na kireno. Na hiyo salama ya shikamoo na kiitikio chake ni moja ya vitu tulivyoazima toka kwa wageni.
 
Mashuleni wanafundisha Historia kupitia story ambayo Serikali inataka iwe. Lakini ukweli utabaki kuwa ukweli tu, aliekuwa akiuza na kununua watumwa ndio hao hao wazungu wanaoabudiwa leo na kuonekana wa maana. Wamekuja Afrika wakafisidi rasilimali zetu, wakawachukuwa waafrika na kwenda kuwatuma marekani mashambani. Mwarabu kaja hata hakufika mbali, kaishia Lamu hapo basi tena utakuta story zinavozungumzwa kumfanya muarabu aonekane kinara wa utumwa, watu hata hawafikirii, kinara wa utumwa ata Uganda hajafika? Je wale waliotawala Afrika Nzima wao watakuwa nani? Tusirudi nyuma sana, SA tu apo si juzi jamaa katiwa kwenye shimo la mavi na wazungu?

Mwarabu kaja Zanzibar, kapapenda, akaleta Maendeleo, TV channel ya Kwanza Zanzibar, Taa barabarani kabla New york ni Zanzibar, Gorofa EA nzima ni Zanzibar, Mifereji majumbani kwanza Zanzibar, Zanzibar hio hio ilikuwa ikitoa misaada kwa uingereze wakati wa Vita, Leo eti wanasema Mwarabu kinara wa utumwa, Utumwa huo kamtuma nani? Hebu na waje waniambie, mwarabu kaondoka Zanzibar au Afrika na rasilimali gani? Karafuu zenyewe pemba kazileta Mwarabu kutoka bara la Asia uko.

Waniambie rasilimali waliowapokonya waafrika hawa waarabu ni ipi kiasi kwamba waitwe vinara wa utumwa?

Mpaka Kesho Afrika inaibiwa rasilimali na Wazungu, nenda Congo tu apo uone ukoloni wa mamboleo!

Walisema kuwa Beit Al Aab (house of Wonder) Nguzo zake zilijengwa kwa vichwa vya watumwa. Mungu Kawadhalilisha lile jengo miaka michache nyuma liliporomoka Nguzo, hakuna ata kipande cha mfupa wa kuku. Zile zama za kudanganywa zimekwisha, siku izi mambo yapo wazi!

Walisema Bi Khole alikuwa analala na mtumwa kila siku akisha anamkata uume wake..... Ukiwauliza ushahidi hawana! Wapo kuchafua historia ya watu tu, wanataka tuamini kuwa utawala wa kisultani ulikuwa wa kidhulma, huu wa saivi tuuite vipi basi? Zanzibar ipo nyuma kwenye kila kitu.

Mkuu una hoja nzito za kuwatoa tongo Watanganyika wanaojiita maprofesa.
 
Umekazania zanziba zanzibar zanzibar zanzibar...



Nakukumbusha pia Mwarabu pia Alipita Ujiji,kilwa,Kondoa,kilosa,Bagamoyo,tabora,nzega,Mtwara n.k


Sasa naomba hoja zako zijikite na hayo maeneo mengine.



Hiyo Zanzibar yenyewe Njaa tupu.

Zanzibar ndio sehemu iliyokua Mji mkuu kipindi hicho hayo miji mingine ilikua kuna watawala wadogo
 
Back
Top Bottom