Foxyizafa nadhani mleta mada kaandika kutokana na upeo wake ulipoishia kwenye hii mada ...sasa ww kama unauelewa mkubwa zaidi ilibidi uongezee au uandike jinsi ujuavyo ww kuliko kumkosoa mtu bila kuelezea ukweli wako ..inaonekana hii mada kama imekugusa umejibu kwa jazba sana
stunna nakuelewa sana, mkuu.
Ila kidogo nitie tie nyama then msomaji huweza kupata mwanga na majibu ya baadhi ya maswali yake.
Kila kitu kina higher level katika utendaji wake, katika hizo level kuna watu ambao ni choosen one ambao huweza kabidhiwa siri ya kitu husika na kuaminika moja kwa moja na Blue print wa uchawi na giza ambae ni Lucifer.
kama alivyosem wanaotumia Fimbo na miongon mwa wenye nguvu kidgo, katika process moja ya kuhakikisha fimbo hutumika kama usafir haya hufanyika. Muhusika anaiweka fimbo hiyo chini, kisha huanza kusoma dua fulani kwa Lugha ya kiarabu fimbo hiyo hunyanyuka na kupanda hewani kama ilivyokuwa imelazwa. Sasa hapo muhusika atakanyaga upande mmoja wa fimbo kisha majini yake yatamwonyesh njia yote atayopita roho, na kuona kama kuna hatari yeyote atapewa warning pia, akiweka mguu wa pili kwenye fimbo safari itaanza, tena hiii ndio njiaa ya haraka sana.
Nini hufanyika hapo, roho itaacha mwili (kama baadhi wanavyofundisha jinsi ya kutoka nje ya mwili humu) fimbo ile itaanza kukimbia na roho yako itaanza kuifata mwili huo kwa haraka sana ndio maana jina lingine la usafiri huu ni kujitoa uhai.
Waganga wengi unaowaona ni zao hilo hilo la kuzimu, wana kazi na wajibu wao pia, ila dhumuni kubwa ni kupeleka roho nyingi kuzimu na kutesa watu na kuwaondoa akili za kuwaza ibada. Wao wanaleta shida na hao hao hujifanya kuleta suluhu ili kukamata roho yako vizuri, kumjua mganga angalia equation hiii
Mganga =mchawi + Tabibu.
Ni zaid ya uchawi maana huweza kuroga na kuagua.
Unapo pata shida za wachawi hujaenda kwa mganga ni sawa umepigwa na chui ukaenda kwa simba kutaka msaada.
Msaada huo ni wa muda mfupi haudumu milele. Ukitaka kuwa Salama tafuta Mungu wa kweli ambae hana shaka na wala hajawahi hata kuhisiwa au kutamkwa popote kuwa ni Mungu wa kuzimu, Ukipata wachawi 100 hakuna hata mmoja ambae anasema alitumwa, au kukutana na YESU ili ampe nguvu za kichawi, mengine tafakari.
Kila nitakapo pata neno la kuchangia nitafanya hivyo
Pele mchawi wa soka.
Naendelea kuwaza tu mambo ya rohoni.
Uharibifu wowote unaoonekana katika mwili (kwa macho) huanzia Kwenye ulimwengu wa kiroho.
UKlWA vizuri Kwenye ulimwengu wa kiroho hamna atakaye weza kukuroga.
Weka source ambayo ni dvd ya aliyekuwa sheikh shariff (aliyekuwa mtoto maarufu Tabora miaka 90s) ambaye aliokoka Mbeya
Hilo si jina la kawaida, ni jina lililokirimiwa kupita majina yote, jina lenye mamlaka . Hata kuzimu wakiwa wanataka kumtaja hutumia neno kama The one kama code ya jina hilo, kinyume na hapo ni hatari gizani
Asante sana lakini naisubiri kwa hamu hio ya majini maana this is so serious kuna vita kubwa sana ya kiroho ambayo hatuioni lakini kama ukisali sana na ukawa na macho ya kiroho utaona
Hili jina kiboko kuzimu marufuku kulitaja kabisa kuna mmoja alienda huko akajisahau akalitaja mapepo yote na shetani yaliungua kukuchafuka kabisa. Hili ni jina lipitalo majina yote.
Vipi kwa wenzetu waislam?au hayo majini na mashetani hayawahusu wao?na kama ndivyo unajifunza nini hapo?au Mungu ni wa walokole tu?au umeelezea upande unaoujua tu?kama ndivyo basi tukubaliane kuwa elimu yako haijakamilika! Huwezi kuzungumzia mti kwa kuainisha tawi moja pekee,nilitegemea utueleze majini na wachawi ni viumbe wa aina gani,wameumbwa na nani,kwa makusudi gani,nk,ila nilichokiona hapo ni promotion kwa walokole mwanzo mwisho,na kwa bahati mbaya zaidi ukweli usiohitaji scientifical proof ni kuwa jamii ya walokole ndiyo moja ya jamii zinazotaabika sana kwa ukosefu wa maarifa wakitanguliwa na jamii ya waaminio ushirikina,Mungu akubariki ili uweze kuzifanyia kazi changamoto hizi na next time uje ukiwa more smart.
We Vp ! Unauliza mipango CCM ?.. Wale Washkaji Zao ina maana hujui au ? ndiyo maana wanakwambia majini yalisilimu yakawa waislam
Naomba uni elimishe tafadhali.
Ningependa kujua, haya mambo uliyajua jua vipi and how did u prove that they truly exist ??
Darasa zuri sana. Kwanini majini walisikiapo jina la YESU hutetemeka?
JESUS.....ila badili username lako, i hope ukijua wats beyond ilo jina...
Merengo90 katika andiko lako hapa kuna kitu nimejifunzastunna nakuelewa sana, mkuu.
Ila kidogo nitie tie nyama then msomaji huweza kupata mwanga na majibu ya baadhi ya maswali yake.
Kila kitu kina higher level katika utendaji wake, katika hizo level kuna watu ambao ni choosen one ambao huweza kabidhiwa siri ya kitu husika na kuaminika moja kwa moja na Blue print wa uchawi na giza ambae ni Lucifer.
kama alivyosem wanaotumia Fimbo na miongon mwa wenye nguvu kidgo, katika process moja ya kuhakikisha fimbo hutumika kama usafir haya hufanyika. Muhusika anaiweka fimbo hiyo chini, kisha huanza kusoma dua fulani kwa Lugha ya kiarabu fimbo hiyo hunyanyuka na kupanda hewani kama ilivyokuwa imelazwa. Sasa hapo muhusika atakanyaga upande mmoja wa fimbo kisha majini yake yatamwonyesh njia yote atayopita roho, na kuona kama kuna hatari yeyote atapewa warning pia, akiweka mguu wa pili kwenye fimbo safari itaanza, tena hiii ndio njiaa ya haraka sana.
Nini hufanyika hapo, roho itaacha mwili (kama baadhi wanavyofundisha jinsi ya kutoka nje ya mwili humu) fimbo ile itaanza kukimbia na roho yako itaanza kuifata mwili huo kwa haraka sana ndio maana jina lingine la usafiri huu ni kujitoa uhai.
Waganga wengi unaowaona ni zao hilo hilo la kuzimu, wana kazi na wajibu wao pia, ila dhumuni kubwa ni kupeleka roho nyingi kuzimu na kutesa watu na kuwaondoa akili za kuwaza ibada. Wao wanaleta shida na hao hao hujifanya kuleta suluhu ili kukamata roho yako vizuri, kumjua mganga angalia equation hiii
Mganga =mchawi + Tabibu.
Ni zaid ya uchawi maana huweza kuroga na kuagua.
Unapo pata shida za wachawi hujaenda kwa mganga ni sawa umepigwa na chui ukaenda kwa simba kutaka msaada.
Msaada huo ni wa muda mfupi haudumu milele. Ukitaka kuwa Salama tafuta Mungu wa kweli ambae hana shaka na wala hajawahi hata kuhisiwa au kutamkwa popote kuwa ni Mungu wa kuzimu, Ukipata wachawi 100 hakuna hata mmoja ambae anasema alitumwa, au kukutana na YESU ili ampe nguvu za kichawi, mengine tafakari.
Kila nitakapo pata neno la kuchangia nitafanya hivyo
jamani msizungumze mambo ambayo huna taaluma nayo kwakuhubiri ulkole umeweza ilauchawi ni zaid yahayo ulosema ndugu upo uchwi wa aina nyng sana na siwote wanakutana ijumaa kwmye vilnge na hakuna jini anaeitwa khairut na kama ulikua hujui wapo wachaw wanatumi hayo hayo makanisa kktania tena huku kwetu kwasiri lkn hukonjelive na humohutumia hyobible kfnikisha baadh ya shughli zao.mm nina elim yakutosha juu ya hayo mambo na nshafika nchinyngi za ulaya mashriki na afrikamaghrib na ucpnde kkrupuka humu jf hivyo vtu vnawajuz wake sio umekremsha story zakijjni k kuletamada usioijua hapa
Mkuu nimekuelewa lakini nmejaribu kubase kwnye makanisa kwa maana ndio vita yao kubwa iliko sikutaka kubase kwa waislamu na wala sipo kwa ajiri ya promo isipokuwa nipo kwa ajiri ya kushare hii elimu, kwa mfano nkuulize labda ni wapi umeshawahi kuona mchawi kadondokea msikitini au kwnye mkutano wa kiislamu?? jibu ni hapana ndio maana kwa leo sikutaka kubase huko nauandaa uzi mpya wa majini huo ntaelezea kila kitu na nafikiri utajifunza kitu